Biblia haijamilika inahitaji msaada wa nje, haiwezi kujisimamia

Biblia haijamilika inahitaji msaada wa nje, haiwezi kujisimamia

Nimekaa sana pwani niseme nimekulia pwani ktk watu hawaheshim ndoa ni waislam binti wa miaka 25 anaweza kua kaolewa mara tatu ama nne na anawatoto kila mmoja ana baba yake sasa sijui nani wako sahihi wazee wa kufa na kuzikana ama wazee wa acha kesho oa
umeielewa mada ya mtoa mada?
 
Nimekaa sana pwani niseme nimekulia pwani ktk watu hawaheshim ndoa ni waislam binti wa miaka 25 anaweza kua kaolewa mara tatu ama nne na anawatoto kila mmoja ana baba yake sasa sijui nani wako sahihi wazee wa kufa na kuzikana ama wazee wa acha kesho oa
UTAKUTA MWANAMKE AMEOLEWA NA WANAUME ZAIDI YA 6 NA KILA MTOTO NA BABAKE NA HUKO NDKO UISLAMU UMETAMALAKI
 
BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA

Nachojua no kwamba katika hali hii biblia huwa inashindwa kutatua tatizo, itabidi watu waende mahakamani ama viongozi wa kanisa wao wenyewe wapindishe sheria ili muachane kwasababu kuachana kikristo ni mpaka tu kuwe na usaliti ama kifo kiwatenganishe, Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa mwaka mzima haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha, kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Jua kwanza kutofautisha kati ya urijali na tamaa. Tamaa sio kipimo cha urijali.
 
unafikiri ni akili yako pekee inatosha kutatua mtatizo yako bila ya kitu tofauti nje na wewe
Akili yangu pekee haitoshi ndio maana siko pekeyangu hapa duniani, ila biblia na quran na kitabu chochote cha kiimani haziwezi kutatua changamoto za binaadamu yeyote kwenye ulimwengu. Infact sijawahi kuona hata kanisa au msikiti uliojengwa kwa kusoma mafundisho ya quran ama bible
 
BIBLIA IKO WAZI HAPO.biblia inasema msinyimane tena ikaenda zaidi mwanamke hana mamlaka juu ya mwili wake na hvyo hvyo mwanaume pia.km kuna hali hyo ya kunyimana km unavyosema hapo juu basi hakuna ndoa hapo inavunjwa.talaka ipo kwajili ya uzinzi na ni ruksa kwa mujibu wa biblia.usitegemee ufanye figisu kwnye ndoa kisa hakuna talaka,talaka ipo
Ndoa itavunjwa tu pale patapokuwa na ushahidi kuna moja wenu anazini nje ya ndoa, FULLSTOP !!
 
Vumilia siku za maisha yako yote. Huo ndiyo msalaba wako uubebe kwa furaha isiyo na kifani
 
BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA,

Sheria za ndoa ya kikristo zimeweka huruhusiwi kuongeza mke, hamruhusuwi kuachana isipokuwa kwa vitu viwili tu ambavyo ni usaliti ama kifo.

Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa tendo mwaka mzima, haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha mkewe, na kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.

Nina uhakika wa asilimia 100 sheria za kikristo haziwezi kujisimamia ndio maana watu hukimbilia mahakamani ama viongozi wa kanisa hao hao waliofungisha ndoa kwa sheria za kikristo watapindisha sheria ili muachane
quran inasemaje kuhusu mwanamke aliyenyimwa unyumba mwaka mzima?
 
BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA,

  • huruhusiwi kuongeza mke
  • Ndoa itavunjwa tu patapokuwa na ushahidi moja wenu anazini nje ya ndoa
  • Kutengana ni mpaka kifo ndipo unapoweza kuoa upya,

Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa tendo mwaka mzima, haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha mkewe, na kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.

Nina uhakika wa asilimia 100 sheria za kikristo haziwezi kujisimamia ndio maana watu hukimbilia mahakamani ama viongozi wa kanisa hao hao waliofungisha ndoa kwa sheria za kikristo watapindisha sheria ili muachane
Unathibitishaje kwamba mwenza anakosa unyumba mwaka nzima?
 
BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA,

  • huruhusiwi kuongeza mke
  • Ndoa itavunjwa tu patapokuwa na ushahidi moja wenu anazini nje ya ndoa
  • Kutengana ni mpaka kifo ndipo unapoweza kuoa upya,

Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa tendo mwaka mzima, haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha mkewe, na kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.

Nina uhakika wa asilimia 100 sheria za kikristo haziwezi kujisimamia ndio maana watu hukimbilia mahakamani ama viongozi wa kanisa hao hao waliofungisha ndoa kwa sheria za kikristo watapindisha sheria ili muachane
Suluhisho ndilo hilo jamaa yangu... mahakamani au kupindisha sheria watu waachane.
 
Hizo ni sheria hazipo kwa kikristo

Mwanaume wa kikristo hata akinyimwa miaka 20 sio kigezo cha ndoa kuvunjika na ni marufuku kuongeza mke
Acha uongo wewe. Ndoa ni tendo.
Ndoa haitavunjika kama kukosekana kwa tendo kumetokana na ugonjwa. Lakini kama ni kwa makusudi na ikathibitishwa inaweza kuvunjika.
 
Acha uongo wewe. Ndoa ni tendo.
Ndoa haitavunjika kama kukosekana kwa tendo kumetokana na ugonjwa. Lakini kama ni kwa makusudi na ikathibitishwa inaweza kuvunjika.
Hizo ni sheria zako, kanisa haliwezi kuvunja ndoa kwa hio sababu ndio maana watu wanakimbilia mahakamani
 
Hizo ni sheria zako, kanisa haliwezi kuvunja ndoa kwa hio sababu ndio maana watu wanakimbilia mahakamani
Kanisa linatumia akili kusolve matatizo. Sio lazima kila kitu kipangiwe sheria...
Labda nikujulishe kwamba kanisa katoliki lina sheria za ndoa..kipo kitabu kabisa kinachoelezea nini maana ya ndoa na sababu zipi zinafanya ndoa kuwa batili.

Kama kweli unataka kupata majibu tafuta hicho kitabu ukisome.
Sheria zipo wazi. Sina uhakika na makanisa mengine.

NDOA NI TENDO LA NDOA.
 
Kanisa linatumia akili kusolve matatizo. Sio lazima kila kitu kipangiwe sheria...
Labda nikujulishe kwamba kanisa katoliki lina sheria za ndoa..kipo kitabu kabisa kinachoelezea nini maana ya ndoa na sababu zipi zinafanya ndoa kuwa batili.

Kama kweli unataka kupata majibu tafuta hicho kitabu ukisome.
Sheria zipo wazi. Sina uhakika na makanisa mengine.

NDOA NI TENDO LA NDOA.
Hakuna cha msaada humo ndio maana hata wakatoliki wanavunja ndoa mahakamani kwa kunyimwa unyumba
 
Hakuna cha msaada humo ndio maana hata wakatoliki wanavunja ndoa mahakamani kwa kunyimwa unyumba
Kuvunjika kwa ndoa ya kikatoliki lazima kwanza wawe wameanzia kwenye mahakama ya kanisa ndoa inakuwa imebatilishwa halafu ndio waende mahakama ya serikali.

Usiwe unabisha ili mradi tu ulete ubishi. Kubali kuelimika. Fanya research yako vizuri.
 
Back
Top Bottom