Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Sio kazi yangu kukutafutia wewe maandikoHuu sio uvivu kwasababu natafuta kupitia wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kazi yangu kukutafutia wewe maandikoHuu sio uvivu kwasababu natafuta kupitia wewe
umeielewa mada ya mtoa mada?Nimekaa sana pwani niseme nimekulia pwani ktk watu hawaheshim ndoa ni waislam binti wa miaka 25 anaweza kua kaolewa mara tatu ama nne na anawatoto kila mmoja ana baba yake sasa sijui nani wako sahihi wazee wa kufa na kuzikana ama wazee wa acha kesho oa
unafikiri kunamtu ataamini andiko lako bila ya ushahidi?Sio kazi yangu kukutafutia wewe maandiko
Kasome maana ya 'ndoa' kwanza.unafikiri kunamtu ataamini andiko lako bila ya ushahidi?
UTAKUTA MWANAMKE AMEOLEWA NA WANAUME ZAIDI YA 6 NA KILA MTOTO NA BABAKE NA HUKO NDKO UISLAMU UMETAMALAKINimekaa sana pwani niseme nimekulia pwani ktk watu hawaheshim ndoa ni waislam binti wa miaka 25 anaweza kua kaolewa mara tatu ama nne na anawatoto kila mmoja ana baba yake sasa sijui nani wako sahihi wazee wa kufa na kuzikana ama wazee wa acha kesho oa
Jua kwanza kutofautisha kati ya urijali na tamaa. Tamaa sio kipimo cha urijali.BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA
Nachojua no kwamba katika hali hii biblia huwa inashindwa kutatua tatizo, itabidi watu waende mahakamani ama viongozi wa kanisa wao wenyewe wapindishe sheria ili muachane kwasababu kuachana kikristo ni mpaka tu kuwe na usaliti ama kifo kiwatenganishe, Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa mwaka mzima haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha, kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Akili yangu pekee haitoshi ndio maana siko pekeyangu hapa duniani, ila biblia na quran na kitabu chochote cha kiimani haziwezi kutatua changamoto za binaadamu yeyote kwenye ulimwengu. Infact sijawahi kuona hata kanisa au msikiti uliojengwa kwa kusoma mafundisho ya quran ama bibleunafikiri ni akili yako pekee inatosha kutatua mtatizo yako bila ya kitu tofauti nje na wewe
Ndoa itavunjwa tu pale patapokuwa na ushahidi kuna moja wenu anazini nje ya ndoa, FULLSTOP !!BIBLIA IKO WAZI HAPO.biblia inasema msinyimane tena ikaenda zaidi mwanamke hana mamlaka juu ya mwili wake na hvyo hvyo mwanaume pia.km kuna hali hyo ya kunyimana km unavyosema hapo juu basi hakuna ndoa hapo inavunjwa.talaka ipo kwajili ya uzinzi na ni ruksa kwa mujibu wa biblia.usitegemee ufanye figisu kwnye ndoa kisa hakuna talaka,talaka ipo
quran inasemaje kuhusu mwanamke aliyenyimwa unyumba mwaka mzima?BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA,
Sheria za ndoa ya kikristo zimeweka huruhusiwi kuongeza mke, hamruhusuwi kuachana isipokuwa kwa vitu viwili tu ambavyo ni usaliti ama kifo.
Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa tendo mwaka mzima, haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha mkewe, na kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Nina uhakika wa asilimia 100 sheria za kikristo haziwezi kujisimamia ndio maana watu hukimbilia mahakamani ama viongozi wa kanisa hao hao waliofungisha ndoa kwa sheria za kikristo watapindisha sheria ili muachane
Unathibitishaje kwamba mwenza anakosa unyumba mwaka nzima?BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA,
- huruhusiwi kuongeza mke
- Ndoa itavunjwa tu patapokuwa na ushahidi moja wenu anazini nje ya ndoa
- Kutengana ni mpaka kifo ndipo unapoweza kuoa upya,
Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa tendo mwaka mzima, haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha mkewe, na kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Nina uhakika wa asilimia 100 sheria za kikristo haziwezi kujisimamia ndio maana watu hukimbilia mahakamani ama viongozi wa kanisa hao hao waliofungisha ndoa kwa sheria za kikristo watapindisha sheria ili muachane
acha kukwepa kwepa hayo maneno umetoa kwa utashi wako na sio maandikoKasome maana ya 'ndoa' kwanza.
Suluhisho ndilo hilo jamaa yangu... mahakamani au kupindisha sheria watu waachane.BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA,
- huruhusiwi kuongeza mke
- Ndoa itavunjwa tu patapokuwa na ushahidi moja wenu anazini nje ya ndoa
- Kutengana ni mpaka kifo ndipo unapoweza kuoa upya,
Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa tendo mwaka mzima, haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha mkewe, na kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Nina uhakika wa asilimia 100 sheria za kikristo haziwezi kujisimamia ndio maana watu hukimbilia mahakamani ama viongozi wa kanisa hao hao waliofungisha ndoa kwa sheria za kikristo watapindisha sheria ili muachane
Acha uongo wewe. Ndoa ni tendo.Hizo ni sheria hazipo kwa kikristo
Mwanaume wa kikristo hata akinyimwa miaka 20 sio kigezo cha ndoa kuvunjika na ni marufuku kuongeza mke
That's funnyKama agano la kale na agano jipya imeshindwa kutatua tutafanya amendment tulete Agano la Kesho mambo yote tutaweka sawa hilo la ndoa linalosumbua litakua la kwanza kurekebishwa
Hizo ni sheria zako, kanisa haliwezi kuvunja ndoa kwa hio sababu ndio maana watu wanakimbilia mahakamaniAcha uongo wewe. Ndoa ni tendo.
Ndoa haitavunjika kama kukosekana kwa tendo kumetokana na ugonjwa. Lakini kama ni kwa makusudi na ikathibitishwa inaweza kuvunjika.
Kanisa linatumia akili kusolve matatizo. Sio lazima kila kitu kipangiwe sheria...Hizo ni sheria zako, kanisa haliwezi kuvunja ndoa kwa hio sababu ndio maana watu wanakimbilia mahakamani
Hakuna cha msaada humo ndio maana hata wakatoliki wanavunja ndoa mahakamani kwa kunyimwa unyumbaKanisa linatumia akili kusolve matatizo. Sio lazima kila kitu kipangiwe sheria...
Labda nikujulishe kwamba kanisa katoliki lina sheria za ndoa..kipo kitabu kabisa kinachoelezea nini maana ya ndoa na sababu zipi zinafanya ndoa kuwa batili.
Kama kweli unataka kupata majibu tafuta hicho kitabu ukisome.
Sheria zipo wazi. Sina uhakika na makanisa mengine.
NDOA NI TENDO LA NDOA.
Kuvunjika kwa ndoa ya kikatoliki lazima kwanza wawe wameanzia kwenye mahakama ya kanisa ndoa inakuwa imebatilishwa halafu ndio waende mahakama ya serikali.Hakuna cha msaada humo ndio maana hata wakatoliki wanavunja ndoa mahakamani kwa kunyimwa unyumba