Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

@ Wazolee
Njoo ujibu hoja usikimbie kama wenzio.


JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
Khan...!
Ana mguu kwani ?
Si wanasema hana mfano.
 
Nikupe tafsiri yake kutoka mtandao gani unaoamini nikuonyeshe kwamba we ni kilaza unatafsiri uongo na hauna elimu?


MAJINI yanakamata akili.

UNAULIZWA hili UNAJIBU Lile.

VITABU VILIVYO tangulia vipo WAPI????...


KUWENI MAKINI na Majini yanaharibu vichwa.
 
Qur an 58:12
"Enyi mlioamini! Mkizungumza na Mtume kwa faragha, basi toeni sadaka kabla ya mazungumzo yenu. Hivyo ni bora kwenu na safi zaidi. Lakini msipoweza, basi (toeni) baada ya kusali. Na mtakapoitumilia mikono yenu na (katika kutoa) sadaka, basi hiyo ni bora kwenu, ikiwa mnajua.


Acha kupotosha hata kiswahili hujui😅😅
Kabla ya Muhammad Allah alidai alikuwa na mitume
Je Kuna mtume watu walikuwa wanatanguliza sadaka kabla ya kunuona

Yani muhammad alikuwa na consultation fee 😂🤣😂
 
MAJINI yanakamata akili.

UNAULIZWA Hili UNAJIBU Night.

VITABU VILIVYO tangulia vipo wapi???...


KUWENI MAKINI na Majini yanaharibu vichwa.
Mbona nimejibu na nimesoma ile ayah uliyatafsiri uongo.
vitabu ni vinne torat, zaburi, injili na quran.

Niambia bible ina vitabu vingapi ? na vimetoka wapi?
 
Kabla ya Muhammad Allah alidai alikuwa na mitume
Je Kuna mtume watu walikuwa wanatanguliza sadaka kabla ya kunuona

Yani muhammad alikuwa na consultation fee 😂🤣😂
je hizo sadaka walengwa ni wakina nan? na je mtume alipokea sadaka👇

Qur an 9:70

"Wa kupewa sadaka ni mafakiri, na masikini, na wanao zitumikia, na wa kutiwa nguvu nyoyo zao, na katika kukomboa watumwa, na wenye madeni, na katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na wasafiri. Huu ni waajibu ulio faridhiwa na Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua Mwenye hikima"

 
Kuhusu tafasiri za Biblia, kuna fasiri nyingi sana zaidi ya lugha 2000, lakini tafasiri zinaweza zisiwe salama kulingana na mfasiri lakini maandiko[MATINI] yapo salama kabisa tokea yameandikwa na manabii na Mitume. Ndio maana Yesu alisema hata nukta wala yodi haitatanguka mpaka yote yatimie, hivyo mtu akikuambia kuwa maandiko hayapo salama yamechafuliwa mwogope kama ukoma au homa ya Ini, maana huyo ni mpinga Kristo. Bwana alisema hivi,

“…maandiko hayawezi kutanguka..[Yohana 10:35].

Kwa maana, amin, nawaambia ,Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka,yodi moja wala nukta moja ya torati haitaoondoka ,hata yote yatimie. [Mathayo 5:18].”

Na nabii Isaya kwa njia ya Roho wa Kristo alisema hivi,
“Majani yakauka, ua lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele. [Isaya 40:8].”

Hivyo maandiko[matini] yapo salama kabisa, ila tafasiri zinaweza zisiwe salama, kuna kalamu za waandishi zimeingiza hila kwa kuongeza na kupunguza au kwa kinywa pale wanapotafasiri au wanapofundisha kiasi cha watu kuona kama vile Biblia inajipinga. Maana kuna aina mbili za kalamu, moja ni kalamu ya wino na nyingine ni kalamu ya ulimi, hizi ni kalamu hatari sana ambazo zinaweza kupindua dunia au kuwasha moto. Tazama [Zaburi 45:1; Yer 8:8; Yakobo 3:5-9]. Hivyo inakupasa kuwa makini kwa usomaji wako wa Biblia, hivyo ndio maana watu wanaenda kusoma vyuo vya Biblia ili wapate kujua maana iliyokusudiwa kupitia matini[maandiko kwa lugha ya kale]. Lakini bado unaweza usiwe salama kwasababu kila chuo kinavutia katika eneo lake, maana vyuo karibu vyote vinamilikiwa na madhehebu fulani; Hivyo lazima kila dhehebu lifundishe Biblia kulingana na kanuni za Imani zao. Na hiyo ni hatari kubwa sana katika ufahamu wa kiroho, maana tunapaswa kusoma Biblia kibiblia, kwa maana ya kwamba yenyewe ituongeze katika maana husika iliyokusudiwa na si kwamba sisi ndiyo tuiongoze ikubaliane na misimamo au misingi ya Imani yetu. Kwahiyo sasa, ili uwe salama kabisa unapaswa kutumia njia ifuatayo,

ROHO MTAKATIFU: Hii ndiyo njia salama kabisa kwa msomaji wa Biblia, maana Roho mtakatifu ndio pumzi ya Mungu iliyovuvia manabii nao wakaandika maneno ya Mungu kupitia lugha za kibinadamu. [2 Petro 1:21]. Hivyo ili uielewe Biblia sharti uwe na ushirika wa Roho na si kuwa uwe na ushirika wa chuo cha Biblia au mchungaji wako au kasisi wako. Yesu aliahidi kutupa kinywa na hekima ambayo itatuwezesha kujua maandiko matakatifu kiasi cha wapinzani wa Biblia au wapinzani wetu kushindwa kukabiliana nasi.

AHADI YA YESU.

“kwa sababu mimi nitawapa KINYWA na HEKIMA ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga. [Luka 21:15].”

KUTIMIA KWA AHADI HII.

“Lakini baadhi ya watu wa sinagogi lililoitwa sinagogi la Mahuru, na la Wakirene, na la Waiskanderia, na la wale wa Kilikia na Asia, wakaondoka na kujadiliana na Stefano; lakini hawakuweza kushindana na hiyo HEKIMA na huyo ROHO aliyesema naye. [Matendo ya Mitume 6:9-10].”

Kinywa ndiye Roho Mtakatifu, hivyo watoto wa Mungu watapewa Roho na hekima ya Kristo kama Stefano ambayo itavunja vunja kuta za wasomi na wenye hekima wa dunia hii ambao wanaupinga ukweli wa Biblia. Na daima Mungu hufanya kazi na wanyenyekevu, huwainua kutoka katika kudharauliwa na kuwafanya kuwa vyombo vyake hodari. Mtume anasema,
“26Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: Wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka la juu. 27Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu. 28Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana. [1 Wakorintho 1:26-28 BHN].”

KUAIBIKA KWA WENYE HEKIMA WA DUNIA.

Marabi na makuhani na mafarisayo wa dini ya Kiyahudi ambao walikuwa wasomi sana wa Torati na Elimu mbalimbali, walistajabia hotuba ya Petro na Yohana mbele ya baraza la hukumu, hotuba ambayo ilikuwa imevuviwa kiroho, na ikawachoma mioyo na kuvunja hila yao, na kitu walichokistajabia sana ni kuwa hao watu hawakuwa na elimu ya darasani wala chuoni. Baada ya kuona hali hiyo wakafanya utafiti wao na wakagundua hawa watu wanaongozwa na nguvu isiyo ya kibinadamu, imeandikwa,
“Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu. [Matendo ya Mitume 4:13].”

Hivyo siri ya kuwa kama Petro au Yohana ama zaidi ni kuwa pamoja na Yesu, kumbuka Yesu aliahidi kuwa pamoja nasi mpaka ukamilifu wa dahari. [Mathayo 28:20]. Kwahiyo sisi si yatima, tunaye Yesu, na tunakuwa naye kwa njia ya Roho wake ndani yetu. [1 Yohana 3:24]. Ulimwengu hauwezi kumwona wala kumtambua Roho wa Kristo, ila sisi tutamtambua kwasababu anakaa kwetu na yupo ndani yetu. [Yohana 14:17].”

Unaweza kustajabia habari hii kuwa kuna watu leo wanachukua PHD zao kupitia nyaraka za Petro au Yohana ambao kwa kweli hao hawakuwa na shule yoyote wala kujulikana katika zama zao, walikuwa ni wavuvi tu wa Samaki. Elimu yao waliipata katika chuo cha Kristo kwa miaka mitatu tu na kujazwa Roho wa Kristo, kwa njia hiyo waliupindua ulimwengu na bado mafundisho yao yanazidi kuwaleta wengi katika hali mpya ya Kristo. Ni elimu ya ajabu, mtu mwovu[Jambazi, mzinzi, Malaya, Muongo, muuaji nk] kupitia nyaraka za Mitume anabadilika na kuwa mtu mwema; Hii si hali ya kawaida, upo uwezo nyuma ya nyaraka hizo na huo uwezo ni Roho wa Kristo.

SIRI YA KUMPATA ROHO WA KRISTO.

“Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie. [MDO 2:38,39].”

Hivyo hiyo ndiyo siri ya kumpata Roho wa Kristo. Na kama mkristo unapaswa kuwa na Roho ya Kristo, nje ya hapo huwezi kuielewa Biblia wala kufanyika mkristo mwana wa Mungu na kuwa na tabia njema, na vile vile hutakuwa katika milki ya Kristo bali yule adui wa Kristo. Mtume anasema hivi,

“Yeyote asiye na Roho wa Kristo, huyo si wake Kristo. [Warumi 8:9 BHN].

Neema ya Yesu Kristo iwe nawe.
Wakristo Kwa kudanganyana hamjambo

mbona historia na mandiko yapo Kwa nini Sasa mnadanganyana?

Bibilia yenyewe inakubali kuwa limechakachuliwa alafu wewe unakataa Kwa hiyo unapinga maandiko ya bibilia

Agano la kale limechakachuliwa

Yeremia 8:8
Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.

NA AGANO JIPYA PIA LIMECHAKACHULIWA

kama ingekuwepo Injili yenye maneno original ya Yesu Luka asinge andika Injili Kwa kuuliza uliza watu na kutunga maneno ya kwake

Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,


KATIKA NJILI ZILIPO HAPA DUNIANI KWA SASA HAKUNA HATA INJILI MOJA ILIYOANDIKWA NA MWANAFUNZI WA YESU

We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.

Several hypotheses have attempted to explain why so much of Jesus’ life not portrayed in the Synoptics is present in John and vice versa. One hypothesis claims that John recorded many of the events that occurred before the arrest of John the Baptist, while the Synoptics all have Jesus’ ministry beginning only after the arrest. Another holds that John was written last, by someone who knew about the other three Gospels, but who wished to write a spiritual gospel instead of an historical one. This would mean that the person who wrote the Gospel of John would not have been a contemporary of Jesus, and therefore would not have been an eyewitness as the author claims. There is also the possibility that the author of John did not know of Mark and hence did not have the same information.


Kitabu Cha Luka kimeandikwa na mganga wa kienyeji

Kitabu Cha Mathayo kimeandikwa na Paulo maana kinafanana na kitabu Cha Matendo

Kitabu Cha Mariko kimeandikwa na mtu tu lakini sio Mariko yule mwanafunzi wa Yesu

Aliye andika kitabu Cha Yohana Hadi Leo hi hajulikani ni ametafutwa Dunia mzima hawakufanikiwa kujua jina lake Wala mahali alipoishi
Kitabu Cha Yohana kiliokotwa Egypt miaka 30 Baada ya Yesu kupaa

Kama wewe unamjua mwandishi aliyeandika kitabu Cha Yohana mtaje Dunia ikupe zawadi maana bado anatafutwa Hadi leo


Source ni website ya Cambridge university
 
je hizo sadaka walengwa ni wakina nan? na je mtume alipokea sadaka👇

Qur an 9:70

"Wa kupewa sadaka ni mafakiri, na masikini, na wanao zitumikia, na wa kutiwa nguvu nyoyo zao, na katika kukomboa watumwa, na wenye madeni, na katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na wasafiri. Huu ni waajibu ulio faridhiwa na Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua Mwenye hikima"

Kumbuka baada ya Muhammad Kuweka consultation fee watu wakagoma kwenda kumuona

Akashusha verse nyingine kuwaambia kama hawana Allah anawaona miyoyoni 😂🤣🤣😂
 
Wakristo Kwa kudanganyana hamjambo

mbona historia na mandiko yapo Kwa nini Sasa mnadanganyana?

Bibilia yenyewe inakubali kuwa limechakachuliwa alafu wewe unakataa Kwa hiyo unapinga maandiko ya bibilia

Agano la kale limechakachuliwa

Yeremia 8:8
Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.

NA AGANO JIPYA PIA LIMECHAKACHULIWA

kama ingekuwepo Injili yenye maneno original ya Yesu Luka asinge andika Injili Kwa kuuliza uliza watu na kutunga maneno ya kwake

Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,


KATIKA NJILI ZILIPO HAPA DUNIANI KWA SASA HAKUNA HATA INJILI MOJA ILIYOANDIKWA NA MWANAFUNZI WA YESU

We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.

Several hypotheses have attempted to explain why so much of Jesus’ life not portrayed in the Synoptics is present in John and vice versa. One hypothesis claims that John recorded many of the events that occurred before the arrest of John the Baptist, while the Synoptics all have Jesus’ ministry beginning only after the arrest. Another holds that John was written last, by someone who knew about the other three Gospels, but who wished to write a spiritual gospel instead of an historical one. This would mean that the person who wrote the Gospel of John would not have been a contemporary of Jesus, and therefore would not have been an eyewitness as the author claims. There is also the possibility that the author of John did not know of Mark and hence did not have the same information.


Kitabu Cha Luka kimeandikwa na mganga wa kienyeji

Kitabu Cha Mathayo kimeandikwa na Paulo maana kinafanana na kitabu Cha Matendo

Kitabu Cha Mariko kimeandikwa na mtu tu lakini sio Mariko yule mwanafunzi wa Yesu

Aliye andika kitabu Cha Yohana Hadi Leo hi hajulikani ni ametafutwa Dunia mzima hawakufanikiwa kujua jina lake Wala mahali alipoishi
Kitabu Cha Yohana kiliokotwa Egypt miaka 30 Baada ya Yesu kupaa

Kama wewe unamjua mwandishi aliyeandika kitabu Cha Yohana mtaje Dunia ikupe zawadi maana bado anatafutwa Hadi leo


Source ni website ya Cambridge university


MOHAMED ALILOGWA.
 
MJUE AISHA MKE MTOTO WA MIAKA SITA ALIYEOLEWA NA MWAMEDI. ANASIMULIA KABAMIA KA MWAMEDI.

'Aisha (Mwenyezi Mungu amrehem) aliripoti:
Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) alinioa
nikiwa na umri wa miaka sita, na nilipelekwa
nyumbani kwake nilipokuwa na umri wa miaka
tisa.

mengine mazito siwezi kuyaandika yote ikiwemo kumuendea Aisha kongwe akiwa na miaka sita.


('Aisha akiwa na umri wa miaka tisa ) Alikuwa akiingiliwa..........

HIVI HIZI NI AKILI KWELI?????
MTUME ALIKUWA NA AKILI KWELI.
 
Kumbuka baada ya Muhammad Kuweka consultation fee watu wakagoma kwenda kumuona

Akashusha verse nyingine kuwaambia kama hawana Allah anawaona miyoyoni 😂🤣🤣😂
Duh mzee wa sadaka ya kujimaliza hauna jipya kazi utapeli tu😅😅
 
MOHAMED ALIKUWA HAJUI KUSOMA.



Tatizo la kusoma.
AKAWASOMEA uongo.


هُوَ الَّذِي بَعَثَ فِي الْأُمِّيِّينَ رَسُولًا مِّنْهُمْ يَتْلُو عَلَيْهِمْ آيَاتِهِ وَيُزَكِّيهِمْ وَيُعَلِّمُهُمُ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَإِن كَانُوا مِن قَبْلُ لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ

[ AL - JUMUA' - 2 ]
Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.
 
Duh mzee wa sadaka ya kujimaliza hauna jipya kazi utapeli tu😅😅
Huyu alidanganya watu anagawana Mali na Allah 😂😂🤣🤣

Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Bible ndo nn? Si kitabu cha kutunga kila mtu anasema yake[emoji28][emoji28][emoji28]yaani kila siku kinabdilishwa .

Ulion wapi huyo Mungu wenu akisali na wanafunzi wake?
Kimebadilishwa wapi? Nani amebadilisha? Amebadilisha lini na amebadilisha nini?

Nikikuambia uweke hapa mahali palipobadilishwa utaanza danadana zenu kama kawaida.
 
Yesu alisoma bible?[emoji28][emoji28]

Mbona mnakuwa wajinga angalia wenzio wanaenda kuhiji vatican na uingereza (aglican) badala ya israel ..


Huoni ujinga kabisa hapo unashikilia ujinga..[emoji28][emoji28]
Bible ni nini?
 
Huyu alidanganya watu anagawana Mali na Allah 😂😂🤣🤣

Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Qur an 8:1

"Wanakuuliza juu ya Nyara za vita. Waambie: "Nyara za vita ni za Mwenyezi Mungu na Mtume. Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na suluhisheni mambo yenu baina yenu, na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, ikiwa nyinyi ni waumini wa kweli."


Hoja yako ipo wapi? na hapa tunaongelea sadaka nishakuonyesha walengwa wanaopewa sadaka mbona unaruka-ruka yaani hoja za kitoto.

Ile ayah kwamba Bwana ni mume wenu ulikimbia ebu njoo na hoja za nguvu s😅😅
 
Kimebadilishwa wapi? Nani amebadilisha? Amebadilisha lini na amebadilisha nini?

Nikikuambia uweke hapa mahali palipobadilishwa utaanza danadana zenu kama kawaida.
Kuna ayah mpya sinakuja na old version sio ya sasa kamuulize mchungaji wake sio wewe mfuata mkumbo(kondoo)
 
Back
Top Bottom