Sasa kuna madudu au uharo kama huu ulioandika hapa? Yaani ni uharo mtupu!Acha kuleta porojo.. Biblia yenyewe inadai kila neno limetiwa Pumzi. Watafsiri ndio wameleta kwa Umoja kulingana na Maoni yao wenyewe ila ile OG ni wingi tu umetumika.
Just imagine wangapi wanatumikia Sheria hewa?
Sijui Walijisahau vipi pale kwenye "Na Tumfanye"
Mwanzo mojoja haiongelei umbaji (creation) bali inaongelea utengenezaji (making). Uumbaji Mungu alikuwa ameshaufanya kabla kwenye muda na wakati ambao Biblia haijasema.Kuna maneno mawili kwenye kiingereza kuna create na make
Creating is making something out of nothing bila kutumia any physical material
Making is using somethin physical to make something physical
Mwanzo 1 :1 God created he made something out of nothing .Mbingu na nchi
Wakati hiyo Genesis 1:26 kuna combination hapo ya divinity ya ku create na ku make
Huyo mtu aliumbwa kwa combination ya udongo na pumzi ya Mungu ndio maana kuna neno Make hapo
Mwanzo 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Sisi tumeumbwa in the image of God .Ina.maana gani Mungu aliposema let us create in our image aliongelea in the the imagination of God .What was in the imagination
Kwa nini limetumika in our imagination ? Hapo unaongelewa utatu mtakatifu .Mungu akiongea na Roho mtakatifu na Yesu .Na hapo ndio mwanzo tunaona wa nafsi tatu zikijadili kuwa mtu aumbe awe naye na awe na utatu yaani awe na mwili ,roho na nafsi .Hizo aspect zote tatu ziwemo kwa huyo mtu
Sio kuwa kuna miungu mitatu au mingi ilikuwa inajadiliana
Kwani wewe uliuliza nini? Au niseme auxiliary verb siyo verb na kwenye swali lako ulisema "yoyote" na verb yoyote includes auxiliary verb, doesn't it?Sasa hizo ni Auxiliary verb
Sio kweli utatu ulishakwepo kabla msikilize Michael Jones anasemajeHaya tueleze ni sehemu gani ilimtaja Mungu katika utatu? Council of Nicaea ndiyo iliyoleta mambo ya utatu mtakatifu.
Kwa nini Biblia haijasema "in our own imaginations"; bali "in our own imagination"?Kuna maneno mawili kwenye kiingereza kuna create na make
Creating is making something out of nothing bila kutumia any physical material
Making is using somethin physical to make something physical
Mwanzo 1 :1 God created he made something out of nothing .Mbingu na nchi
Wakati hiyo Genesis 1:26 kuna combination hapo ya divinity ya ku create na ku make
Huyo mtu aliumbwa kwa combination ya udongo na pumzi ya Mungu ndio maana kuna neno Make hapo
Mwanzo 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Sisi tumeumbwa in the image of God .Ina.maana gani Mungu aliposema let us create in our image aliongelea in the the imagination of God .What was in the imagination
Kwa nini limetumika in our imagination ? Hapo unaongelewa utatu mtakatifu .Mungu akiongea na Roho mtakatifu na Yesu .Na hapo ndio mwanzo tunaona wa nafsi tatu zikijadili kuwa mtu aumbe awe naye na awe na utatu yaani awe na mwili ,roho na nafsi .Hizo aspect zote tatu ziwemo kwa huyo mtu
Sio kuwa kuna miungu mitatu au mingi ilikuwa inajadiliana
Mwaka wa kukombolewa huu ni Mwaka wa kukombolewa oparesheni komboa familia Andika maombi 12 tia Sadaka yoyote upate mara 12 ya Sadaka yako, mtu anajaza Sadaka ili apate mara 12 Jamaa kavuna kaenda kukagua barabara Arusha na DABWatu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Despite its plural form, Elohim is perceived as a singular term. According to Genesis, Elohim is considered a monotheistic term despite its polytheistic grammatical structure.Hakuna kitu kama hicho mzee. Usilazimishe.
Bar na Bara ni maneno mawili tofauti.
Bara is the verb but Bar is the pronoun.
Soma kwanza hapa
Understanding Genesis 1 Hebrew: Create (bara) & Make (asah)
Many people who have written on Genesis 1 have attempted to make a very significant distinction between two Hebrew words found there.answersingenesis.org
Usiongeze nyingine utazidiwa 😂😂Sasa kuna madudu au uharo kama huu ulioandika hapa? Yaani ni uharo mtupu!
The grammatical understanding of Genesis 1:1 is simple, and the most fundamental principle for learning any language is to follow the ease of grammar.Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo.
Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na kutafsiri moja kwa moja lugha ya kiebrania kwenda kwenye Lugha ya Kigriki na hatimaye lugha ya kingereza.
Inasomeka
1. In the beginning God created the heavens and the earth.
2. Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
3. And God said, "Let there be light," and there was light.
Kutoka kwenye origin (Hebrew)
1. Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz,
Maelezo Kwenye mstari wa kwanza
Kwenye kiebrania tunaona hapo anaongelea Elohim neno elohim ni wingi. Yaani Miungu. maana yake hapo anaongelea miungu na wala siyo Mungu mmoja. Umoja wa neno Elohim ni Eloah
Hapo tayari kunakuwa na mkanganyiko mwanzoni tu.
Maelezo zaidi
Katika hiyo 1:1-3a inasomwa yote kwa pamoja. Lakini yule aliyekuwa anatafsiri aliigawanya na kisha akahatibu maana nzima ya maelezo.
Kwenya hebrew bible haiongelei kuhusu the beginning of creation.
Bali inaelezea kuwa wakati Miungu walipokuwa wakiumba dunia dunia ilikuwa ukiwa.
Inaweza kusomeka:-
1 When Gods began to create heaven and earth—2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from Gods sweeping over the water—3a Gods said, ‘Let there be light
Hii hapa juu ndiyo tafsiri sahihi ya kitabu cha mwanzo kabisa.
Nitaendelea kuchanganua zaidi.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Unajua lugha ya kiebraniaKama nilivyokueleza Council of Nicaea ndiyo iliyoleta mambo haya yote. Kesho nitaielezea vizuri na source of Trinity ni nini?
Concept ya Mungu mmoja ilianzia kwa wayahudiMleta mada Biblia ya Kiyahudi yaani Hebrew Bible tunazo na Hebrew Bible waliyoitafsiri wayahudi wenyewe kwa ajili ya matumzi yao i yao ipo Inaongelea God created not God's. Sasa wewe unajua tafsiri ya kiebrania kwenda kiingereza kuliko wao?
Pili dini ya kiyahudi ni waamini Mungu mmoja tu sio miungu na ndoe maana hata kwenye amri kumi za Mungu alizopewa Musa inatamka wazi kuwa usiwe na miungu mingine ila mimi tu
Hilo uliloandika linapingana kabisa na imani ya dini ya kiyahudi inayoamini Mungu mmoja tu muumba mbingu na nchi na ndio maana huo mstari wa Mwanzo 1 : 1 ulitafsiriwa hivyo kuwa hapo mwanzo Mungu aliumba Mbingu na Nchi saasawa na imani ya dini ya kiyahudi wenye agano la kale wanachoamini
Hilo ukiloandika haliko consistent na imani ya dini ya kiyahudi na Biblia yao ya kiyahudi inayoamin Mungu mmoja tu
Wayahudi wanaamin8 Mungu mmoja hakuna namna hapo wangeweka Miungu waliumba mbingu na nchi ni uongo hilo lako ni mafundisho ya kukoteza majalalani no fundisho la mashetani
Following a decade of debate, the concept was finally established at the First Council of Nicaea in 325 CE.Kama nilivyokueleza Council of Nicaea ndiyo iliyoleta mambo haya yote. Kesho nitaielezea vizuri na source of Trinity ni nini?
Hebu ngoja kwanza tuanze na maamuzi yaliyotokea kwenye kikao cha kwanza cha NicaeaFollowing a decade of debate, the concept was finally established at the First Council of Nicaea in 325 CE.
But what coursed debate??
According to the Old Testament, God encountered Christians in three roles:
-Creator,
-Lord of the salvation story,
-Father, and Judge
So the council of Nicaea, made a decision about something that was present prior to their arrival.
Moja ya maelengo ya council of Nicaea was Condemnation of ArianismFollowing a decade of debate, the concept was finally established at the First Council of Nicaea in 325 CE.
But what coursed debate??
According to the Old Testament, God encountered Christians in three roles:
-Creator,
-Lord of the salvation story,
-Father, and Judge
So the council of Nicaea, made a decision about something that was present prior to their arrival.
Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo.
Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na kutafsiri moja kwa moja lugha ya kiebrania kwenda kwenye Lugha ya Kigriki na hatimaye lugha ya kingereza.
Inasomeka
1. In the beginning God created the heavens and the earth.
2. Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
3. And God said, "Let there be light," and there was light.
Kutoka kwenye origin (Hebrew)
1. Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz,
Maelezo Kwenye mstari wa kwanza
Kwenye kiebrania tunaona hapo anaongelea Elohim neno elohim ni wingi. Yaani Miungu. maana yake hapo anaongelea miungu na wala siyo Mungu mmoja. Umoja wa neno Elohim ni Eloah
Hapo tayari kunakuwa na mkanganyiko mwanzoni tu.
Maelezo zaidi
Katika hiyo 1:1-3a inasomwa yote kwa pamoja. Lakini yule aliyekuwa anatafsiri aliigawanya na kisha akahatibu maana nzima ya maelezo.
Kwenya hebrew bible haiongelei kuhusu the beginning of creation.
Bali inaelezea kuwa wakati Miungu walipokuwa wakiumba dunia dunia ilikuwa ukiwa.
Inaweza kusomeka:-
1 When Gods began to create heaven and earth—2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from Gods sweeping over the water—3a Gods said, ‘Let there be light
Hii hapa juu ndiyo tafsiri sahihi ya kitabu cha mwanzo kabisa.
Nitaendelea kuchanganua zaidi.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Wacha kujistress mkuu, nenda kafanye starehe.Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo.
Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na kutafsiri moja kwa moja lugha ya kiebrania kwenda kwenye Lugha ya Kigriki na hatimaye lugha ya kingereza.
Inasomeka
1. In the beginning God created the heavens and the earth.
2. Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
3. And God said, "Let there be light," and there was light.
Kutoka kwenye origin (Hebrew)
1. Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz,
Maelezo Kwenye mstari wa kwanza
Kwenye kiebrania tunaona hapo anaongelea Elohim neno elohim ni wingi. Yaani Miungu. maana yake hapo anaongelea miungu na wala siyo Mungu mmoja. Umoja wa neno Elohim ni Eloah
Hapo tayari kunakuwa na mkanganyiko mwanzoni tu.
Maelezo zaidi
Katika hiyo 1:1-3a inasomwa yote kwa pamoja. Lakini yule aliyekuwa anatafsiri aliigawanya na kisha akahatibu maana nzima ya maelezo.
Kwenya hebrew bible haiongelei kuhusu the beginning of creation.
Bali inaelezea kuwa wakati Miungu walipokuwa wakiumba dunia dunia ilikuwa ukiwa.
Inaweza kusomeka:-
1 When Gods began to create heaven and earth—2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from Gods sweeping over the water—3a Gods said, ‘Let there be light
Hii hapa juu ndiyo tafsiri sahihi ya kitabu cha mwanzo kabisa.
Nitaendelea kuchanganua zaidi.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Muulize aliyesema hivyo. Nimejibu kulingana na swali nililoulizwa maana nilivyojibu, akasema auxiliary verbs, nikauliza mbona swali lilisema verb yoyote? Sasa unaniuliza mimi as if nimesema "was" na "were" ni auxiliary verbs? Kama nimesema hivyo dondoa sehemu niliyosema hivyo.Sasa hizo ni Auxiliary verb
Mzee huelewi hata tulikuwa tunaongelea nini. Na hiyo mada tumeshaimaliza.Muulize aliyesema hivyo. Nimejibu kulingana na swali nililoulizwa maana nilivyojibu, akasema auxiliary verbs, nikauliza mbona swali lilisema verb yoyote? Sasa unaniuliza mimi as if nimesema "was" na "were" ni auxiliary verbs? Kama nimesema hivyo dondoa sehemu niliyosema hivyo.