Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

Kuendesha gari high way sio lelemama.

Ni vizuiri kuwa “ Co driver” pembeni ambao mtashauriana kuhusu kuendesha kwa mwendo wa tahadhari.
 
Unafikiri mkisafiri kwenye buss ndo hamtapata ajali, hizi fikra kama zako huwa napigana nazo sana tu, hata mkipanda ndege moja kama zimefika zimefika tu,
Una elewa nilicho andika?

Kuna sehemu nimetaja ukipanda basi hutopata ajali?
 
Hivi suala la ndoa nalo linakuaga na changamoto za ajabu ajabu kumbe duuh
Sasa suala la ndoa ni la kumuonea mtu wivu na kumtakia mabaya kweli hatari sana
Husda zipo aisee, ndio maana wengine ndoa hawatangazi unashangaa tuu watu wameoana
 
Mke wako kuna kipindi umsmamie km wewe ndio baba mzazi

Yaani unampa amri na kutii hakuna maelezo

Wanawake wanatunguliza hisia hasa kwenye furaha na huzuni
Huyo mumewe nae alifeli wapi. Mkeo mtarajiwa anasafiri mkoa m'moja kwenda mwingine unakubaliana nae badala ya kumtafutia msaada wa mtu mzoefu wa kumuendesha morogoro kwenda Kilimanjaro sio safari ndogo hiyo especially kwa mwanamke, mwanamke hawezi kaza macho safari nzima lazima atatia boko.

Wanaume hebu muwapende wake zenu ikibidi kugombana lakini una uhakika kuwa utakachomuamuru kufanya ni kwa salama yake na ustawi wake, acheni kucheka na wake zenu kwenye mambo yanayotaka userious.
 
Na hapo ulikuwa na kipande kibaya cha Mbeya - Igawa, kina barabara mbaya ina mashimo na matuta ya lami kufimba karibia sehemu nyingi...

Kingine ni kile cha Makambako - Njombe kuna baadhi ya maeneo kuna vipande vibaya vya barabara...
Ndio hivyo mkuu.UKiendesha kwa siku ya kwanza umbali mrefu hivi,inakulazimu kuwa mwangalifu sana na kutumia akili nyingi Kwaajili ya kuona upeo wa mbali wa macho.Lkk ktk yote Mungu ndio kila kitu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom