Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

Eeh Mungu, unajua haya, unatukumbusha maringo yetu yote, kujona tumepata, kutokuwa na shukrani, kudharau wengine, kutokukushukuru havisaidii, muda wowote pahala popote unatuchukua.
Think huyu mama miaka 75 amepitia mishale mingapi? amepitia mambo mangapi lakini sasa anakuja kufa dakika moja na mwanaye.
Fikiri huyu binti amekaa muda wote hana mume, hana mtoto sasa ameamua kuolewa.
 
Yaani watu Wana vituko humu,eti umri umeenda,sijui umeenda wapi na Kwa mujibu wa nani?
Wanachekesha!
Naona tuna mawakala wa vipimo humu😅

Kabisa unaweza Kuta jamaa mkubwa
Eeeh hiyo ni ndoa ya watu wazima, binafsi sioni shida. Tena hawa wanajitambua kabisa, mwanaume mwenye 40+ kuoa binti wa 20s ni kujitafutia matatizo tu.
 
Yaani watu Wana vituko humu,eti umri umeenda,sijui umeenda wapi na Kwa mujibu wa nani?
Wanachekesha!
Naona tuna mawakala wa vipimo humu😅

Kabisa unaweza Kuta jamaa mkubwa
Watoto wa Mama ndio wanapenda kusema mambo ya umri, kwa kifupi ndoa haina umri, waswahili tuna shida sana , tushazoea kuona vitoto vikioana.
 
Daktari Mato....
 
Acha tu yani yanayoendelea ulimwengu tusiouona kwa macho ni magumu sana. Watu wana roho mbaya sana na lile agano ni very strong kiimani. It transforms everything in life.
 
Acha tu yani yanayoendelea ulimwengu tusiouona kwa macho ni magumu sana. Watu wana roho mbaya sana na lile agano ni very strong kiimani. It transforms everything in life.
 
Ni kwel Kabisa ,miez kadhaa nilikuwa nafunga ndoa ,mama yangu alipitia wakati mgumu sana kabla ya harusi ,aliona vitu vya ajabu ,mara kunguni wengi wakiwa wametanda Kwa net ,gafla wanapotea ,ila Alikuwaa akisali sana Ili harusi yangu ifanyike salama,ukizangatia mm wa kwanza home ,mambo ni mengi sana katika ulimwengu wa roho,tusali sana,na pia tuwashukuru wazazi na waombezi wetu wanao tuombea bila kujua.
 
Huyo mumewe nae alifeli wapi. Mkeo mtarajiwa anasafiri mkoa m'moja kwenda mwingine unakubaliana nae badala ya kumtafutia msaada wa mtu mzoefu wa kumuendesha morogoro kwenda Kilimanjaro sio safari ndogo hiyo especially kwa mwanamke, mwanamke hawezi kaza macho safari nzima lazima atatia boko.

Wanaume hebu muwapende wake zenu ikibidi kugombana lakini una uhakika kuwa utakachomuamuru kufanya ni kwa salama yake na ustawi wake, acheni kucheka na wake zenu kwenye mambo yanayotaka userious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…