Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

MAKELELE Mengi yamejaa UJINGA na uongo MTUPU.

Usihangaike na MAKELE

1. UISLAMU ULIANZA LINI NA MOHAMED ALIZALIWA LINI?????????......


Hadi nakuonea huruma.
Nje ya Quran ILIYOANDIKWA Mwaka 600 hakuna UISLAMU.


HAKUNA UISLAMU HAKUNA
UISLAM ILIKUWEPO KABLA YA MTUME MUHAMMAD

NGUZO TANO ZA UISLAM NDANI YA BIBILIA

1) KUTOA SHAHADA /KUAMINI MUNGU NI MMOJA TU

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa muislam ndio maana hapo anashuhudia kuwa Mungu ni mmoja na yeye ametumwa na huyo Mungu mmoja

2) KUSALI KWA KUSUJUDU / paji la uso kugusa aridhi

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Yesu hapo anaomba huku paji lake la uso likiwa limegusa aridhi Yani amesujudu

2 Mambo ya Nyakati 7:3
]Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule moto, utukufu wa BWANA ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.

3) KUTOA ZAKA
Hi Haina ubishi Kila mtu anaijua

4) KUFUNGA SAUMU

Yeremia 36:9
[9]Basi, ikawa katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kenda, watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, na watu wote waliokuja Yerusalemu kutoka miji yote ya Yuda, wakapiga mbiu ya kufunga mbele za BWANA.

Yoeli 1:14
Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini,
Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi;
Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu,
Na kumlilia BWANA,

5) KUENDA HIJA / NA KUANGALIA KIBLA UNAPOSALI
Kwa Sasa kibla ni msikiti wa maka waislam wote duniani wanapofanya ibada wanatakiwa waangalie huko na wenye uwezo waende huko

Waislam wa zamani pia walikuwa wanaenda hija walipo chaguliwa na Mungu

Kumbukumbu la Torati 12: 5
Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika kabila zenu zote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe wende huko;

[6]pelekeni huko sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu, na sadaka zenu za hiari, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ng’ombe na ya kondoo;


Kipi kipya hapo tunachofanya sisi ambacho waislam wa zamani hawakufanya?
 
UFUNUO NIMEKISOMA NIMEMALIZA KINA SILI ZOTE ZA DUNIANI.

Kupigitia kitabu hiki nimeamka kuyakabidi Maisha yangu kwa Yesu kwa Asilimia 100%

MUNGU ABARIKI BIBLIA
KITABU CHAKE KITAKATIFU
Kwa sisi budhists tusiojua wa hatujawahi kuiona biblia tutafanywaje?
 
Ni nani aliyekudanganyeni kuwa kuwa uislam ulianzishwa na mtume Muhammad Duniani

Maana Qurani inasema uislam ulikuwepo kabla ya mtume Muhammad Yani manabii wote wa Mungu kabla ya Muhammad walikuwa waislam

Isipokuwa mtume Paulo na Paulo sio mtume wa Mungu ila ni mtume wa uongo ni product ya 666


Quran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.
 
HAPA NDIPO KILA KITU KILIPO HARIBIKA.

Akalifungua shimo la kuzimu; moshi ukapanda kutoka mle shimoni kama moshi wa tanuru kubwa; jua na anga vikatiwa giza kwa sababu ya ule moshi wa shimoni.
Ufunuo wa Yohana 9:2
Samahani naomba niulize kitu kimoja hapo, hivi hiyo ufunuo mnayoisifia sana huwa inaelezea mambo yaliyopita au yajayo?
 
Kwa sisi budhists tusiojua wa hatujawahi kuiona biblia tutafanywaje?
Ninyi muendelee kuamini kuwa Mungu ni Muumbaji na Mwokozi na alikuja katika mwili wa Kristo. Dunia itahukumiwa kwa kutomwamini Mungu kuwa anaweza kutwaa mwili
 
Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu

Ibrahim naye pia alikuwa muislam na akawahusia wanawe na wajukuu zake kuwa wasiuache uislam

Sasa nyinyi wagalatia ni nani aliyekudanganyeni kuwa uislam ulianzishwa na mtume Muhammad

Huyo aliyekudanyeni mwambie akupeni majibu mlete hapa kama manabii hawa hawakuwa waislam, je! walikuwa na dini gani?

Au walikuwa wapagani?

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
 
UISLAM ILIKUWEPO KABLA YA MTUME MUHAMMAD
Embu soma hii hadith alafu jibu maswali ya chini yake.

Umar amesimuliwa:
"Wakati Waislamu walipofika katika AI-Madinah, walikuwa wakikusanyika kwa Salat, na wanakadiria wakati hakukuwa na mtu aliyeiita (sala hiyo). Siku moja walijadili jambo hilo na wengine walisema kwamba wanapaswa tumia kengele kama vile kengele inavyotumiwa na Wakristo. Wengine walisema wanapaswa kutumia tarumbeta kama ile pembe inayotumiwa na Wayahudi. Lakini Umar [bin Al-Khattab] alisema: Je! "" Akasema itakuwa vizuri kama tukiwa na mtu wa kuita kwa sala: "Kwa hivyo Muhammad akasema: Ewe Bilal! Simama, uite kwa sala. Jami` at-Tirmidhi 190

swali
  • Unasema kwa mujibu wako kwamba uislamu ulikuwepo kabla ya muahammad, Je ni kwa nini Muhammad, Umari na wafuasi wao wote katika mapendekezo yao ya kuiga jinsi ya kuitana hawakuwataja hao waislamu wa zamani na kujadiliana jinsi ya kuwaiga hao na badala yake wakataka kuwaiga wakristo na wayahudi?
  • Je Muhammad , Umar na wafuasi wao wote walikuwa wanajua au hawajui kwamba kulikuwa na waislamu kabla yao?

Wazolee
 
Ninyi muendelee kuamini kuwa Mungu ni Muumbaji na Mwokozi na alikuja katika mwili wa Kristo. Dunia itahukumiwa kwa kutomwamini Mungu kuwa anaweza kutwaa mwili
Ila hayo si ni maneno ya kwenye biblia kabisa?


haya budhists na kristo wapi na wapi?
 
Kwanza hilo andiko la Quran halipo hivyo umedanganya au sijui kama wewe umedanganywa sijui maana mmezoea kudanganyana

Andiko linasema hivi
Quran 2:62
Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika

Hapo katika walioamini Kuna alama ya koma na kiunganishi( na) hivyo sentence ya kwanza imeishia hapo sentence inayofuata ndio hii

Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika

Yani maana ya hilo andiko ni kwamba pepo ya Allah ipo wazi Kwa yeyete atakaye amini Mungu ni mmoja na siku ya mwisho Yani atakaye amini kwamba Kuna siku atafufuliwa Baada ya kufa kwake

Kwa hiyo hapo automatically hao Mayahudi, Wakristo na wasabai wakiamini hayo ni tayari wamesha silimu na kuwa waislam

Pole sana Kwa kutokujua kiswahili

Kuhusu hayo maandiko yako ya wagalatia, Wakolintho, Tito , Warumi sijui Efeso Yani vitabu vyote vya Paulo hivyo ni vitabu vyenu vilivyokuleteeni ukristo na Kila siku tumasema ukristo ni dini iliyoanzishwa na Paulo na sio Yesu hivyo hakuna la kushangaza


Swali lipo pale pale

Ili kuthibitisha kuwa Quran iliposema hawa manabii walikuwa waislam imedanganya

Lete wewe mandiko yako ya ukweli yanayo sema hawa manabii walikuwa na dini gani?

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
Mbona huwa mnajichanganya kwenye maelezo yenu?

Hapo unasema Paulo alileta DINI ya Ukristo. Kwa hiyo unasema kuwa Ukristo NI DINI iliyoletwa na Paulo.

Ila hapohapo Wewe na wavaa kobazi wenzako huwa mnasema Ukristo SIO DINI.

Mnaona mnavyojichanganya?
Tushike lipi sasa... Ukristo ni Dini au sio Dini?
 
Uislamu ni dini yenye tamaduni za kiarabu ambayo ililetwa Kwa njia ya ukatili sana Kwa kuwafanya babu na bibi zetu watumwa. Na pia ukristo ni tamaduni za wazungu ambazo zililetwa Kwa njia ya kututawala. Hovyo sana
 
Mbona huwa mnajichanganya kwenye maelezo yenu?

Hapo unasema Paulo alileta DINI ya Ukristo. Kwa hiyo unasema kuwa Ukristo NI DINI iliyoletwa na Paulo.

Ila hapohapo Wewe na wavaa kobazi wenzako huwa mnasema Ukristo SIO DINI.

Mnaona mnavyojichanganya?
Tushike lipi sasa... Ukristo ni Dini au sio Dini?
Yani maana yangu ni kwamba Paulo ni mtume wa uongo na dini ya ukristo aliyoileta pia dini ya uongo

Ndio maana tunamuweka Paulo pembeni na kutaka ushahidi wa manabii wa kweli kama Yesu , Musa ,Daudi au Suleiman kama wanaijua dini ya ukristo

Maana tunaujua kuwa ukristo upo na mtume wenu Paulo na vitabu vyenu ni wagalatia Wakolintho Tito Warumi sijui Efeso mlipo vipata mnajua wenyewe
 
Yani maana yangu ni kwamba Paulo ni mtume wa uongo na dini ya ukristo aliyoileta pia dini ya uongo

Ndio maana tunamuweka Paulo pembeni na kutaka ushahidi wa manabii wa kweli kama Yesu , Musa ,Daudi au Suleiman kama wanaijua dini ya ukristo

Maana tunaujua kuwa ukristo upo na mtume wenu Paulo na vitabu vyenu ni wagalatia Wakolintho Tito Warumi sijui Efeso mlipo vipata mnajua wenyewe
Hujajibu nilichokuuliza. Tuliza kichwa kwanza .

Narudia tena[emoji116]

Umesema Paulo ameanzisha DINI YA UKRISTO.
Maana yake UMEKIRI kuwa Ukristo ni DINI(iliyoanzishwa na paulo)

Lakini wewe na wavaa kobazi wenzako huwa mnasema Ukristo SIO DINI.

Mnajichanganya sana.

Sasa nimekuuliza, UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?

Jibu hilo swali bila konakona kwa sababu linaeleweka vizuri.
UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?
 
Hujajibu nilichokuuliza. Tuliza kichwa kwanza .

Narudia tena[emoji116]

Umesema Paulo ameanzisha DINI YA UKRISTO.
Maana yake UMEKIRI kuwa Ukristo ni DINI(iliyoanzishwa na paulo)

Lakini wewe na wavaa kobazi wenzako huwa mnasema Ukristo SIO DINI.

Mnajichanganya sana.

Sasa nimekuuliza, UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?

Jibu hilo swali bila konakona kwa sababu linaeleweka vizuri.
UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?
Si nimekuambia kuwa ukristo ni dini ya uongo na Paulo ni mtume wa uongo au haujaelewa?
 
Samahani naomba niulize kitu kimoja hapo, hivi hiyo ufunuo mnayoisifia sana huwa inaelezea mambo yaliyopita au yajayo?
Ufunuo ni ndoto aliyoota yohana, kuhusiana na siku za mwisho za utawala wa kikoloni wa kirumi,, pale wayahudi watakapokombolewa kutoka utumwani na kuwa huru, chini ya utawala wa mfalme wa uyahudi katika jerusalem mpya
 
Back
Top Bottom