Biblia imetamka laana Kali sana kwa wanaofanya Ibada za mwenge

Biblia imetamka laana Kali sana kwa wanaofanya Ibada za mwenge

Giresi mwenye wowow lake,kiranja na nyinginezo ndo maana kelele za JF nyingi ila mitaani mpo wachache sana
Ziorodheshe mkuu hizo unazoziita id nyingi aumbuke

Kiranja Leo kaupiga mwingi hadi anakera
 
View attachment 1966437


Mwenge ni mungu wa Tanzania Ndio maana wanamuomba alete Amani na kuna sala maalum huitwa sala ya mwenge.

Hebu tuone kitabu cha Isaya 50:11 unavyosema.

Kumbe ndio maana tuna utajiri mkubwa wa rasilimali na mali zetu zinaliwa kirahisi na wageni
nchi gani ingne duniani inayowasha mwenge na kuzungsha nchi nzima,, pia naomba kujua faida zake za kuwasha na hasara au madhra ya kuzima mwenge katk eneo husika ulipozimia
 
Umepanic pheewww. Muomba assist
IMG_20211007_120129.jpg

Thread nimeianzisha mwenyewe sihitaji support ya yeyote.
 
Kwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Duh...!. Mkuu Kiranja Mkuu, karibu pande hizi

P
 
Back
Top Bottom