Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Dini za uongo zipo nyingi sio ukristo tu
Bado hujajibu nilichokuuliza.. Sijakuuliza kuhusu Dini za Uongo. Nimekuuliza endapo Ukristo ni Dini au Sio Dini.

Narudia tena swali. [emoji116]

UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?
 
Samahani naomba niulize kitu kimoja hapo, hivi hiyo ufunuo mnayoisifia sana huwa inaelezea mambo yaliyopita au yajayo?

NGOJA TUULIZE BIBLIA INASEMAJE???..
MAANA BIBLIA INATOSHA KABISA KUJIELEZEA.

UFUNUO 1: 1.

Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;

Nahisi hapo utakuwa umeelewa.
 
Si nimekuambia kuwa ukristo ni dini ya uongo na Paulo ni mtume wa uongo au haujaelewa?


QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Mmezoea kudanganyana mmedanganyana katika bibilia Sasa mnadanganyana katika Quran

Kila Aya unayoiona katika Quran Ilishuka Kwa sababu maluumu

Na hiyo Aya hapo hayo maneno wanaambiwa Wayahudi Kwa sababu Quran ilikuwa inayaweka wazi yale ambayo wao walikuwa wanayapindisha kutoka katika vitabu vya kale

Kwa hiyo wakawa inaichukia Qurani na huyo anayeileta hiyo Quran ambaye ni malaika jibril ( Gabriel)

(2:97) Say: “Whoever is an enemy to Gabriel100 (should know that) he revealed this (Qur’an) to your heart by Allah’s101 leave: it confirms the Scriptures revealed before it,102 and is a guidance and good tiding to the people of faith.103

100. The Jews not only reviled the Prophet (peace be on him) and his followers but also God's chosen angel, Gabriel, denouncing him as their enemy, and branding him as the angel of curse rather than of blessing.

101. Since Gabriel communicated the revealed messages with God's approval the abuses of the Jews which were apparently aimed at Gabriel should be considered as directed at God.

102. They abused Gabriel because he had brought the Qur'an from God, and since the Qur'an on the whole confirms the Torah this too became a co-sharer in those abuses.
 
Mmezoea kudanganyana mmedanganyana katika bibilia Sasa mnadanganyana katika Quran

Kila Aya unayoiona katika Quran Ilishuka Kwa sababu maluumu

Na hiyo Aya hapo hayo maneno wanaambiwa Wayahudi Kwa sababu Quran ilikuwa inayaweka wazi yale ambayo wao walikuwa wanayapindisha kutoka katika vitabu vya kale

Kwa hiyo wakawa inaichukia Qurani na huyo anayeileta hiyo Quran ambaye ni malaika jibril ( Gabriel)

(2:97) Say: “Whoever is an enemy to Gabriel100 (should know that) he revealed this (Qur’an) to your heart by Allah’s101 leave: it confirms the Scriptures revealed before it,102 and is a guidance and good tiding to the people of faith.103

100. The Jews not only reviled the Prophet (peace be on him) and his followers but also God's chosen angel, Gabriel, denouncing him as their enemy, and branding him as the angel of curse rather than of blessing.

101. Since Gabriel communicated the revealed messages with God's approval the abuses of the Jews which were apparently aimed at Gabriel should be considered as directed at God.

102. They abused Gabriel because he had brought the Qur'an from God, and since the Qur'an on the whole confirms the Torah this too became a co-sharer in those abuses.

Maana ni Ile Ile usitake kubisha Upuuzi.

Maana ni Ile Ile hata uje na TAFSIRI ya lugha Gani........

Kiingeleza, KIARABU, kichina, hizi ZOTE ni luga.

ADUI WA MALAIKA GABILIEL NI SHETANI.
NA SHETANI NDIO AMELETA QURAN
 
Mmezoea kudanganyana mmedanganyana katika bibilia Sasa mnadanganyana katika Quran

Kila Aya unayoiona katika Quran Ilishuka Kwa sababu maluumu

Na hiyo Aya hapo hayo maneno wanaambiwa Wayahudi Kwa sababu Quran ilikuwa inayaweka wazi yale ambayo wao walikuwa wanayapindisha kutoka katika vitabu vya kale

Kwa hiyo wakawa inaichukia Qurani na huyo anayeileta hiyo Quran ambaye ni malaika jibril ( Gabriel)

(2:97) Say: “Whoever is an enemy to Gabriel100 (should know that) he revealed this (Qur’an) to your heart by Allah’s101 leave: it confirms the Scriptures revealed before it,102 and is a guidance and good tiding to the people of faith.103

100. The Jews not only reviled the Prophet (peace be on him) and his followers but also God's chosen angel, Gabriel, denouncing him as their enemy, and branding him as the angel of curse rather than of blessing.

101. Since Gabriel communicated the revealed messages with God's approval the abuses of the Jews which were apparently aimed at Gabriel should be considered as directed at God.

102. They abused Gabriel because he had brought the Qur'an from God, and since the Qur'an on the whole confirms the Torah this too became a co-sharer in those abuses.


KWANZA MTUME MWENYEWE ALILOGWA.

CASE CLOSED.
 

Attachments

  • Screenshot_20230519-142315.jpg
    Screenshot_20230519-142315.jpg
    104.4 KB · Views: 13
NGOJA tupotoshe vizuri tukufurahishe.


Yani unaisema Biblia, Unaakili TIMAMU wewe!!!!?


ANAYESEMA msome VITABU VILIVYO tangulia ni nani!!!!??

Mbona NYIE WA AJABU sana!!!!!???.........
 
Wazolee njoo utetee hapa.


JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
 
Tumesoma Quran tumejiridhisha tunaposema ni kitabu Cha shetani tunaelewa tunaongea nini.

Unasidhani tunaichukia DINI TUNAWAAMBIA wasiojua kweli wajue.

Kuna Aya zaidi ya 100 za Quran zenye mambo ya Ajabu mno.

Quran Imeandikwa na MASHETANI.
 
Tumesoma Quran tumejiridhisha tunaposema ni kitabu Cha shetani tunaelewa tunaongea nini.

Unasidhani tunaichukia DINI TUNAWAAMBIA wasiojua kweli wajue.

Kuna Aya zaidi ya 100 za Quran zenye mambo ya Ajabu mno.

Quran Imeandikwa na MASHETANI.
QURAN
Nikitabu pekee katika vitabu vya Mungu kujinacho jieleza kuwa hakina shida

Yani katika vitabu vingine vyote hakukuwa na Aya kama hii

Quran 2:2
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,

Malaika wapo wengi ila Kwa utukufu wa Quran Mungu alimpa kazi mkuu wa malaika Yani malaika Jibril ( Gabriel) kuipeleka Quran Kwa Mtume Muhammad na malaika Jibril aliifanya hiyo kazi Kwa muda wa miaka 23

Quran 16:102
Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu


Kazi mojawapo ya Quran ni kulinda vitabu vya Mungu vilivyotangulia Yani Taurati, Zaburi na Injili
Na ndio maana ule muujiza aliyoufanya Yesu wa kufinyanga udongo kama ndege Kisha akampuliza akawa ndege na kuruka hu muujiza haupo katika kitabu chochote Cha Injili ila ndani ya Quran upo

Mlikuwa mnadanganya watu kuwa Yesu ni Mungu Quran 5:75 inasema sio kweli kwani Yesu na mama yake walikuwa wanakula chakula na kuenda chooni Sasa miungu gani inakula chakula na kuenda haha

Qurani 5:48
Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia


Mwisho Mungu anasema yeye ndio aliyeitelemsha Qurani na ndio atakaye ilinda mwaka wa 1400 Sasa ipo vile vile haijaongezwa Wala kupunguzwa hata nukta

Mmebaki tu kuchakachua vitabu vya hadithi za mtume Muhammad na kudanganyana

Quran 15:9
Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutao ulinda.
 
Wagalatia mmezoea kudanganyana ni nani aliyekuambia uislam umeanzia Kwa Mtume Muhammad?

Mitume yote ya Mungu walikuwa waislam

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

Quran 17 :77
Huo ndio mwendo kwa Mitume tulio watuma kabla yako. Wala hupati mabadiliko katika mwendo wetu

MUNGU ANASEMA HAKUNA MABADIRIKO KATIKA MAFUNDISHO ALIYOWAPA MITUME YAKE

UKIONA WATU WAPO TOFAUTI UJUE HILO NI ZAO LA MNYAMA 666


NGUZO TANO ZA UISLAM NDANI YA BIBILIA

1) KUTOA SHAHADA /KUAMINI MUNGU NI MMOJA TU

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa muislam ndio maana hapo anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na yeye ametumwa na huyo Mungu mmoja

2) KUSALI KWA KUSUJUDU / paji la uso kugusa aridhi

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Yesu hapo anaomba huku paji lake la uso likiwa limegusa aridhi Yani amesujudu

2 Mambo ya Nyakati 7:3
]Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule moto, utukufu wa BWANA ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.

3) KUTOA ZAKA
Hi Haina ubishi Kila mtu anaijua

4) KUFUNGA SAUMU

Yeremia 36:9
[9]Basi, ikawa katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kenda, watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, na watu wote waliokuja Yerusalemu kutoka miji yote ya Yuda, wakapiga mbiu ya kufunga mbele za BWANA.

Yoeli 1:14
Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini,
Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi;
Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu,
Na kumlilia BWANA,

5) KUENDA HIJA / NA KUANGALIA KIBLA UNAPOSALI
Kwa Sasa kibla ni msikiti wa maka waislam wote duniani wanapofanya ibada wanatakiwa waangalie huko na wenye uwezo waende huko

Waislam wa zamani pia walikuwa wanaenda hija walipo chaguliwa na Mungu

Kumbukumbu la Torati 12: 5
Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

[6]pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;


Hizo ni nguzo Tano za uislam ndani bibilia hili linathibitisha Mitume wote kuanzia Yesu kurudi nyuma walikuwa waislam

Sasa wathibitishie wagalatia wenzako Kwa maandiko
1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi

Maana Qurani inasema hao manabii wote ni waislam Sasa wewe thibitisha Kwa maandiko dini zao manabii Ili tukuamini kuwa kweli Quran ni kitabu Cha uongo

Other wise wewe ni product ya mnyama 666 na kunena makufuru ndicho mlicho fundishwa

Uislamu bila kuiba manabii wa kiyahudi haujakamilika,dini ya hovyo sana hii,
 
QURAN
Nikitabu pekee katika vitabu vya Mungu kujinacho jieleza kuwa hakina shida

Yani katika vitabu vingine vyote hakukuwa na Aya kama hii

Quran 2:2
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,

Malaika wapo wengi ila Kwa utukufu wa Quran Mungu alimpa kazi mkuu wa malaika Yani malaika Jibril ( Gabriel) kuipeleka Quran Kwa Mtume Muhammad na malaika Jibril aliifanya hiyo kazi Kwa muda wa miaka 23

Quran 16:102
Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu


Kazi mojawapo ya Quran ni kulinda vitabu vya Mungu vilivyotangulia Yani Taurati, Zaburi na Injili
Na ndio maana ule muujiza aliyoufanya Yesu wa kufinyanga udongo kama ndege Kisha akampuliza akawa ndege na kuruka hu muujiza haupo katika kitabu chochote Cha Injili ila ndani ya Quran upo

Mlikuwa mnadanganya watu kuwa Yesu ni Mungu Quran 5:75 inasema sio kweli kwani Yesu na mama yake walikuwa wanakula chakula na kuenda chooni Sasa miungu gani inakula chakula na kuenda haha

Qurani 5:48
Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia


Mwisho Mungu anasema yeye ndio aliyeitelemsha Qurani na ndio atakaye ilinda mwaka wa 1400 Sasa ipo vile vile haijaongezwa Wala kupunguzwa hata nukta

Mmebaki tu kuchakachua vitabu vya hadithi za mtume Muhammad na kudanganyana

Quran 15:9
Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutao ulinda.

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Quran 15:9
Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutao ulinda.[/B]
Vitabu vyake alivyo dai vilikuwepo kabla ya Koran hakuna nukta imebaki wala ata historical viliwahi kuwepo

Tuambie Nini kilimpata Allah ?
 
Hakuna msikiti wala Waislamu wanao poteza wakati kuwazungumzia Wakatoliki, nyie maadui zenu ni Walokole wanao muona Papa kama ni mpinga Kristo.
Kama unaona Uislamu hauna cha ku offer, tafakari Uislamu umekuja baada ya zaidi ya miaka elfu na mia nne baada ya ukristu iwaje population worldwide ya Catholics ni 2.3 billion na Waislamu kwa muda mfupi ni 2billion na kuna nchi nyingi Muslim majority.
Wakati wa ku comment Ni bora mtu Ukawa sober, hujakutana na K Vant.
NB: Pope amekaribishwa na kuingia msikiti Uturuki na ameendesha misa nchi ya kiaarabu ya Kiislamu Bahrain
ivi iliandikwa mkazaane muijaze dunia au muijaze dini?
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
NGOJA NIKUONYESHENI MPINGA KRISTO

Yohana 16:1
Maneno hayo nimewaambia, msije mkachukizwa.
Yohana 16:2
Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.
Yohana 16:3
Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
Yohana 16:4
Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwapo pamoja nanyi.
Yohana 16:5
Lakini sasa mimi naenda zangu kwake yeye aliyenipeleka, wala hakuna mmoja wenu aniulizaye, Unakwendapi?

Yesu anasema watakao mpinga ni wale ambao watawatenga wanafunzi wake na masinagogi na kuwauwa

JE! NANI ALIYAFANYA HAYO AMBAYO YESU ALIWAMBIA WANAFUNZI WAKE

Hawa ni wanafunzi wa Paulo wanamuua Stefano mwanafunzi wa Yesu na Yeye Paulo anashuhudia

Matendo ya Mitume 7:53
ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.
Matendo ya Mitume 7:54
Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.
Matendo ya Mitume 7:55
Lakini yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo ya Mitume 7:56
Akasema, Tazama! Naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo ya Mitume 7:57
Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,
Matendo ya Mitume 7:58
wakamtoa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao miguuni pa kijana mmoja aliyeitwa Sauli.
Matendo ya Mitume 7:59
Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.

KAZI YA PAULO ILIKUWA KUWATENGA WANAFUNZI WA YESU NA MASINAGOGI KWA KUWAFANYIA VISA MBALI MBALI NA KUWAUWA

Matendo ya Mitume 26:11
Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini.


BAADA YA PAULO KUWAUWA WANAFUNZI WA YESU WALIOKUWA WAMEISHIKA KWELI KWWLI TAURATI NA INJILI KAMA YESU ALIVYOWAFUNDISHA AKAANZISHA DINI YA UKRISTO

Matendo ya Mitume 11:26
hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.


Hadi hapo utabiri wa Yesu umetimia wanafunzi wake walitengwa na masinagogi na kuuliwa na hiyo kazi aliifanya Paulo na Yesu aliwambia watawafanyia hayo kwakuwa hawamjui Mungu Wala Yesu
 
Embu soma hii hadith alafu jibu maswali ya chini yake.

Umar amesimuliwa:
"Wakati Waislamu walipofika katika AI-Madinah, walikuwa wakikusanyika kwa Salat, na wanakadiria wakati hakukuwa na mtu aliyeiita (sala hiyo). Siku moja walijadili jambo hilo na wengine walisema kwamba wanapaswa tumia kengele kama vile kengele inavyotumiwa na Wakristo. Wengine walisema wanapaswa kutumia tarumbeta kama ile pembe inayotumiwa na Wayahudi. Lakini Umar [bin Al-Khattab] alisema: Je! "" Akasema itakuwa vizuri kama tukiwa na mtu wa kuita kwa sala: "Kwa hivyo Muhammad akasema: Ewe Bilal! Simama, uite kwa sala. Jami` at-Tirmidhi 190

swali
  • Unasema kwa mujibu wako kwamba uislamu ulikuwepo kabla ya muahammad, Je ni kwa nini Muhammad, Umari na wafuasi wao wote katika mapendekezo yao ya kuiga jinsi ya kuitana hawakuwataja hao waislamu wa zamani na kujadiliana jinsi ya kuwaiga hao na badala yake wakataka kuwaiga wakristo na wayahudi?
  • Je Muhammad , Umar na wafuasi wao wote walikuwa wanajua au hawajui kwamba kulikuwa na waislamu kabla yao?

Wazolee
Wazolee nakuita tena 😂😂😂 na tena Kuna maswali umeyakimbia
 
Embu soma hii hadith alafu jibu maswali ya chini yake.

Umar amesimuliwa:
"Wakati Waislamu walipofika katika AI-Madinah, walikuwa wakikusanyika kwa Salat, na wanakadiria wakati hakukuwa na mtu aliyeiita (sala hiyo). Siku moja walijadili jambo hilo na wengine walisema kwamba wanapaswa tumia kengele kama vile kengele inavyotumiwa na Wakristo. Wengine walisema wanapaswa kutumia tarumbeta kama ile pembe inayotumiwa na Wayahudi. Lakini Umar [bin Al-Khattab] alisema: Je! "" Akasema itakuwa vizuri kama tukiwa na mtu wa kuita kwa sala: "Kwa hivyo Muhammad akasema: Ewe Bilal! Simama, uite kwa sala. Jami` at-Tirmidhi 190

swali
  • Unasema kwa mujibu wako kwamba uislamu ulikuwepo kabla ya muahammad, Je ni kwa nini Muhammad, Umari na wafuasi wao wote katika mapendekezo yao ya kuiga jinsi ya kuitana hawakuwataja hao waislamu wa zamani na kujadiliana jinsi ya kuwaiga hao na badala yake wakataka kuwaiga wakristo na wayahudi?
  • Je Muhammad , Umar na wafuasi wao wote walikuwa wanajua au hawajui kwamba kulikuwa na waislamu kabla yao?

Wazolee
Swali lako ni la kipuuzi

1) Sio Mimi niliyosema Uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad ila ni Qurani yenyewe

Quran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.

2) Mimi niliangalia tu katika bibilia kuthibitisha kuwa kweli uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad nikaona kweli maana nimeona

Watu waliamini Mungu ni mmoja
Watu walinawa kabla ya kusali
Watu walisali Kwa kusujudu
Watu walitoa zaka
Watu walifunga saumu
Watu waliangalia kibla wanapo sali
Watu waliamlishwa waende wakahiji palipo chaguliwa na Mungu
Watu walitumia calendar ya mwezi muandamo

3) chochote kilichopo katika hadithi hakina uwezo wa kupinga Aya za Quran Kwa sababu hadithi ni maneno ya watu ambayo walihadithiana mambo aliyosema mtume au aliyokuwa anafanya

Hata wewe unaweza ukajifanya unamjua sana mtume ukaandika kitabu chako kuwa mtume alifanya hivi au alisema hivi ukaita kitabu Cha hadithi

Na ndio maana Muislam halazimishi kuamini alichokisoma katika vitabu vya hadithi Yani ni option unaweza kufuata au usifuate ila Quran ndio lazima kuifata chochote kilichoandikwa

Kwa hiyo hiyo miadithi yenu ambayo mbaitoa humu ni kazi bure maana Kuna hadithi sahihi na hadithi ambazo sio sahihi

Na hata siku Moja wewe mgalatia hauwezi kutoa hadithi sahihi ila utatafuta hadithi za uongo zilizoandikwa na wagalatia wenzako Ili muendelee kupotezana
 
Swali lako ni la kipuuzi

1) Sio Mimi niliyosema Uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad ila ni Qurani yenyewe

Quran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.

2) Mimi niliangalia tu katika bibilia kuthibitisha kuwa kweli uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad nikaona kweli maana nimeona

Watu waliamini Mungu ni mmoja
Watu walinawa kabla ya kusali
Watu walisali Kwa kusujudu
Watu walitoa zaka
Watu walifunga saumu
Watu waliangalia kibla wanapo sali
Watu waliamlishwa waende wakahiji palipo chaguliwa na Mungu
Watu walitumia calendar ya mwezi muandamo

3) chochote kilichopo katika hadithi hakina uwezo wa kupinga Aya za Quran Kwa sababu hadithi ni maneno ya watu ambayo walihadithiana mambo aliyosema mtume au aliyokuwa anafanya

Hata wewe unaweza ukajifanya unamjua sana mtume ukaandika kitabu chako kuwa mtume alifanya hivi au alisema hivi ukaita kitabu Cha hadithi

Na ndio maana Muislam halazimishi kuamini alichokisoma katika vitabu vya hadithi Yani ni option unaweza kufuata au usifuate ila Quran ndio lazima kuifata chochote kilichoandikwa

Kwa hiyo hiyo miadithi yenu ambayo mbaitoa humu ni kazi bure maana Kuna hadithi sahihi na hadithi ambazo sio sahihi

Na hata siku Moja wewe mgalatia hauwezi kutoa hadithi sahihi ila utatafuta hadithi za uongo zilizoandikwa na wagalatia wenzako Ili muendelee kupotezana
Hao Waislam wa toka mwanzo kabla ya Mohamad walikuwa wanashika nguzo ngapi za Uislam?
 
Back
Top Bottom