Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,541
- 3,521
Kiburu ndio nini mkuuNa kiburu mkuu
ni chakula mkuu watu wa moshi wanaelewaKiburu ndio nini mkuu
Ukikosoa kivp inakuwa sahihi na vp si sahihi. BTW, black is black and white is whiteSawa lakini kwa namna ulivyo kosoa wewe,haikua sahihi.
Mmeandika historia yake? Simulizi kuhusu ukoloni na wamisionali alizowasimulia mmezihifadhi vizuri?[emoji26][emoji26]ooh bibi nitammiss Sana nakumbuka Ni Bibi aliekuwa mchesh siku zote anakumbuka u asikwambie mtu na siku zote mnajua Kama mtu akizeka Sana anakuwa Kama mtoto alikuwa anapenda tukimpelekea zawad
Na huyo mjukuu wake wa 78 anaemfata Ni babu yangu (rip) tulimzika mwaka Jana
Bibi alikuwa so funny na tulikuwa tunajivunia Sana alikuwa na watoto 9 wajukuu 92 vitukuu 300 Yan historia yake ilikuwa ndefu kwel tulimzika Jumamos na Kila mtu alikuwa na furaha hamna wakulia tuliimba tulifurah maana Bibi mwenyewe alikuwa anasema "jina lake limepotea kwenye vitabu vya mungu[emoji1]"vitukuu na vilembwe tulikiwa Kama wotee Yani
Na hakuwa anaumwa ugonjwa wowte Bali jumanne tuliamka na kukuta Mungu kampenda zaidi
Pumzika kwa amani Bibi suzan kwa jina maarufu Kama Bibi Mateti
ipo inaandaliwa vizuri na wanaukoo Ni historia nzuri na ndefu pia ikikamilika wanaitoa mkuuMmeandika historia yake? Simulizi kuhusu ukoloni na wamisionali alizowasimulia mmezihifadhi vizuri?
Wazee Kama hawa ndio tool muhimu ya kurekebisha historia ya nchi zetu maana iliandikwa kwa mlengo wa wakoloni