Mucho Mucho
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 245
- 256
wengi waliokuwa wanamshabikia lowasa walikuwa wanafata mkumbo leo nimekutana na bodaboda anasema 2020 hataki mabadiliko yeye magufuli tu lowasa alikuwa anafanya usanii wa kula kwa mama nitilie na kupanda daladala mbona kampeni imeisha harudii tena
Wacha upashkuna