Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.
 
NGOJA NIKUONYESHENI MPINGA KRISTO

Yohana 16:1
Maneno hayo nimewaambia, msije mkachukizwa.
Yohana 16:2
Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.
Yohana 16:3
Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
Yohana 16:4
Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwapo pamoja nanyi.
Yohana 16:5
Lakini sasa mimi naenda zangu kwake yeye aliyenipeleka, wala hakuna mmoja wenu aniulizaye, Unakwendapi?

Yesu anasema watakao mpinga ni wale ambao watawatenga wanafunzi wake na masinagogi na kuwauwa

JE! NANI ALIYAFANYA HAYO AMBAYO YESU ALIWAMBIA WANAFUNZI WAKE

Hawa ni wanafunzi wa Paulo wanamuua Stefano mwanafunzi wa Yesu na Yeye Paulo anashuhudia

Matendo ya Mitume 7:53
ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.
Matendo ya Mitume 7:54
Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.
Matendo ya Mitume 7:55
Lakini yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo ya Mitume 7:56
Akasema, Tazama! Naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo ya Mitume 7:57
Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,
Matendo ya Mitume 7:58
wakamtoa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao miguuni pa kijana mmoja aliyeitwa Sauli.
Matendo ya Mitume 7:59
Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.

KAZI YA PAULO ILIKUWA KUWATENGA WANAFUNZI WA YESU NA MASINAGOGI KWA KUWAFANYIA VISA MBALI MBALI NA KUWAUWA

Matendo ya Mitume 26:11
Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini.


BAADA YA PAULO KUWAUWA WANAFUNZI WA YESU WALIOKUWA WAMEISHIKA KWELI KWWLI TAURATI NA INJILI KAMA YESU ALIVYOWAFUNDISHA AKAANZISHA DINI YA UKRISTO

Matendo ya Mitume 11:26
hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.


Hadi hapo utabiri wa Yesu umetimia wanafunzi wake walitengwa na masinagogi na kuuliwa na hiyo kazi aliifanya Paulo na Yesu aliwambia watawafanyia hayo kwakuwa hawamjui Mungu Wala Yesu



POLE SANA UNAHISI MIMI NI MJINGA KAMA WEWE NIMEKISOMA QURAN NIMESOMA BIBLE MWANZO MWISHO.

NAUJUA USHENZI WOTE WA QURANI.


MAFUNDISHO HAYA YA BIBLIA YANATUONYESHA PAULO/ SAUL ALIVYOANZA KUMTUMIKIA MUNGU BAADA YA MATENDO YAKE MAOVU.

1 Lakini Sauli, akizidi kutisha na kuwaza kuwaua wanafunzi wa Bwana, akamwendea Kuhani Mkuu,
Matendo ya Mitume 9:1

2 akataka ampe barua za kuenda Dameski zilizoandikwa kwa masinagogi, ili akiona watu wa Njia hii, waume kwa wake, awafunge na kuwaleta Yerusalemu.
Matendo ya Mitume 9:2

3 Hata alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni.
Matendo ya Mitume 9:3

4 Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona waniudhi?
Matendo ya Mitume 9:4

5 Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe.
Matendo ya Mitume 9:5

6 Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.
Matendo ya Mitume 9:6

7 Na wale watu waliosafiri pamoja naye wakasimama kimya, wakiisikia sauti, wasione mtu.
Matendo ya Mitume 9:7

8 Sauli akainuka katika nchi, na macho yake yalipofumbuka, hakuona kitu; wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski.
Matendo ya Mitume 9:8

9 Akawa siku tatu haoni; hali, wala hanywi.
Matendo ya Mitume 9:9

15 Lakini Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli.
Matendo ya Mitume 9:15

17 Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.
Matendo ya Mitume 9:17

18 Mara vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa;
Matendo ya Mitume 9:18

19 akala chakula, na kupata nguvu. Akawa huko siku kadha wa kadha pamoja na wanafunzi walioko Dameski.
Matendo ya Mitume 9:19

20 Mara akamhubiri Yesu katika masinagogi, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.
Matendo ya Mitume 9:20

21 Na wote waliosikia wakashangaa, wakasema, Siye huyu aliyewaharibu walioliitia Jina hili huko Yerusalemu? Na hapa alikuwa amekuja kwa kusudi hilo, awafunge na kuwapeleka kwa wakuu wa makuhani?
Matendo ya Mitume 9:21

22 Sauli akazidi kuwa hodari, akawatia fadhaa Wayahudi waliokaa Dameski, akithibitisha ya kuwa huyu ndiye Kristo.
Matendo ya Mitume 9:22
 
POLE SANA UNAHISI MIMI NI MJINGA KAMA WEWE NIMEKISOMA QURAN NIMESOMA BIBLE MWANZO MWISHO.

NAUJUA USHENZI WOTE WA QURANI.


MAFUNDISHO HAYA YA BIBLIA YANATUONYESHA PAULO/ SAUL ALIVYOANZA KUMTUMIKIA MUNGU BAADA YA MATENDO YAKE MAOVU.

1 Lakini Sauli, akizidi kutisha na kuwaza kuwaua wanafunzi wa Bwana, akamwendea Kuhani Mkuu,
Matendo ya Mitume 9:1

2 akataka ampe barua za kuenda Dameski zilizoandikwa kwa masinagogi, ili akiona watu wa Njia hii, waume kwa wake, awafunge na kuwaleta Yerusalemu.
Matendo ya Mitume 9:2

3 Hata alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni.
Matendo ya Mitume 9:3

4 Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona waniudhi?
Matendo ya Mitume 9:4

5 Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe.
Matendo ya Mitume 9:5

6 Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.
Matendo ya Mitume 9:6

7 Na wale watu waliosafiri pamoja naye wakasimama kimya, wakiisikia sauti, wasione mtu.
Matendo ya Mitume 9:7

8 Sauli akainuka katika nchi, na macho yake yalipofumbuka, hakuona kitu; wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski.
Matendo ya Mitume 9:8

9 Akawa siku tatu haoni; hali, wala hanywi.
Matendo ya Mitume 9:9

15 Lakini Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli.
Matendo ya Mitume 9:15

17 Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.
Matendo ya Mitume 9:17

18 Mara vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa;
Matendo ya Mitume 9:18

19 akala chakula, na kupata nguvu. Akawa huko siku kadha wa kadha pamoja na wanafunzi walioko Dameski.
Matendo ya Mitume 9:19

20 Mara akamhubiri Yesu katika masinagogi, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.
Matendo ya Mitume 9:20

21 Na wote waliosikia wakashangaa, wakasema, Siye huyu aliyewaharibu walioliitia Jina hili huko Yerusalemu? Na hapa alikuwa amekuja kwa kusudi hilo, awafunge na kuwapeleka kwa wakuu wa makuhani?
Matendo ya Mitume 9:21

22 Sauli akazidi kuwa hodari, akawatia fadhaa Wayahudi waliokaa Dameski, akithibitisha ya kuwa huyu ndiye Kristo.
Matendo ya Mitume 9:22
Yohana 16:1
Maneno hayo nimewaambia, msije mkachukizwa.
Yohana 16:2
Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.
Yohana 16:3
Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.


Kwahiyo wewe unakataa kuwa Paulo
hajawaua wanafunzi wa Yesu na kuwatenga na masinagogi?

Unapinga maneno ya Yesu kuwa hao watakao waua Wanafunzi wake na kuwatenga masinagogi kuwa wanafanya hayo Kwa sababu hawamjua Yesu Wala Mungu?

Paulo ni mtume wa uongo na ukristo ni dini ya uongo ndio maana hata waisrael wameikataa

Japo wao wenyewe wamepotea na dini Yao ya Uyahudi ila huko katika ukristo wameona ni kupotea zaidi

Hiyo 1.9% hapo ni wageni kama wewe ukienda Israel ndio unatengeneza hiyo 1 9%

The religious affiliation of the Israeli population as of 2022 was 73.6% Jewish, 18.1% Muslim, 1.9% Christian, and 1.6% Druze. The remaining 4.8% included faiths such as Samaritanism and Baháʼí, as well as "religiously unclassified".
 
Mkiambiwa ukristo ni dini ya wa Roma na si Yesu mnakataa ona data hizo

Mmetekwa na mnyama 666

Idadi ya wakristo nchini Italy 85.6%

survey in 2018 showed that 85.6% of Italy's population is Christian (78.9% Catholic, 4.6% orthodox Christians, 0.6% Protestants, 1.5% other Christians), while 2.6% belong to other religions and 11.7% are non-religious (7.5% atheists, 4.2% agnostics).

Idadi ya wakristo nchini Israel 1.9%

The religious affiliation of the Israeli population as of 2022 was 73.6% Jewish, 18.1% Muslim, 1.9% Christian, and 1.6% Druze. The remaining 4.8% included faiths such as Samaritanism and Baháʼí, as well as "religiously unclassified".
 
Swali lako ni la kipuuzi
Usikimbie kizembe maswali bado yapo
Umar amesimuliwa:
"Wakati Waislamu walipofika katika AI-Madinah, walikuwa wakikusanyika kwa Salat, na wanakadiria wakati hakukuwa na mtu aliyeiita (sala hiyo). Siku moja walijadili jambo hilo na wengine walisema kwamba wanapaswa tumia kengele kama vile kengele inavyotumiwa na Wakristo. Wengine walisema wanapaswa kutumia tarumbeta kama ile pembe inayotumiwa na Wayahudi. Lakini Umar [bin Al-Khattab] alisema: Je! "" Akasema itakuwa vizuri kama tukiwa na mtu wa kuita kwa sala: "Kwa hivyo Muhammad akasema: Ewe Bilal! Simama, uite kwa sala. Jami` at-Tirmidhi 190

swali
-Unasema kwa mujibu wako kwamba uislamu ulikuwepo kabla ya muahammad, Je ni kwa nini Muhammad, Umari na wafuasi wao wote katika mapendekezo yao ya kuiga jinsi ya kuitana hawakuwataja hao waislamu wa zamani na kujadiliana jinsi ya kuwaiga hao na badala yake wakataka kuwaiga wakristo na wayahudi?
-Je Muhammad , Umar na wafuasi wao wote walikuwa wanajua au hawajui kwamba kulikuwa na waislamu kabla yao?
 
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.
kasome hizi aya na muendelezo wake kwanza then uje leo nina hamu ya kubishana 👇👇

Exodus 34:8

Genesis 17:3

Matthew 26:39
 
Unamfindisha, mfia dini ya moody! Huwa hawaelewi hawa. Akili zao zinefungwa na majini.
 
kasome hizi aya na muendelezo wake kwanza then uje leo nina hamu ya kubishana [emoji116][emoji116]

Exodus 34:8

Genesis 17:3

Matthew 26:39
Papa anaruhusiwa kuingia msikitini na viatu ila ninyi wengine mnavua. Halafu mkija huku nje mnatulaumu tunaingia patakatifu na viatu....vipi mlishindwa kumvua papa viatu? au ndio tuseme ndiye grand master wa Islam?
FB_IMG_16846130850311398.jpg
 
Usikimbie kizembe maswali bado yapo
Umar amesimuliwa:
"Wakati Waislamu walipofika katika AI-Madinah, walikuwa wakikusanyika kwa Salat, na wanakadiria wakati hakukuwa na mtu aliyeiita (sala hiyo). Siku moja walijadili jambo hilo na wengine walisema kwamba wanapaswa tumia kengele kama vile kengele inavyotumiwa na Wakristo. Wengine walisema wanapaswa kutumia tarumbeta kama ile pembe inayotumiwa na Wayahudi. Lakini Umar [bin Al-Khattab] alisema: Je! "" Akasema itakuwa vizuri kama tukiwa na mtu wa kuita kwa sala: "Kwa hivyo Muhammad akasema: Ewe Bilal! Simama, uite kwa sala. Jami` at-Tirmidhi 190

swali
-Unasema kwa mujibu wako kwamba uislamu ulikuwepo kabla ya muahammad, Je ni kwa nini Muhammad, Umari na wafuasi wao wote katika mapendekezo yao ya kuiga jinsi ya kuitana hawakuwataja hao waislamu wa zamani na kujadiliana jinsi ya kuwaiga hao na badala yake wakataka kuwaiga wakristo na wayahudi?
-Je Muhammad , Umar na wafuasi wao wote walikuwa wanajua au hawajui kwamba kulikuwa na waislamu kabla yao?
Unatakiwa kuelewa hata issa aliposwali yeye kama muislamu hakuna sehemu inaonyesha wafuasi wake walisali hata kweny bible hakuna kitu kama hicho kwamb walisali vip....Mussa alisali yeye akiomba huyu ni Mussa

katika Torati Mussa alionyesha uelekeo wa watu wakisujudu waelekee wapi ka kuonyesha uelekeo wakati wa kusali ..Rudi kasome
Papa anaruhusiwa kuingia msikitini na viatu ila ninyi wengine mnavua. Halafu mkija huku nje mnatulaumu tunaingia patakatifu na viatu....vipi mlishindwa kumvua papa viatu? au ndio tuseme ndiye grand master wa Islam?View attachment 2629327
😅😅😅Sioni hoja yako hamna papa wala sato ...Huo ni Msikitini pia kuna mazingira ya usafi ..

Kama unabisha aangalia sehemu anayopita na je ni mda wa swalah
 
Unatakiwa kuelewa hata issa aliposwali yeye kama muislamu hakuna sehemu inaonyesha wafuasi wake walisali hata kweny bible hakuna kitu kama hicho kwamb walisali vip.
Ulitegemea umkute Isa kwenye biblia 😂🤣🤣🤣

Isa ni WA Koran only
 
Ulitegemea umkute Isa kwenye biblia 😂🤣🤣🤣

Isa ni WA Koran only
Bible ndo nn? Si kitabu cha kutunga kila mtu anasema yake😅😅😅yaani kila siku kinabdilishwa .

Ulion wapi huyo Mungu wenu akisali na wanafunzi wake?
 
Bible ndo nn? Si kitabu cha kutunga kila mtu anasema yake😅😅😅yaani kila siku kinabdilishwa .

Ulion wapi huyo Mungu wenu akisali na wanafunzi wake?
Isa bakini nae na Koran

Leta bible original na iliyobadilishwa
 
Isa bakini nae na Koran

Leta bible original na iliyobadilishwa
Yesu alisoma bible?😅😅

Mbona mnakuwa wajinga angalia wenzio wanaenda kuhiji vatican na uingereza (aglican) badala ya israel ..


Huoni ujinga kabisa hapo unashikilia ujinga..😅😅
 
Yesu alisoma bible?😅😅
Tunapojadiliana ondoa ujinga kichwani
Biblia ni mousanyiko wa vitabu na Yesu alisoma vitabu hivyo ambavyo kwa sasa vipo ndani ya Biblia

Naona umeshakubali kubaki na Isa muislamu mjukuu wa Imran na mjomba ake Haruni 😂🤣🤣🤣

Ila pedophile Muhammad aliingia chaka mambo ya copy paste
 
Tunapojadiliana ondoa ujinga kichwani
Biblia ni mousanyiko wa vitabu na Yesu alisoma vitabu hivyo ambavyo kwa sasa vipo ndani ya Biblia

Naona umeshakubali kubaki na Isa muislamu mjukuu wa Imran na mjomba ake Haruni 😂🤣🤣🤣

Ila pedophile Muhammad aliingia chaka mambo ya copy paste
Bible hakuna kitu ni uongo na haipo😅😅😅nionyesha historia ya nabii Ibrahim kweny bible?

Naona mnaenda kujadili vatican na uingereza kwa nn isiwe Israel?


wafuasi wa paulo na petro masumbua sana ni watu wajinga hata kijiuliza 😅😅kwa nn tunaenda kuhij vatican?
 
Bible hakuna kitu ni uongo na haipo[emoji28][emoji28][emoji28]nionyesha historia ya nabii Ibrahim kweny bible?

Naona mnaenda kujadili vatican na uingereza kwa nn isiwe Israel?


wafuasi wa paulo na petro masumbua sana ni watu wajinga hata kijiuliza [emoji28][emoji28]kwa nn tunaenda kuhij vatican?
Kuhusu tafasiri za Biblia, kuna fasiri nyingi sana zaidi ya lugha 2000, lakini tafasiri zinaweza zisiwe salama kulingana na mfasiri lakini maandiko[MATINI] yapo salama kabisa tokea yameandikwa na manabii na Mitume. Ndio maana Yesu alisema hata nukta wala yodi haitatanguka mpaka yote yatimie, hivyo mtu akikuambia kuwa maandiko hayapo salama yamechafuliwa mwogope kama ukoma au homa ya Ini, maana huyo ni mpinga Kristo. Bwana alisema hivi,

“…maandiko hayawezi kutanguka..[Yohana 10:35].

Kwa maana, amin, nawaambia ,Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka,yodi moja wala nukta moja ya torati haitaoondoka ,hata yote yatimie. [Mathayo 5:18].”

Na nabii Isaya kwa njia ya Roho wa Kristo alisema hivi,
“Majani yakauka, ua lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele. [Isaya 40:8].”

Hivyo maandiko[matini] yapo salama kabisa, ila tafasiri zinaweza zisiwe salama, kuna kalamu za waandishi zimeingiza hila kwa kuongeza na kupunguza au kwa kinywa pale wanapotafasiri au wanapofundisha kiasi cha watu kuona kama vile Biblia inajipinga. Maana kuna aina mbili za kalamu, moja ni kalamu ya wino na nyingine ni kalamu ya ulimi, hizi ni kalamu hatari sana ambazo zinaweza kupindua dunia au kuwasha moto. Tazama [Zaburi 45:1; Yer 8:8; Yakobo 3:5-9]. Hivyo inakupasa kuwa makini kwa usomaji wako wa Biblia, hivyo ndio maana watu wanaenda kusoma vyuo vya Biblia ili wapate kujua maana iliyokusudiwa kupitia matini[maandiko kwa lugha ya kale]. Lakini bado unaweza usiwe salama kwasababu kila chuo kinavutia katika eneo lake, maana vyuo karibu vyote vinamilikiwa na madhehebu fulani; Hivyo lazima kila dhehebu lifundishe Biblia kulingana na kanuni za Imani zao. Na hiyo ni hatari kubwa sana katika ufahamu wa kiroho, maana tunapaswa kusoma Biblia kibiblia, kwa maana ya kwamba yenyewe ituongeze katika maana husika iliyokusudiwa na si kwamba sisi ndiyo tuiongoze ikubaliane na misimamo au misingi ya Imani yetu. Kwahiyo sasa, ili uwe salama kabisa unapaswa kutumia njia ifuatayo,

ROHO MTAKATIFU: Hii ndiyo njia salama kabisa kwa msomaji wa Biblia, maana Roho mtakatifu ndio pumzi ya Mungu iliyovuvia manabii nao wakaandika maneno ya Mungu kupitia lugha za kibinadamu. [2 Petro 1:21]. Hivyo ili uielewe Biblia sharti uwe na ushirika wa Roho na si kuwa uwe na ushirika wa chuo cha Biblia au mchungaji wako au kasisi wako. Yesu aliahidi kutupa kinywa na hekima ambayo itatuwezesha kujua maandiko matakatifu kiasi cha wapinzani wa Biblia au wapinzani wetu kushindwa kukabiliana nasi.

AHADI YA YESU.

“kwa sababu mimi nitawapa KINYWA na HEKIMA ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga. [Luka 21:15].”

KUTIMIA KWA AHADI HII.

“Lakini baadhi ya watu wa sinagogi lililoitwa sinagogi la Mahuru, na la Wakirene, na la Waiskanderia, na la wale wa Kilikia na Asia, wakaondoka na kujadiliana na Stefano; lakini hawakuweza kushindana na hiyo HEKIMA na huyo ROHO aliyesema naye. [Matendo ya Mitume 6:9-10].”

Kinywa ndiye Roho Mtakatifu, hivyo watoto wa Mungu watapewa Roho na hekima ya Kristo kama Stefano ambayo itavunja vunja kuta za wasomi na wenye hekima wa dunia hii ambao wanaupinga ukweli wa Biblia. Na daima Mungu hufanya kazi na wanyenyekevu, huwainua kutoka katika kudharauliwa na kuwafanya kuwa vyombo vyake hodari. Mtume anasema,
“26Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: Wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka la juu. 27Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu. 28Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana. [1 Wakorintho 1:26-28 BHN].”

KUAIBIKA KWA WENYE HEKIMA WA DUNIA.

Marabi na makuhani na mafarisayo wa dini ya Kiyahudi ambao walikuwa wasomi sana wa Torati na Elimu mbalimbali, walistajabia hotuba ya Petro na Yohana mbele ya baraza la hukumu, hotuba ambayo ilikuwa imevuviwa kiroho, na ikawachoma mioyo na kuvunja hila yao, na kitu walichokistajabia sana ni kuwa hao watu hawakuwa na elimu ya darasani wala chuoni. Baada ya kuona hali hiyo wakafanya utafiti wao na wakagundua hawa watu wanaongozwa na nguvu isiyo ya kibinadamu, imeandikwa,
“Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu. [Matendo ya Mitume 4:13].”

Hivyo siri ya kuwa kama Petro au Yohana ama zaidi ni kuwa pamoja na Yesu, kumbuka Yesu aliahidi kuwa pamoja nasi mpaka ukamilifu wa dahari. [Mathayo 28:20]. Kwahiyo sisi si yatima, tunaye Yesu, na tunakuwa naye kwa njia ya Roho wake ndani yetu. [1 Yohana 3:24]. Ulimwengu hauwezi kumwona wala kumtambua Roho wa Kristo, ila sisi tutamtambua kwasababu anakaa kwetu na yupo ndani yetu. [Yohana 14:17].”

Unaweza kustajabia habari hii kuwa kuna watu leo wanachukua PHD zao kupitia nyaraka za Petro au Yohana ambao kwa kweli hao hawakuwa na shule yoyote wala kujulikana katika zama zao, walikuwa ni wavuvi tu wa Samaki. Elimu yao waliipata katika chuo cha Kristo kwa miaka mitatu tu na kujazwa Roho wa Kristo, kwa njia hiyo waliupindua ulimwengu na bado mafundisho yao yanazidi kuwaleta wengi katika hali mpya ya Kristo. Ni elimu ya ajabu, mtu mwovu[Jambazi, mzinzi, Malaya, Muongo, muuaji nk] kupitia nyaraka za Mitume anabadilika na kuwa mtu mwema; Hii si hali ya kawaida, upo uwezo nyuma ya nyaraka hizo na huo uwezo ni Roho wa Kristo.

SIRI YA KUMPATA ROHO WA KRISTO.

“Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie. [MDO 2:38,39].”

Hivyo hiyo ndiyo siri ya kumpata Roho wa Kristo. Na kama mkristo unapaswa kuwa na Roho ya Kristo, nje ya hapo huwezi kuielewa Biblia wala kufanyika mkristo mwana wa Mungu na kuwa na tabia njema, na vile vile hutakuwa katika milki ya Kristo bali yule adui wa Kristo. Mtume anasema hivi,

“Yeyote asiye na Roho wa Kristo, huyo si wake Kristo. [Warumi 8:9 BHN].

Neema ya Yesu Kristo iwe nawe.
 
Kuhusu tafasiri za Biblia, kuna fasiri nyingi sana zaidi ya lugha 2000, lakini tafasiri zinaweza zisiwe salama kulingana na mfasiri lakini maandiko[MATINI] yapo salama kabisa tokea yameandikwa na manabii na Mitume. Ndio maana Yesu alisema hata nukta wala yodi haitatanguka mpaka yote yatimie, hivyo mtu akikuambia kuwa maandiko hayapo salama yamechafuliwa mwogope kama ukoma au homa ya Ini, maana huyo ni mpinga Kristo. Bwana alisema hivi,

“…maandiko hayawezi kutanguka..[Yohana 10:35].

Kwa maana, amin, nawaambia ,Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka,yodi moja wala nukta moja ya torati haitaoondoka ,hata yote yatimie. [Mathayo 5:18].”

Na nabii Isaya kwa njia ya Roho wa Kristo alisema hivi,
“Majani yakauka, ua lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele. [Isaya 40:8].”

Hivyo maandiko[matini] yapo salama kabisa, ila tafasiri zinaweza zisiwe salama, kuna kalamu za waandishi zimeingiza hila kwa kuongeza na kupunguza au kwa kinywa pale wanapotafasiri au wanapofundisha kiasi cha watu kuona kama vile Biblia inajipinga. Maana kuna aina mbili za kalamu, moja ni kalamu ya wino na nyingine ni kalamu ya ulimi, hizi ni kalamu hatari sana ambazo zinaweza kupindua dunia au kuwasha moto. Tazama [Zaburi 45:1; Yer 8:8; Yakobo 3:5-9]. Hivyo inakupasa kuwa makini kwa usomaji wako wa Biblia, hivyo ndio maana watu wanaenda kusoma vyuo vya Biblia ili wapate kujua maana iliyokusudiwa kupitia matini[maandiko kwa lugha ya kale]. Lakini bado unaweza usiwe salama kwasababu kila chuo kinavutia katika eneo lake, maana vyuo karibu vyote vinamilikiwa na madhehebu fulani; Hivyo lazima kila dhehebu lifundishe Biblia kulingana na kanuni za Imani zao. Na hiyo ni hatari kubwa sana katika ufahamu wa kiroho, maana tunapaswa kusoma Biblia kibiblia, kwa maana ya kwamba yenyewe ituongeze katika maana husika iliyokusudiwa na si kwamba sisi ndiyo tuiongoze ikubaliane na misimamo au misingi ya Imani yetu. Kwahiyo sasa, ili uwe salama kabisa unapaswa kutumia njia ifuatayo,

ROHO MTAKATIFU: Hii ndiyo njia salama kabisa kwa msomaji wa Biblia, maana Roho mtakatifu ndio pumzi ya Mungu iliyovuvia manabii nao wakaandika maneno ya Mungu kupitia lugha za kibinadamu. [2 Petro 1:21]. Hivyo ili uielewe Biblia sharti uwe na ushirika wa Roho na si kuwa uwe na ushirika wa chuo cha Biblia au mchungaji wako au kasisi wako. Yesu aliahidi kutupa kinywa na hekima ambayo itatuwezesha kujua maandiko matakatifu kiasi cha wapinzani wa Biblia au wapinzani wetu kushindwa kukabiliana nasi.

AHADI YA YESU.

“kwa sababu mimi nitawapa KINYWA na HEKIMA ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga. [Luka 21:15].”

KUTIMIA KWA AHADI HII.

“Lakini baadhi ya watu wa sinagogi lililoitwa sinagogi la Mahuru, na la Wakirene, na la Waiskanderia, na la wale wa Kilikia na Asia, wakaondoka na kujadiliana na Stefano; lakini hawakuweza kushindana na hiyo HEKIMA na huyo ROHO aliyesema naye. [Matendo ya Mitume 6:9-10].”

Kinywa ndiye Roho Mtakatifu, hivyo watoto wa Mungu watapewa Roho na hekima ya Kristo kama Stefano ambayo itavunja vunja kuta za wasomi na wenye hekima wa dunia hii ambao wanaupinga ukweli wa Biblia. Na daima Mungu hufanya kazi na wanyenyekevu, huwainua kutoka katika kudharauliwa na kuwafanya kuwa vyombo vyake hodari. Mtume anasema,
“26Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: Wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka la juu. 27Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu. 28Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana. [1 Wakorintho 1:26-28 BHN].”

KUAIBIKA KWA WENYE HEKIMA WA DUNIA.

Marabi na makuhani na mafarisayo wa dini ya Kiyahudi ambao walikuwa wasomi sana wa Torati na Elimu mbalimbali, walistajabia hotuba ya Petro na Yohana mbele ya baraza la hukumu, hotuba ambayo ilikuwa imevuviwa kiroho, na ikawachoma mioyo na kuvunja hila yao, na kitu walichokistajabia sana ni kuwa hao watu hawakuwa na elimu ya darasani wala chuoni. Baada ya kuona hali hiyo wakafanya utafiti wao na wakagundua hawa watu wanaongozwa na nguvu isiyo ya kibinadamu, imeandikwa,
“Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu. [Matendo ya Mitume 4:13].”

Hivyo siri ya kuwa kama Petro au Yohana ama zaidi ni kuwa pamoja na Yesu, kumbuka Yesu aliahidi kuwa pamoja nasi mpaka ukamilifu wa dahari. [Mathayo 28:20]. Kwahiyo sisi si yatima, tunaye Yesu, na tunakuwa naye kwa njia ya Roho wake ndani yetu. [1 Yohana 3:24]. Ulimwengu hauwezi kumwona wala kumtambua Roho wa Kristo, ila sisi tutamtambua kwasababu anakaa kwetu na yupo ndani yetu. [Yohana 14:17].”

Unaweza kustajabia habari hii kuwa kuna watu leo wanachukua PHD zao kupitia nyaraka za Petro au Yohana ambao kwa kweli hao hawakuwa na shule yoyote wala kujulikana katika zama zao, walikuwa ni wavuvi tu wa Samaki. Elimu yao waliipata katika chuo cha Kristo kwa miaka mitatu tu na kujazwa Roho wa Kristo, kwa njia hiyo waliupindua ulimwengu na bado mafundisho yao yanazidi kuwaleta wengi katika hali mpya ya Kristo. Ni elimu ya ajabu, mtu mwovu[Jambazi, mzinzi, Malaya, Muongo, muuaji nk] kupitia nyaraka za Mitume anabadilika na kuwa mtu mwema; Hii si hali ya kawaida, upo uwezo nyuma ya nyaraka hizo na huo uwezo ni Roho wa Kristo.

SIRI YA KUMPATA ROHO WA KRISTO.

“Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie. [MDO 2:38,39].”

Hivyo hiyo ndiyo siri ya kumpata Roho wa Kristo. Na kama mkristo unapaswa kuwa na Roho ya Kristo, nje ya hapo huwezi kuielewa Biblia wala kufanyika mkristo mwana wa Mungu na kuwa na tabia njema, na vile vile hutakuwa katika milki ya Kristo bali yule adui wa Kristo. Mtume anasema hivi,

“Yeyote asiye na Roho wa Kristo, huyo si wake Kristo. [Warumi 8:9 BHN].

Neema ya Yesu Kristo iwe nawe.
Biblie ni kitabu cha Mungu ?

Kuna mikono ya watu zaidi ya 40 kila mtu anasema lake ndo maana baadhi ya aya zinapishana mara huyu ni yesu ni Mungu alikufa msalabani ,Yule anasema hakuna binadamu atakufa kwa dhambi za mwingine.

Bible ni ya kutunga na haikidhi uhalisia ndo maana inafanyiwa manipulation ya baadhi ya sheria..

Mna agano la kale na jipya hapa mmefanya update kama..


Swali hutowezka kujibu hata uende vatican👇👇

Nionyeshe wapi yesu alisoma bible au alipewa kitabu kinaitwa bible?
 
Unamfindisha, mfia dini ya moody! Huwa hawaelewi hawa. Akili zao zinefungwa na majini.


Hii coment nimependa kaka.
Majini ni hatari.

Halafu Huwa wanayatuma Majini yaje yatuchochee kwa uchochezi.
 
Biblie ni kitabu cha Mungu ?

Kuna mikono ya watu zaidi ya 40 kila mtu anasema lake ndo maana baadhi ya aya zinapishana mara huyu ni yesu ni Mungu alikufa msalabani ,Yule anasema hakuna binadamu atakufa kwa dhambi za mwingine.

Bible ni ya kutunga na haikidhi uhalisia ndo maana inafanyiwa manipulation ya baadhi ya sheria..

Mna agano la kale na jipya hapa mmefanya update kama..


Swali hutowezka kujibu hata uende vatican👇👇

Nionyeshe wapi yesu alisoma bible au alipewa kitabu kinaitwa bible?


VITABU VILIVYO tangulia ni vipi na vipo WAPI??????

MAJINI YAMEWAFUNGA AKILI AMUELEWI KITU.

MAJINI YAMEWA
 
HAKUNA MWARABU HATA MMOJA ALIYEWAHI KUWA MWISLAMU KABLA YA MUHAMMAD USHAHID HUU HAPA


QURAN 34:44

QURAN 43:21~22,

QURAN 51:52,

QURAN 3:164 NA QURAN 62:2
 
Back
Top Bottom