TANZIA Bibi Susana Benjamin Mmary, binadamu aliyeishi miaka mingi zaidi Duniani kutokea Tanzania

TANZIA Bibi Susana Benjamin Mmary, binadamu aliyeishi miaka mingi zaidi Duniani kutokea Tanzania

Huu utaratibu wa kusubiri mpaka vikongwe wafwa ndo tuwasifie umri wao haujakaa sawa!


Tumefanya mistake kwa bibi yetu huyu, haya tusifanye mistake tena kwa huyu Bwana Humphrey Slow Slow (Chakubanga) wa Lumumba,

Tujitahidi tumtangaze kwenye platforms zote, dunia ifahamu The oldest living human specie is in Tanzania, healthy and strong! Cha kustajaabisha ni kuwa bado hajakamilisha evolution kuwa Homo Sapiens, bado yupo kwenye stage ya Homo Erectus, sasa guess age yake!
 
[emoji26][emoji26]ooh bibi nitammiss Sana nakumbuka Ni Bibi aliekuwa mchesh siku zote anakumbuka u asikwambie mtu na siku zote mnajua Kama mtu akizeka Sana anakuwa Kama mtoto alikuwa anapenda tukimpelekea zawad

Na huyo mjukuu wake wa 78 anaemfata Ni babu yangu (rip) tulimzika mwaka Jana

Bibi alikuwa so funny na tulikuwa tunajivunia Sana alikuwa na watoto 9 wajukuu 92 vitukuu 300 Yan historia yake ilikuwa ndefu kwel tulimzika Jumamos na Kila mtu alikuwa na furaha hamna wakulia tuliimba tulifurah maana Bibi mwenyewe alikuwa anasema "jina lake limepotea kwenye vitabu vya mungu[emoji1]"vitukuu na vilembwe tulikiwa Kama wotee Yani

Na hakuwa anaumwa ugonjwa wowte Bali jumanne tuliamka na kukuta Mungu kampenda zaidi

Pumzika kwa amani Bibi suzan kwa jina maarufu Kama Bibi Mateti
Mmeandika historia yake? Simulizi kuhusu ukoloni na wamisionali alizowasimulia mmezihifadhi vizuri?

Wazee Kama hawa ndio tool muhimu ya kurekebisha historia ya nchi zetu maana iliandikwa kwa mlengo wa wakoloni
 
Mmeandika historia yake? Simulizi kuhusu ukoloni na wamisionali alizowasimulia mmezihifadhi vizuri?

Wazee Kama hawa ndio tool muhimu ya kurekebisha historia ya nchi zetu maana iliandikwa kwa mlengo wa wakoloni
ipo inaandaliwa vizuri na wanaukoo Ni historia nzuri na ndefu pia ikikamilika wanaitoa mkuu
 
Back
Top Bottom