Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Bora uibiweHivi akijitokeza ntu mmoja auibe tuone Kama watautengeneza mwingine au vipi..me naoanaga Kama mwenge ule Moto ni kuonyesha alama kuwa nchi una vikosi vya kijeshi vinalinda nchi.....bujibuji sema sisi tuna amani ingekuwa kwimgine huko watu tungerushiwa bomu kwenye hivi vilele vya sherehe za mwenge
Kenya nchi ndogo Sana lakini wako mbali Sana.Yaani hilo dude ni laana kubwa kwa nchi, ndo maana mtu unajiuliza kwa nini hii nchi haipigi hatua za kimaendeleo za maana iwapo ina rasilimali chungu nzima kuzidi nchi nyingi duniani? halafu ibada za kimiungu kama hizo zinafunga mafanikio ya watu wote wanaozaliwa wakiwa na identity ya nchi husika........haya ndo mambo watu wa Mungu wanatakiwa kuombea, kuzuia ibada za kimiungu na kimaagano juu ya nchi.
Kweli kabisa Mwakitombeo a.k.a kidinyioLaaana hiii
Na hii nchi ina 52% ya eneo zima la E.A hapo ndo ushangae, mbona Kenya wao hawana ibada ya hili dude....Kenya nchi ndogo Sana lakini wako mbali Sana.
Makampuni mengi makubwa nchini ni ya Wakenya
Usitetee utumbafu, aliyeasisi Mwenge alikuwa Mkristo Julius k NyerereWanaofanya hizo ibada za mwenge si i watu wa dini nyingine tofauti na ukristo?
Sasa mbona unatumia vifungu vya biblia kuonesha dosari?
Muislam atakua sahihi kusema mkristo amepewa laana na Allah kwasababu anatumia misalaba kwenye ibada pamoja na kubatiza wakati vimekatazwa kwenye kuran?
Hapo mwenge umeuona wapi kilaza huyu huyu hamjui maana ya siraha za moto , siraha za moto sio mwenge ni ujinga tu wa bujibujiKwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Mkuu hili swala linafanyika likiwa na sura ya kitaifa, ina maana eneo zima la Tanzania na watu wote wenye identity ya utanzania wameingizwa kwenye agano hilo......Wanaofanya hizo ibada za mwenge si i watu wa dini nyingine tofauti na ukristo?
Sasa mbona unatumia vifungu vya biblia kuonesha dosari?
Muislam atakua sahihi kusema mkristo amepewa laana na Allah kwasababu anatumia misalaba kwenye ibada pamoja na kubatiza wakati vimekatazwa kwenye kuran?
Hamia kenyaKenya nchi ndogo Sana lakini wako mbali Sana.
Makampuni mengi makubwa nchini ni ya Wakenya
Kwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Nabaki hapahapaHamia kenya
USSR
Hao ndio wawakilishi wa sheitwani nchini