Usianze kuibua maswali mengine jibu kwanza swali la post.Humo Ndani Mpo wanaume wangapi? Na kama mwanaume ni wewe, nani amemuoa mwenzake ??.
Kufikia hapo hiyo ndoa itakosa uhalali wa kuendelea, itakufaHaijalishi hata kama mwanaume ananyimwa mwaka mzima haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha, kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Unakua kama yule mfalme mwenye wake wengi na utajiri mwingi sulemaniBIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA
Nachojua no kwamba katika hali hii biblia huwa inashindwa kutatua tatizo, itabidi watu waende mahakamani ama viongozi wa kanisa wao wenyewe wapindishe sheria ili muachane kwasababu kuachana kikristo ni mpaka tu kuwe na usaliti ama kifo kiwatenganishe, Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa mwaka mzima haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha, kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Hizo ni sheria hazipo kwa kikristoKufikia hapo hiyo ndoa itakosa uhalali wa kuendelea, itakufa
Sio kweli, hiyo haitakuwa ndoa tena.Hizo sio sheria za kikristo.
Mwanaume wa kikristo inabidi avumilie hata miaka 20 bila tendo la ndoa ikiwa mke wake hataki
Yesu alishasema kigezo pekee cha ndoa kuvunjika ni usaliti pekee, vinginevyo ni mpaka kifo.Sio kweli, hiyo haitakuwa ndoa tena.
tupe na ushahidi wa andikoKufikia hapo hiyo ndoa itakosa uhalali wa kuendelea, itakufa
Hata kunyimana tendo ni usaliti huo.Yesu alishasema kigezo pekee cha ndoa kuvunjika ni usaliti pekee, vinginevyo ni mpaka kifo.
Katafute mwenyewe acha uvivutupe na ushahidi wa andiko
Huu sio uvivu kwasababu natafuta kupitia weweKatafute mwenyewe acha uvivu
unafikiri ni akili yako pekee inatosha kutatua mtatizo yako bila ya kitu tofauti nje na weweUnategemea biblia na quran zikusaidie kutatua matatizo???!!! sasa ulipewa akili na ufahamu kwaajili gani?? kwenye biblia hiyo hiyo kuna mtu alikua na wake sijua 100 au 1000 na hakuadhibiwa chochote na mungu zaidi ya kuzawadiwa utajiri na hekima alafu kwenye biblia hiyo hiyo mnaambiwa muoe mke mmoja???!!! hao walioandika hivyo vitabu sijui walikuwa wanatumia vilevi gani
MKE halali wa sulemani alikuwa mmoja hao wengne ni tamaa zakeUnategemea biblia na quran zikusaidie kutatua matatizo???!!! sasa ulipewa akili na ufahamu kwaajili gani?? kwenye biblia hiyo hiyo kuna mtu alikua na wake sijua 100 au 1000 na hakuadhibiwa chochote na mungu zaidi ya kuzawadiwa utajiri na hekima alafu kwenye biblia hiyo hiyo mnaambiwa muoe mke mmoja???!!! hao walioandika hivyo vitabu sijui walikuwa wanatumia vilevi gani