Na wewe leo umekuwa CCM?
Kweli, HapaKaziTu.
Huko hunipeleki kwa sasa. Nnaiheshimu sheria ya mtandao ya kutoeneza chuki za kidini kama ufanyavyo.
Hatum-judge mtu kwa dini yake tunam-judge mtu kwa vitendo vyake.
Wengi humu ni wanaCCM ila tuliondoka baada ya Wanamtandao kuteka Chama kiasi kwamba Matusi yalikuwa ni sifa ya kupata Cheo na kuonekana ndio unatetea chama.Kwa sasa akili imeshakujia na kujitambua kwamba Mwl.Nyerere ndie Mwasisi wa CCM na ni Baba wa Taifa letu.Heshima ya Chama sasa itarudi kama Enzi ya Baba wa Taifa Mwl.Julius Kambarage Nyerere.HAPA KAZI TU.
Lowassa vipi? Akili imeshamjia au bado ni zezeta la Mbowe?
Nimefurahi kusikia kuwa akili imekurudia na umerudi njia kuu. Kumbe ulichepuka tu ukakumbwa na mafuriko na dole limekurudisha!
Lowasa ndio walewale walioanzisha kundi la Mtandao ndani ya CCM.Kundi ambalo liliwaibua nyie na kuanza kuwatukana mpaka waasisi wa Taifa letu.Kundi ambalo liliendekeza siasa za Udini,Ukabila na Uswahiba.Mungu mkubwa amewapa pigo moja na mkafarakana hatimaye Rais wetu Mpendwa John Pombe Joseph Magufuli akapita katikati yenu na kuapishwa.Matusi yote mliyokuwa nayo inabidi myafungie Kabatini Milele maana baada ya Miaka Kumi ya Magufuli hakuna Mitandao wala Ujanjaujanja utakaomwingiza yeyote Madarakani.Lowassa vipi? Akili imeshamjia au bado ni zezeta la Mbowe?
Nimefurahi kusikia kuwa akili imekurudia na umerudi njia kuu. Kumbe ulichepuka tu ukakumbwa na mafuriko na dole limekurudisha!
Lowasa ndio walewale walioanzisha kundi la Mtandao ndani ya CCM.Kundi ambalo liliwaibua nyie na kuanza kuwatukana mpaka waasisi wa Taifa letu.Kundi ambalo liliendekeza siasa za Udini,Ukabila na Uswahiba.Mungu mkubwa amewapa pigo moja na mkafarakana hatimaye Rais wetu Mpendwa John Pombe Joseph Magufuli akapita katikati yenu na kuapishwa.Matusi yote mliyokuwa nayo inabidi myafungie Kabatini Milele maana baada ya Miaka Kumi ya Magufuli hakuna Mitandao wala Ujanjaujanja utakaomwingiza yeyote Madarakani.
Nimefurahi sana kuona umebadilika haraka sana na umerudi njia kuu.
Kumbe ulikuwa na kiherehere tu.
Cheo kikubwa sana hicho bahati mbaya si changu.
Vipi, wewe ni wale wale? maana naona unajiita mchambuzi, unachambuwa kama karanga?
Siji kukutembelea tena....kujivicha ukondoo wakati we nifisi kwa hilo moja tu limehalarisha magufuli kuwa kiongozi safi!?!? Najuta kuona huu uziHayo ni maneno ya msaidizi wangu wa nyumbani aka hg.
Nikamuuliza kwanini?
"Aaah bibi si nilimchagua Lowassa".
Kwanini?
"Niliona kama kaonewa na CCM".
Sasa nikusameh kwanini na hiyo ni haki yako kumchagua unaemuona anafaa?
"Bibi sasa nimejionea kwa macho yangu kuwa Magufuli ni bora sana zaidi ya Lowassa na sasa nimeamini CCM hawajamuonea".
Kwanini?
"Bibi wewe wacha tu, nilivyomuona anaongea kwa uchungu Muhimbili nikajuwa huyu kweli anatujali, babu Lowassa hata alivyokuwa akiongea haoneshi kama anajali au hajali.
"Bibi naweza kwenda kufuta kura yangu nimpe Magufuli?"
Mie nikaangua kicheko nikaanza kumuimbia; "CCM mbele kwa mbele".
Hayo ni kwa uchache yaliyojiri leo jioni nyumbani kwangu.
Nasubir hilo jibu pia mkuubado huyo mjukuu anakuomba msamaha?
Another ninja now....Hayo ni maneno ya msaidizi wangu wa nyumbani aka hg.
Nikamuuliza kwanini?
"Aaah bibi si nilimchagua Lowassa".
Kwanini?
"Niliona kama kaonewa na CCM".
Sasa nikusameh kwanini na hiyo ni haki yako kumchagua unaemuona anafaa?
"Bibi sasa nimejionea kwa macho yangu kuwa Magufuli ni bora sana zaidi ya Lowassa na sasa nimeamini CCM hawajamuonea".
Kwanini?
"Bibi wewe wacha tu, nilivyomuona anaongea kwa uchungu Muhimbili nikajuwa huyu kweli anatujali, babu Lowassa hata alivyokuwa akiongea haoneshi kama anajali au hajali.
"Bibi naweza kwenda kufuta kura yangu nimpe Magufuli?"
Mie nikaangua kicheko nikaanza kumuimbia; "CCM mbele kwa mbele".
Hayo ni kwa uchache yaliyojiri leo jioni nyumbani kwangu.
Hapa hata mtume tupa kuleHata mgalatia anakufaa enhee?