Biblia imetamka laana Kali sana kwa wanaofanya Ibada za mwenge

Biblia imetamka laana Kali sana kwa wanaofanya Ibada za mwenge

Sisi tumekwisha uwasha mwenge

A physical object inayowashwa kwa moto wa kiberiti inakuletea matumaini na heshima kwa mechanism gani hasa kama hakuna ibada ya kishetani inayofanyika hapo. Maana nuru ya kwenye maandiko uliyo quote siyo hii inayotolewa na hili dubwasha mnalokimbiza kila kona kama nilivyoeleza hapo juu....
 
Wafuasi wa Chadema wengi huwaa hawana sera wanaanzisha lolote lile halafu walivyo wapumbavu wanasapotiana...Biblia asili yake ni huko uzunguni kivipi wajiwekee misingi yao wao kwamba anayeabudu mwenge ana laana halafu hiyo laana itupate sisi??..ndio maana wahindi wana miungu yao na wamekataa huu upumbavu wa kuwa watumwa japokuwa kwenye biblia hizohizo wameandika usiabudu miungu mingine lakini wahindi wanaabudu kama kawaida na blessings over blessings zinakuja kwa nchi yao

Halafu utakuta haohao wanatumia biblia kila jumamosi na jumapili makanisani
Ila hapa jukwaani nyuma ya keyboard wanajitoa ufahamu
 
Hiyo nimesoma, na wewe soma hata biblia ya kiingereza labda utaelewa nilichokuambia na utaelewa pia maana ya hili tendo la kuwasha mwenge



Katika maandiko matakatifu kuna mafundisho, maagizo na unabii
Kwa mafundisho tunajifunza, kwa maagizo au amri tunatekeleza na unabii unatimizwa

Sababu ya Mungu kutuleta duniani ni kuja kutimiza kazi zake. Kila mtu ni mtume wa Mungu kwa nafasi yake, na tukifuata Mungu alichotutuma kwa kuisikiliza sauti ya tutatimiza hata unabii uliowahi tabiriwa. Hata wewe hapo ulipo unaweza kukuta unatimiza unabii either kwa kujua au kutokujua

Kwa kuuwasha mwenge Nyerere alikua anatimiza unabii ulioandikwa kwamba
Isaya 9: 2
Watu wale waliokwenda katika giza Wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru imewaangaza.

Tukumbuke wakoloni waliotutawala waliwekeza sana Kilimanjaro kwenye huduma za kijamii kama mashule, mahospitali, mahoteli, kilimo, makanisa...... Nyerere hakuishia kuwasha tuu mwenge kama tendo la imani. Bali aliweza kuisambaza ile nuru kutoka Kilimanjaro kwa kuhakikisha vijana wa ule mkoa wanasambazwa nchi nzima ili kueneza kile walichokua nacho kupitia mashule na ajira. Na hii ilisaidia sana kuvunja ukabila, matabaka na kuleta upendo na umoja.
Huo ndio unabii wa mwenge wa uhuru

Mwenge wa Tanzania haukuwashwa ili utumike kama silaha au uabudiwe, bali uliwashwa kama tendo la imani katika kuleta nuru na matumani kwa nchi yetu na majirani

2Petro 1: 19 - 20
Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing'aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.

Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.





Soma historia jinsi Mwenge ulivyopatikana, aliutoa ibilisi mwenyewe.

 
A physical object inayowashwa kwa moto wa kiberiti inakuletea matumaini na heshima kwa mechanism gani hasa kama hakuna ibada ya kishetani inayofanyika hapo. Maana nuru ya kwenye maandiko uliyo quote siyo hii inayotolewa na hili dubwasha mnalokimbiza kila kona kama nilivyoeleza hapo juu....

Punguza povu maana ni kama mwenge unakuchoma hadi kumoyo

MWENGE ni object inayotumika kuamsha ari za watanzania kama KENGELE inavyotumia makanisani na ADHANA inavyotumika miskitini

Usiendeele kuumia maana tumekwisha uwasha mwenge😅😅😅
 
Soma historia jinsi Mwenge ulivyopatikana, aliutoa ibilisi mwenyewe.


Ili ibilisi wenu aupinge mwenge lazima aje na uongo. Hilo andiko leno ndio ushetani wenyewe

Hata Mtume Mohammad SAW na Yesu walitungiwa uongo mwingi tuu na bado kazi ikaendelea

Na ndio hivyo mwenge ushawashwa na nuru, amani, matumaini vimeshaene

 
Wafuasi wa Chadema wengi huwaa hawana sera wanaanzisha lolote lile halafu walivyo wapumbavu wanasapotiana...Biblia asili yake ni huko uzunguni kivipi wajiwekee misingi yao wao kwamba anayeabudu mwenge ana laana halafu hiyo laana itupate sisi??..ndio maana wahindi wana miungu yao na wamekataa huu upumbavu wa kuwa watumwa japokuwa kwenye biblia hizohizo wameandika usiabudu miungu mingine lakini wahindi wanaabudu kama kawaida na blessings over blessings zinakuja kwa nchi yao
Wazungu wenyewe walipelekewa injili ya kristo na mtume Paulo ambaye ni myahudi, mafanikio yanayotokana na ibada za kimiungu huko india unakosema siyo blessings kutoka kwa Mungu Mkuu, ni mafanikio ya kimiungu au ya kiibilisi........Mungu Mwenyezi siyo ng'ombe anayeabudiwa na wahindi, tambua hilo......
 
Punguza povu maana ni kama mwenge unakuchoma hadi kumoyo

MWENGE ni object inayotumika kuamsha ari za watanzania kama KENGELE inavyotumia makanisani na ADHANA inavyotumika miskitini

Usiendeele kuumia maana tumekwisha uwasha mwenge😅😅😅

Umetafuta backing kwenye maandiko ya biblia ukagonga mwamba, endelea na upotevu wako bibie......ila kuwa makini kupotosha watu wengine maana utawabebea adhabu zao.
 
Ili ibilisi wenu aupinge mwenge lazima aje na uongo. Hilo andiko leno ndio ushetani wenyewe

Hata Mtume Mohammad SAW na Yesu walitungiwa uongo mwingi tuu na bado kazi ikaendelea

Na ndio hivyo mwenge ushawashwa na nuru, amani, matumaini vimeshaene


Kwa hiyo Mwenge tuliokatazwa nao sio huo wa CCM?
 
Kwa hiyo Mwenge tuliokatazwa nao sio huo wa CCM?

Kasome andiko ulilonakili liko wazi kabisa kukemea matumizi ya mwenge kama silaha

Huu wetu tangu enzi unahubiri amani, furaha, matumaini
 
Umetafuta backing kwenye maandiko ya biblia ukagonga mwamba, endelea na upotevu wako bibie......ila kuwa makini kupotosha watu wengine maana utawabebea adhabu zao.


Wewe nawe mzito sana kuelewa...... sijui ilikuchukua muda gani kujua kusoma na kuandika🙄

Haya soma tena kwa ufahamu👇

Katika maandiko matakatifu kuna mafundisho, maagizo na unabii
Kwa mafundisho tunajifunza, kwa maagizo au amri tunatekeleza na unabii unatimizwa

Sababu ya Mungu kutuleta duniani ni kuja kutimiza kazi zake. Kila mtu ni mtume wa Mungu kwa nafasi yake, na tukifuata Mungu alichotutuma kwa kuisikiliza sauti ya tutatimiza hata unabii uliowahi tabiriwa. Hata wewe hapo ulipo unaweza kukuta unatimiza unabii either kwa kujua au kutokujua

Kwa kuuwasha mwenge Nyerere alikua anatimiza unabii ulioandikwa kwamba
Isaya 9: 2
Watu wale waliokwenda katika giza Wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru imewaangaza.

Tukumbuke wakoloni waliotutawala waliwekeza sana Kilimanjaro kwenye huduma za kijamii kama mashule, mahospitali, mahoteli, kilimo, makanisa...... Nyerere hakuishia kuwasha tuu mwenge kama tendo la imani. Bali aliweza kuisambaza ile nuru kutoka Kilimanjaro kwa kuhakikisha vijana wa ule mkoa wanasambazwa nchi nzima ili kueneza kile walichokua nacho kupitia mashule na ajira. Na hii ilisaidia sana kuvunja ukabila, matabaka na kuleta upendo na umoja.
Huo ndio unabii wa mwenge wa uhuru

Mwenge wa Tanzania haukuwashwa ili utumike kama silaha au uabudiwe, bali uliwashwa kama tendo la imani katika kuleta nuru na matumani kwa nchi yetu na majirani

2Petro 1: 19 - 20
Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing'aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.

Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.

Nyumisi Kiranja Mkuu NA WENZENU tafuteni maada zenye faida na maslahi ya nchi yetu tujadili

Punguzeni povu maana ni kama mwenge unawachoma hadi kumoyo

MWENGE ni object inayotumika kuamsha ari za watanzania kama KENGELE inavyotumia makanisani na ADHANA inavyotumika miskitini

Usiendeele kuumia maana tumekwisha uwasha mwenge😅😅😅

 
Kasome andiko ulilonakili liko wazi kabisa kukemea matumizi ya mwenge kama silaha

Huu wetu tangu enzi unahubiri amani, furaha, matumaini

Ndo maana pombe na ngono huwa vinatamalaki sana pale usiku kuzunguka mwenge kama ishara ya kupata amani, furaha na matumaini.......yaani unapata amani ya mungu mwenge.
 
Wewe nawe mzito sana kuelewa

Katika maandiko matakatifu kuna mafundisho, maagizo na unabii
Kwa mafundisho tunajifunza, kwa maagizo au amri tunatekeleza na unabii unatimizwa

Sababu ya Mungu kutuleta duniani ni kuja kutimiza kazi zake. Kila mtu ni mtume wa Mungu kwa nafasi yake, na tukifuata Mungu alichotutuma kwa kuisikiliza sauti ya tutatimiza hata unabii uliowahi tabiriwa. Hata wewe hapo ulipo unaweza kukuta unatimiza unabii either kwa kujua au kutokujua

Kwa kuuwasha mwenge Nyerere alikua anatimiza unabii ulioandikwa kwamba
Isaya 9: 2
Watu wale waliokwenda katika giza Wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru imewaangaza.

Tukumbuke wakoloni waliotutawala waliwekeza sana Kilimanjaro kwenye huduma za kijamii kama mashule, mahospitali, mahoteli, kilimo, makanisa...... Nyerere hakuishia kuwasha tuu mwenge kama tendo la imani. Bali aliweza kuisambaza ile nuru kutoka Kilimanjaro kwa kuhakikisha vijana wa ule mkoa wanasambazwa nchi nzima ili kueneza kile walichokua nacho kupitia mashule na ajira. Na hii ilisaidia sana kuvunja ukabila, matabaka na kuleta upendo na umoja.
Huo ndio unabii wa mwenge wa uhuru

Mwenge wa Tanzania haukuwashwa ili utumike kama silaha au uabudiwe, bali uliwashwa kama tendo la imani katika kuleta nuru na matumani kwa nchi yetu na majirani

2Petro 1: 19 - 20
Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing'aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.

Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.
Unabii wa mwenge wa tanzagiza umetajwa kwenye maandiko yapi bibie, na Nyerere kama nabii katajwa kwenye vitabu vipi? tuanzie hapo kwanza.....
 
Ndo maana pombe na ngono huwa vinatamalaki sana pale usiku kuzunguka mwenge kama ishara ya kupata amani, furaha na matumaini.......yaani unapata amani ya mungu mwenge.


Ukiweza kuanza kukemea pombe na ngono kwenye maisha yako binafsi, kwenye nyumba yako, familia yako, ukoo wako na mtaa wako utakua umelisaidia sana taifa sababu hata kwenye mwenge zitaondoka

KAZI IENDELEE
 
Unabii wa mwenge wa tanzagiza umetajwa kwenye maandiko yapi bibie, na Nyerere kama nabii katajwa kwenye vitabu vipi? tuanzie hapo kwanza.....

Maandiko nimekuwekea muda sana. Una tatizo la kusoma bila kuelewa wewe
 
Ukiweza kuanza kukemea pombe na ngono kwenye maisha yako binafsi, kwenye nyumba yako, familia yako, ukoo wako na mtaa wako utakua umelisaidia sana taifa sababu hata kwenye mwenge zitaondoka

KAZI IENDELEE
Kwenye mwenge haziwezi kuondoka kwa sababu ni sehemu ya ibada yake, umenielewa? haya kazi iendelee....
 
Maandiko nimekuwekea muda sana. Una tatizo la kusoma bila kuelewa wewe
Sijaona mahali hayo maandiko yamemtaja Nyerere kama nabii, wala hayajataja unabii wa mwenge kutokea nchini tanzagiza....
 
Huu moto unatumia hela nyingi kwenye miradi ambayo hata mkuu wa Wilaya tu angeweza kuizindua ule msafara wa magari yanayozunguka nchi nzima ni fedha nyingi sana za walipa kodi zinapotea.

Huko Halmashauri ndio usiseme wanalazimishwa kuchanga 5k-10k Kwa kila mtumishi kwa ajili ya kugharimia mwenye pindi ukija Wilaya husika.

Kama Rais aliweza kuzuia sherehe ya Mkuu wa Majeshi (UHURU) akajenga Hospital? anashindwaje kuzuia Mwenge fedha akazielekeza kwenye miradi mingine ya maendeleo badala ya kuwakamua wananchi kwenye tozo zisizo na kichwa wala miguu?

Hivi nchi zote zilizotawaliwa si zilipata uhuru haijalishi kwa kumwaga damu au kwa njia ya amani cha msingi sasa zipo huru, mbona wenzetu hawana mwenge? Bendera si inatosha?

Ukisikia historia ya mwenge imefunganishwa na uchawi, can you imagine wale askari wenye silaha nzito vile eti wanalinda mwenge nani atauiba ule aupeleke wapi na kaufanyie nini? yaana wanawekeana zamu wapo machi wamesimama wanne kila upande wanaulinda, huu ni ujinga mkubwa na uliopitiliza. Ukukosea jambo kwenye mbio za mwenge unafukuzwa kazi hapohapo bila charge sheet wala utetezi barua itakufuata baadae, uwe na bahati usipoozea jela.

Nchi inatia hasira sana hii😡😡😡😡😡😡
 
Kwenye mwenge haziwezi kuondoka kwa sababu ni sehemu ya ibada yake, umenielewa? haya kazi iendelee....

Walevi wote na wapenda ngono huwa wako kwenye mbio za mwenge!? Jiongezage buana, wewe mkubwa ujue.....

Ibada ya mwenge iko kwenye maneno haya yakiendana na uzinduzi miradi ya maendeleo.



Hutaki hama nchi
 
Walevi wote na wapenda ngono huwa wako kwenye mbio za mwenge!? Jiongezage buana, wewe mkubwa ujue.....

Ibada ya mwenge iko kwenye maneno haya yakiendana na uzinduzi miradi ya maendeleo.



Hutaki hama nchi

Siyo wote wako huko, ila hayo mambo kufanyika kuuzunguka mwenge na shamra shamra mbalimbali ni part and parcel ya ibada ya kishetani inayohusisha moto. Kasome habari za yule mungu ndama aliyechongwa na waisreali, wakacheza, wakala, wakanywa kumzunguka huyo mungu ndama na kufanya naye mapatano ya amani..............haya mambo hatukurupuki bibie tupo nondo hasa......
 
Back
Top Bottom