Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kulikua hakuna mantiki yeyote yakuweka vifungu vya biblia, mbona ni swala linaloweza kujadilika bila kuhusishwa na habari za diniMkuu hili swala linafanyika likiwa na sura ya kitaifa, ina maana eneo zima la Tanzania na watu wote wenye identity ya utanzania wameingizwa kwenye agano hilo......