Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mbona huelweki jamani π .Tunajua nusu ya pedophile Muhammad aliibonya na katoto Aisha
Swali nusu ya Allah , Allah alikuwa anaipokea vipi ? Jibril alikuwa anampelekea au ilikuwaje?
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Hiyo picha ndio ina huyo mungu unayemzungumzia?
Naona hata hauna hoja nakupa vitabu vipya baada vilikuja vya paulo au upewe list vitabu vya mwanzo vilikuwa vip na vikaja vipi?Mimi hunitoi kwenye reli kirahisi.
Nimekutaka unioneshe BIBLIA ILIYOBADILISHWA.
Biblia ILIYOBADILISHWA iko wapi? Ilibadilishwa na nani?
Ilibadilishwa lini?
Biblia iliyobadilishwa iko wapi nikitaka kuiona?
Kumbe unamzungumzia Alah. Sasa alah anahusika vipi na Biblia?
Kama kusoma hujui Mungu wapo wangapi na hizo ni misemo Allah kiarabu kwani lugha hujui ..Hiyo picha ndio ina huyo mungu unayemzungumzia?
Nimekuuliza. Unazungumzia mungu yupi?
Alah au Jehovah?
Mbona swali limekuwa gumu sana?
Sasa biblie sio kitabu vya Mungu na hakipo hata Mungu wenu yesu hakijui.Kumbe unamzungumzia Alah. Sasa alah anahusika vipi na Biblia?
Mada inahusu Biblia halafu unamtaja Alah..Alah anahusikaje hapo?
Alah si alishapoteza vitabu vyake? Au amevipata tayari?
Unarukaruka sana.... Mara nikamuulize mchungaji wangu, Mara Sabato, mara Paulo, mara agano jipya.Naona hata hauna hoja nakupa vitabu vipya baada vilikuja vya paulo au upewe list vitabu vya mwanzo vilikuwa vip na vikaja vipi?
Acha ujinga unajifanya huelewi basi tuendlee kubishana ...
Hata mimi hunitoi kweny reli nakuonyesha baade palikujwa vitabu vya paulo kweny agano jipya eti unakazaa .
sifa ya kondoo hawaelewi usingeuliza kama hutaki kuelewa[emoji28].
Sio kitabu cha Mungu yupi? Alah au?Sasa biblie sio kitabu vya Mungu na hakipo hata Mungu wenu yesu hakijui.
Nionyeshe wapu yesu alisoma bible ?
Allah ni jina la mungu wa waislamu, soma Koran na uelewe
Agano jipya ni mpya kuna vitabu vya paulo ambavyo mwanzoni havikuwepo ..Unarukaruka sana.... Mara nikamuulize mchungaji wangu, Mara Sabato, mara Paulo, mara agano jipya.
Nimeuliza swali rahisi sana.
BIBLIA ILIYOBADILISHWA IKO WAPI?
Nimekutaka uniwekee HAPA Biblia Ikiyobadilishwa.
Mungu kama hujui lugha za watu tulia.Sio kitabu cha Mungu yupi? Alah au?
Ni kweli sio cha mungu Alah kwa sababu Alah vitabu vyake amesema Alishapoteza.(ni mzembe sana huyu)
Unazungumzia Biblia halafu unamtaja Alah... hahahaha. ANAHUSIKAJE?
Hyo google translation ni ya waislamu ?π π πAllah ni jina la mungu wa waislamu, soma Koran na uelewe
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
Unabishia mpaka Koran Allah ni jina na sio cheoHyo google translation ni ya waislamu ?π π π
Hujui kitu π π π Nimekupa translation kasome kiarabu maana huelewi.Unabishia mpaka Koran Allah ni jina na sio cheo
Mungu wa wailsamu anaitwa Allah au unaweza kumuita Rahman , ili jina Rahman lilikuwa jina la mtu Muhammad akalipenda akampachika Allah , watu wakamuuliza una miungu wangapi
Ndio akashusha Aya hii
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
Ndio sasa utilize akili unapokutana na watu tunajua maandiko YakoHujui kitu π π π Nimekupa translation kasome kiarabu maana huelewi.
Hoja zako za utoto tu .
Wakristo mungu wetu Haitwi Alah.Mungu kama hujui lugha za watu tulia.
Elimu ndogo nakushauri kasome dogo unajipa aibu maana hata hoja hauna mara Allah na jehovah ukipewa maana unazunguka tena.
Inauma ila ndo ukweli hujui kitu we ni mfuata mkumbo tu.!
Kifupi hujui kiti hata unachoandika ni uongo ...Sio rahisi kama unavyofikria kwamba waislamu hawajui kila kitu.Ndio sasa utilize akili unapokutana na watu tunajua maandiko Yako
Unaona kabisa Koran imeandika jina alafu wewe unaibishia unakubali google Koran unaitupa pembeni
Soma kwa kutulia
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
Hii Aya ilishuka baada ya Muhammad kupokea barua kutoka kwa jamaa aliitwa Rahman, Muhammad akapenda jina akalipachika kwenye Koran , watu wakamuuliza una miungu wangapi ndio Muhammad akashusha hiyo verse
Huo ndio ushahidi?
Nimekuambia UNIPE USHAHIDI wa Biblia Iliyobadilishwa.
Naona unajizungusha-zungusha.
LETA HAPA USHAHIDI WA BIBLIA ILIYOBADILISHWA.
Nimemaliza kazi husirudie tena ππ€£π kichaka Cha mwisho ni kiarabukama unajua kiarabu angalau naweza kuelewesha ila kama unajua kimasai tu,
hutoelewa.
Nimemaliza kazi husirudie tena ππ€£π kichaka Cha mwisho ni kiarabu
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
Jina la mungu wenu ni Allah au Rahman