Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU.
NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

MOHAMED ANASISITIZA SAMA KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.
Hizo Aya ulizoweka hapo hakuna hata Aya Moja inayohalalisha uwepo Uyahudi na ukiristo kuwa ni dini za kweli

Quran Haina shida na vitabu vya zamani vyote hivyo ni vitabu vya Allah

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

Quran 17:55
Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.

Hivyo vyote ni vitabu vya Mungu Wakaja watu waovu wakavichakachua na kuzua dini zao za uongo uongo zikiwepo dini za Uyahudi na ukiristo

Ndipo Allah akamleta Mtume Muhammad na kitabu Cha Quran Ili kulinda vitabu vilivyotangulia na mafundisho yake ambayo ni uislam

Na ndio maana ukisema Yesu Mungu nakuambia No

Ukisema ukristo dini ya kweli nakuambia No

Kwa sababu ipo Quran ndio kio Cha vitabu na manabii wote wa Mungu

5:48
Quran 5:48
Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda


Na Quran inasema manabii wote walikuwa waislam na mafundisho Yao ya vitabu vyao vilifundisha uislam

Na kama mnapingana na na Qurani thibitisheni Kwa maandiko hawa manabii walikuwa na dini gani

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
 
Unabii huu unaupata kwenye kitabu Cha UFUNUO 9.

1 Malaika wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya nchi; naye akapewa ufunguo wa shimo la kuzimu.

2 Akalifungua shimo la kuzimu; moshi ukapanda kutoka mle shimoni kama moshi wa tanuru kubwa; jua na anga vikatiwa giza kwa sababu ya ule moshi wa shimoni.

3 Nzige wakatoka katika ule moshi, wakaenda juu ya nchi, wakapewa nguvu kama nguvu waliyo nayo nge wa nchi.

4 Wakaambiwa wasiyadhuru majani ya nchi, wala kitu cho chote kilicho kibichi, wala mti wo wote, ila wale watu wasio na muhuri ya Mungu katika vipaji vya nyuso zao.

Ufunuo wa Yohana 9:1-4
Hapa dini mpya inaoneshwa, ikiwa na baadhi ya mafundisho mazuri, NI NYOTA ILIYOANGUKA KUTOKA MBINGUNI, lakini ilikuwa imechanganyikana na MAFUNDISHO MACHAFU, moshi kutoka lile, "SHIMO LA KUZIMU"

Uislam ulianza kwa kulaani uovu wa ibada ya sanamu iliyokuwa inaendeshwa na kanisa la Roman Catholic, (NA HAPA ULIKUWA SAWA).

Kwa hakika kuna Mungu mmoja, na hakuna astahiliye kuabudiwa isipokuwa yeye. Lakini mafundisho ya Uislam yaliyokuwa yanahitajika kwa kanisa asi, YALILETA "MOSHI" KATIKA ULIMWENGU.

"SHIMO LA KUZIMU" katika kiyunani lina maana ya JANGWA au NYIKA yoyote iliyo ukiwa, na hivyo linafaa kabisa KUWAKILISHA JANGWA LA ARABUNI walikotokea wavamizi Waislam wa Kiarabu, KATIKA WINGI UNAOFANANA NA NZIGE.

Abyssos ni neno la Kiyunani linalomaanisha, "SHIMO LA KUZIMU"
na hilo ndilo linalotupatia neno la sasa la kiingereza, linalomaanisha KUZIMU. Waandishi wa kisasa wa Kiislam wanalitumia neno hilo kuielezea jamii ya Kiarabu alikotokea Muhammad:

ARABIA SHIMO LA GIZA.
Katika enzi hizo za ujinga uliokithiri, kulikuwa na eneo ambalo giza zito tena totoro lilikuwa limetuwama... ARABIA... Nalo lilikuwa pweke likiwa limetengwa na bahari kubwa sana ya mchanga. Wafanya biashara wa Kiarabu walikuwa wanasafiri mwendo mrefu kwa kujikokota wala hawakupata punje yoyote ya maarifa katika safari zao. Katika nchi yao hawakuwa na taasisi yoyote ya elimu wala maktaba. Hakuna aliyekuwa anaonekana kuwa na shauku ya kukuza ama kuendeleza elimu.

Fikra zao zilikuwa zimejaa miiko, akili na jadi yao ilikuwa ni unyama na ukatili mkubwa, maadili na ufahamu wao vilikuwa vya kishenzi na visivyo staha.

"...Hakukuwa na sheria isipokuwa ile ya ukatili. Uporaji, mashambulizi na mauaji ya watu dhaifu wasio na hatia ilikuwa ndio kawaida... Tukio lolote dogo lilikuwa linaweza kusababisha vita kulipuka kwa hasira za kikatili...
Dhana yoyote waliyokuwa nayo juu ya maadili, utamaduni, na ustaarabu vilikuwa vinaonekana vya kizamani na ushenzi... Walikuwa wakiabudu mawe, miti, sanamu, nyota na mizimu, na kiufupi walikuwa wanaabudu chochote walichokuwa wanakifikria isipokuwa MUNGU. (Rejea ABDUL A'LAMAUDUDI TOWARDS UNDERSTANDING ISLAM, UK. 41, 42, NAIROBI: THE ISLAMIC FOUNDATION, QUR'AN HOUSE 1973)

Siku moja mfalme Chosroes II wa Uajemi alipokea barua kutoka kwa raia mmoja wa Maka asiyefahamika, ikimtaka amtambue Muhammad kuwa ni nabii wa Mungu. Mfalme aliichana ile barua kwa dharau na akakataa madai ya nabii. Yeye hakujua kuwa, mapema, yeye mwenyewe ataangamia kabisa na ufalme wake pia kuangamizwa, NA KWAMBA NABII HUYU WA AJABU KUTOKA MAKA ANGETAWALA ULIMWENGU. Kuanguka kwa mfalme Chosroes kunafikriwa na wengine kuwa kulikuwa ndio, "UFUNGUO WA SHIMO LA KUZIMU", kwa sababu Muhammad asingeweza kuinuka katika kutawala isipokuwa kwa kuuangusha kwanza ufalme wa Waajemi.

NDIPO WAISLAM WA ZAMANI (SARACENS) KUTOKA UARABUNI, "WAKAPEWA NGUVU", NA KUONGEZEKA SANA MPAKA WAKAWA WENGI MNO KAMA NZIGE.

Bila ya kuwa na dhana ya kitabu cha Ufunuo akilini mwake, mwandishi mmoja alisema hivi juu ya hawa wafuasi wa Muhammad kuwa, " Wa-Osmanlis walisongamana kama NZIGE pande zote, na hakuna kijiji ambacho hakikuwafahamu, mpaka hata kuta za Constantinople". Kama vile nge anavyogonga, ndivyo walivyolipiza kisasi kwa ukatili katika vita.

Muhammad alipokufa, alirithiwa na Abubakari katika mwaka wa 632 B.K, ambaye aliwakusanya makabila ya kiarabu ili kufanya vita. Aliwaamuru wafuasi wake kuheshimu imani za watu wale waliokuwa wanazishika kwa uaminifu amri za Mungu. Ilikuwa inawapasa watu wake kuwaadhibu wale tu waliokuwa wanaabudu sanamu.

Akiwaamuru askari wake: "MSIUCHAFUE USHINDI WENU KWA DAMU ZA WANAWAKE NA AU WATOTO. MSIHARIBU MITENDE, WALA KUCHOMA MASHAMBA YO YOTE YA NAFAKA. MSIKATE MITI YO YOTE YA MATUNDA, WALA KUFANYA UHARIBIFU JUU YA MIFUGO, ISIPOKUWA WALE MTAKAOWAUA KWA CHAKULA.

Kadiri mtakavyoendelea mtawakuta baadhi ya watawa ambao wamejitenga na kuishi katika nyumba za watawa, wakiazimia wenyewe kumtumikia Mungu hivyo, MSIWASUMBUE NA WALA MSIWAUE WALA KUANGAMIZA MAKAZI YAO, na mtakuta aina ya watu wengine walio wa sinagogi la shetani, walionyoa utosi wao, hakikisheni mnapasua vichwa vyao, na msiwape nafasi mpaka ama wamegeuka kuwa Waislam au walipe " ushuru".

Ni watu gani waliokuwa na muhuri ya Mungu katika vipaji vya nyuso zao ambao askari wa Abubakari waliamuriwa kuwaacha?

Katika siku za Muhammad na Abubakari kulikuwa na waaminifu kama hao. Inaonekana kuwa mwenye mamlaka kuu kuliko Muhammad watu wake waaminifu walindwe! Waarabu walitumia mno Farasi katika vita vyao. Na "TAJI" inaweza kuwa kilemba, ambacho kwa muda mrefu kilikuwa ni kilemba cha taifa la Waarabu.
Askari walikuwa na nywele ndefu.

Mafungu 5-11
5 Wakapewa amri kwamba wasiwaue, bali wateswe miezi mitano. Na maumivu yao yalikuwa kama kuumwa na nge, aumapo mwanadamu.

6 Na siku zile wanadamu watatafuta mauti, wala hawataiona kamwe. Nao watatamani kufa, nayo mauti itawakimbia.

7 Na maumbo ya hao nzige yalikuwa kama farasi waliowekwa tayari kwa vita, na juu ya vichwa vyao kama taji, mfano wa dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama nyuso za wanadamu.

8 Nao walikuwa na nywele kama nywele za wanawake. Na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.

9 Nao walikuwa na dirii kifuani kama dirii za chuma. Na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari, ya farasi wengi waendao kasi vitani.

10 Nao wana mikia kama ya nge, na miiba; na nguvu yao ya kuwadhuru wanadamu miezi mitano ilikuwa katika mikia yao.

11 Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni.

Ufunuo wa Yohana 9 :5-11

Hapa tunalo jaribio juu ya usahihi wa unabii na kutimilika kwake kihistoria.

KATIKA UNABII WA BIBLIA SIKU MOJA NI MFANO WA MWAKA MMOJA, (Tazama maelezo ya sura 2:10). Kuna siku 30 katika mwezi wa unabii wa Biblia (linganisha mwanzo 7:11, 8:4 na 7:24 na pia linganisha miezi 42 ya Ufunuo 11:2 na siku 1260 za 11:3 na 12:6). Hivyo "MIEZI MITANO" ya kipindi cha unabii ni sawasawa na miaka 150.

Waislam hawa wa zamani, (SARACENS) "WALIPEWA AMRI", kuutesa " UTAWALA WA KIRUMI WA MASHARIKI KWA MIAKA HII 150, lakini siyo "KUWAUA", yaani siyo KUWASHINDA. Miaka 150 inapasa kuanzia wakati ule, " WATAKAPOKUWA NA MFALME WAO".

Kitabu cha Mithali kinasema, "NZIGE HAWANA MFALME, LAKINI HUENDA WOTE PAMOJA VIKOSI VIKOSI"
Mithali 30:27

Lakini, "NZIGE" wa Waislam, wavamizi walipangwa vizuri sana katika kazi ya kuangamiza, maana walikuwa na mtawala waliyekuwa wanafuata amri zake. Kwa mamia ya miaka baada ya kifo cha Muhammad, wafuasi wake waligawanyika katika makundi mbalimbali hasimu bila ya utawala wowote au mfalme. Lakini karibu na mwisho wa karne ya 13, Othman alianzisha na kuimarisha serikali iliyokuwa inajulikana kama ufalme wa Ottoman (Ufalme wa Kituruki).

"MALAIKA WA SHIMO LA KUZIMU" anaitwa "MALAIKA" katika fasili ya neno la kiyunani ambalo pia linamaanisha "MJUMBE" au "MHUDUMU". Sultani akawa mkuu wa dini ya Kiislam. Jina kwa Kiebrania "ABADONI", na kwa Kiyunani "APOLIONI" lina maana ya "YEYE AANGAMIZAYE". Hivyo ndivyo ilivyokuwa tabia ya watawala wa Kituruki (Ottoman).

Tunajiuliza ni lini Othman, kama mfalme wa kwanza wa Waislam alipofanya mashambulizi yake ya kwanza, "KUUTESA" ulimwengu wa kiistarabu wa Ufalme wa Mashariki?

Edward Gibbon, mtu ambaye aliandika historia lakini hakuamini katika Biblia, ametuachia tarehe ya usahihi zaidi kuwa Julai 27, 1299, ndiyo Othman alifanya mashambulizi yake ya kwanza juu ya Nicomedia.

Gibbon anasema kuwa, "USAHIHI" wa ajabu unaonekana kudhihirisha njozi fulani ya mbio na ukuzi wa uharibifu wa ubwana (Ufalme wa Kituruki).

Tunauliza tena. Je Waturuki "walitesa" ufalme wa Rumi wa Mashariki kwa miaka 150? Ndiyo, historia inatuambia kuwa waliendeleza vita kuusumbua na kuutes ufalme huo tangu mwaka 1299 mpaka 1449 kwa miaka 150 kamili bila kuuteka kabisa. Halafu badiliko kuu lilitokea. Wafalme wa Rumi ya Mashariki waliendelea kudhoofika na kuwa wapotovu zaidi mpaka ikawa dhahiri kwa kila mtu kwamba muda kitambo wangepoteza uhuru wao.

Wakati mfalme Yohana alipofariki taehe 31 Oktoba, 1448, ndugu zake kwa unyenyekevu, ndugu zake waliomba idhini kwa Sultani wa Uturuki, Murad II, ili kumchagua ndugu yao mkubwa kutawazwa kama mfalme mpya katika mwezi Januari, 1449. Hivyo kwa kumnyenyekea Sultani wa Uturuki, walikiri kuwa uhuru wao ulikuwa umefikia mwisho. Kumbuka kuwa maelezo haya ni ya maana na yaliyo wazi kabisa.

Mafungu 12-15
12 Ole wa kwanza umekwisha pita. Tazama, bado ziko ole mbili, zinakuja baadaye.

13 Malaika wa sita akapiga baragumu, nikasikia sauti moja iliyotoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyo mbele za Mungu,

14 ikimwambia yule malaika wa sita aliyekuwa na baragumu, Wafungue nao malaika wanne waliofungwa kwenye mto mkubwa Frati.

15 Wale malaika wanne wakafunguliwa, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ile saa na siku na mwezi na mwaka, ili kwamba waue theluthi ya wanadamu.

Ufunuo wa Yohana 9 :12-15
Ule "OLE WA KWANZA" ilikuwa ni kuinuka kwa nguvu ya Uislam. Baadaye ilikuwa ufuate "OLE WA PILI", na kuwa taabu kuu katika Ulaya. (Sura 11:14). Na "OLE WA TATU" ulikuwa uwe hasira ya kuogofya ya mataifa, pamoja na ghadhabu ya hukumu ya Mungu, itayoleta mwisho wa historia ya ulimwengu wetu (sura ya 11:18).

Katika mwaka 1449, "MALAIKA WA SITA" alifungulia kizuizi kilichokuwa kimewazuia Waislam kuuteka ufalme wa mashariki uliokuwa wenye utajiri na nguvu. Wale "MALAIKA WANNE WALIOFUNGWA KWENYE MTO MKUBWA FRATI" NI KIELELEZO KINACHOTAJA MAJIMBO MANNE TOFAUTI YA WAISLAMU YA ALEPPO, IKONIO, DAMESKI, NA BAGHDAD.

Na hivyo njia ilifunguliwa kwa Sultani ili baadaye aendeshe vita vya ushindi dhidi ya Ulaya. Mji wa Constantinople (sasa Istanbul) ulitekwa na majeshi ya Uturuki katika mwaka 1453.

Lakini zingatia hili: Miaka 150 ilipotimia katika mwaka 1449, uhuru wa mfalme wa Ulaya ulipotezwa siyo kwa mapigano, bali kwa mfalme kuusalimisha kwa hiari uhuru wao mikononi mwa Waturuki. Maana yake alisema. "SIWEZI KUTAWALA MPAKA KWANZA MRUHUSU". Kumbuka kwamba, kadiri tunavyosonga mbele, karibu utaona jambo muhimu mno.

Je ni kwa muda gani ufalme wa Waturuki Waislam ungeendelea kutawala kwa uhuru?

"Mwaka" mmoja wa siku 360 ni miaka halisi 360

Mwezi mmoja wa siku 30 ni miaka 30

Siku moja ya saa 24 ni mwaka 1

Saa 1/24 ya mwaka X 360 ni sawa na siku halisi 15

Jumla tutapata miaka 391 na siku 15

Ni lini hiki kipindi cha miaka 391 na siku 15 kilipoanza?

Ni dhahiri kuwa ni baada ya mwisho wa miaka 150 Waislam walipokoma "KUTESA" ufalme wa Mashariki maana waliutwaa. Baada ya kuongeza hiyo miaka 150 katika tarehe yetu ya kuanzia ya Julai 27, 1299, ni wazi kuwa tutafikia julai 27, 1499. Halafu ikiwa tutaongeza miaka 391 katika julai 27, 1499 tunafikia julai 27, 1840 Kisha ni lazima tuongeze siku nyingine 15.

Tunapata nini kama jibu kamili na la mwisho? Julai 27 ukiongeza siku 15 inapatikana Agost 11, 1840.

Je, Sultani wa Uturuki alipoteza Uhuru wake katika siku hiyo hasa kwa kujisalimisha kwa unyenyekevu na kwa hiari yake kwa watawala wa Ulaya kwa namna ile ile mfalme wa Rumi Mashariki alivyopoteza uhuru wake kwa Sultani mwaka 1449? Tutaona baadaye.

Ikiwa historia itasema ndiyo kwa swali hilo, tutakuwa na ushahidi wa hakika na kustaajabisha kwa mambo mawili:
Kwanza, kwamba utaratibu wa mwaka kwa siku wa kufasili unabii wa Biblia ni sahihi kabisa, na pili, kwamba kidole cha kuogofya cha Mungu kinaelekeza kwa jambo fulani pana na lenye maana kuliko kujifunza juu ya kuinuka na kuanguka kwa falme:

Kitabu cha Ufunuo ndio ufunguo Mungu aliotupatia kufungulia siri ya hukumu yake juu ya ulimwengu wetu wa siku hizi ulio mkaidi.

Pale msomaji asiyejali anapokuwa haoni kitu bali tu jangwa lisilofaa, katika kitabu cha Ufunuo sisi tunapata utajiri uliofichwa na wenye maana kubwa mno kwa watu wa Mungu. Kitambo kidogo tutaona ni nini historia inasema kilichotokea siku ya Agosti 11, 1840.

Kwanza, hebu na tuangalie kwa muda tu vipi Yohana anaelezea namna majeshi ya Kiislamu ya Uturuki yalivyowahi kutia hofu mataifa ya Ulaya kwa karne nyingi:

*Linganisha Maandiko Matakatifu yanavyouhesabu wakati katika UFUNUO 13:5, 12:6,14. Ni dhahiri kuwa "mwaka" wa Biblia ni siku 360 na "mwezi" wa Biblia ni siku 30.

Mafungu 16-19

16 Na hesabu ya majeshi ya wapanda farasi ilikuwa elfu ishirini mara elfu kumi; nilisikia hesabu yao.

17 Hiyo ndivyo nilivyowaona hao farasi katika maono yangu, nao waliokaa juu yao, wana dirii kifuani, kama za moto, na za samawi, na za kiberiti; na vichwa vya farasi hao ni kama vichwa vya simba, na katika vinywa vyao hutoka moto na moshi na kiberiti.

18 Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa mapigo matatu hayo, kwa moto huo na moshi huo na kiberiti hicho, yaliyotoka katika vinywa vyao.

19 Kwa maana nguvu za hao farasi ni katika vinywa vyao, na katika mikia yao; maana mikia yao ni mfano wa nyoka, ina vichwa, nao wanadhuru kwa hivyo.

Ufunuo wa Yohana 9:16-19

HAPA KUNATAJWA MATUMIZI YA BARUTI KWA MARA YA KWANZA KATIKA HISTORIA YA MWANADAMU.

Kwa Yohana, ambaye kwa kweli hakuwahi kuona bunduki au baruti, mashujaa wa Kiislam wakiwa wamepanda farasi wakipiga bunduki zao wataonekana katika upeo wa macho yake kana kwamba, "KATIKA VINYWA VYAO HUTOKA MOTO NA MOSHI NA KIBERITI"

Mpaka mwaka 1453 B.K. kuta za mji wa Constantinople zilikuwa zimestahimili mashambulizi ya majeshi mengi, na hivyo ufalme ulikuwa umeokoka na hatari. Lakini sasa Waturuki wa Ottoman wakatumia kwa mara ya kwanza mizinga mipya na mikubwa pamoja na baruti katika kubomoa zile kuta zilizokuwa hapo awali haziingiliki. Kutumiwa kwa baruti na mizinga kulimaliza ulinzi wa mwisho wa jeuri ya ufalme wa zamani wa Warumi. Ubinafsi na ubadhirifu ulikuwa umeangamiza ustaarabu wa zamani.

Lakini sasa katika mwaka 1840, ubinafsi na ubadhirifu ulikuwa umepoozesha jeuri ya utawala wa Kiislam katika mwaka 1838, vita vikali vililipuka kati ya masultani wa Uturuki na Misri, Misri ikiwa mshindi.

Katika mwaka 1840, mataifa yenye nguvu manne ya Ulaya yaliingilia kati kwa kuhofia kwamba Misri ingeweza kwa muda mfupi kuchukua kiti cha enzi cha Sultani wa Uturuki katika kuhangaika kwake. Sultani ambaye alikuwa amedhoofishwa kwa hiari ALISALIMISHA UHURU WAKE MIKONONI MWA HAYA MATAIFA MANNE YA ULAYA, akiwaachia kumwendeshea mambo yake. Alimtuma mjumbe wake kwenda kwa mtawala wa Misri kutoa ujumbe kutoka kwa Mataifa manne ya Ulaya, ujumbe ulioweka mikononi mwao mambo yake.

Ilikuwa ni Agosti 11, 1840, ndiyo huyo mjumbe alipowasili Alexandria, na siku hiyo alikabidhi ujumbe mikononi mwa mtawala wa Misri.

Katika siku hiyo, uhuru wa Sultani ulikuwa wapi? ULIKUWA UMETOWEKA! Na "tangu siku hiyo. Uturuki ya Kiislamu imebakia tu kwa ruhusa na kutegemea kuungwa mkono na mataifa ya Ulaya".

Jambo hili lilipofahamika kwa umati wa wapenda Biblia walisadiki usahihi wa kanuni ya mwaka kwa siku ya kufasili unabii wa Biblia. Kilichoonekana kuwa si jambo la muhimu kihistoria kilitoa kwa dhati ushahidi wa kuridhisha kuwa vitabu vya Danieli na Ufunuo viliandikwa kwa uongozi wa Mungu, na vinatoa ujumbe muhimu sana kwa wakazi wa dunia ya sasa.

Wanazuoni na watafiti wa leo wanaweza kutofautiana katika kuhesabu wakati kipindi hiki cha miaka 391 kilipoanza na kumalizika. Jambo la kushangaza ni kwamba matukio makuu ya historia ndefu ya himaya ya Ottoman yanasimuliwa kwa usahihi kabla hayajatukia katika unabii. Kama tulivyoona katika Danieli mwitikio wa historia ni kama jiwe lililovunjwa linaloweza kurudishwa lilivyokuwa. Wapagani wengi waliongoka miaka ya 1840 kwa kushuhudia kutimizwa kwa unabii unaofuata kanuni ya MWAKA-SIKU na imani watu mamilioni wasiojulikana wamekuwa wakitiwa nguvu na unabii huu. Kwa hakika ndiye BWANA aliyekuwa ameutoa.

Mafungu 20, 21

20 Na wanadamu waliosalia, wasiouawa kwa mapigo hayo, hawakuzitubia zile kazi za mikono yao, hata wasiwasujudie mashetani, na sanamu za dhahabu na za fedha na za shaba na za mawe na za miti, zisizoweza kuona wala kusikia wala kuenenda.

21 Wala hawakuutubia uuaji wao, wala uchawi wao, wala uasherati wao, wala wivi wao.

Ufunuo wa Yohana 9:20-21

Ingawa makundi ya Waislamu yaliachwa huru juu ya ulimwengu wa Kikristo ulioasi, watu walikataa kujifunza somo la toba. Kwa hiyo tunaona kuwa Mungu huwa anaruhusu, "OLE" kuujia ulimwengu ili kuwafanya wenye dhambi kuzinduka, na kuwaongoza kuiendea toba. Ole baada ya ole zilifuatana, lakini bado wanadamu walikuwa wanazipenda dhambi zao. Je, "OLE WA TATU" utawaongoza kwenye toba? Wakati ule utakapofika, watakuwa wamechelewa mno!

Mpendwa unayesoma, Je, utajitoa moyo wako kwa toba leo?

*MSOMAJI AMBAYE ANGEPENDA KUONA DONDOO KUTOKA KWA MAGAZETI YA AGOSTI NA SEPTEMBA, 1840, YAKITOA MAELEZO KAMILI JUU YA MATUKIO YA AGOSTI 11, 1840, ANAWEZA KUANGALIA KATIKA KITABU CHA, "DANIEL AND THE REVELATION", KILICHOANDIKWA NA URIAH SMITH, KURASA 513-516.

MUNGU AWABARIKI
uislam dini yake imejengwa katika kuzungumzia ukatoliki.
ukitoa hilo uislam hauna cha ku offer.

ukienda msikitini,mihadhara,madrasa,nk hawana cha kuzungumza zaid ya kuzungumzia ukatoliki.Ajabu wakatoliki hawana hata time na wao.
 
@ Wazolee
Njoo ujibu hoja usikimbie kama wenzio.


JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
kumbe ndio mana hawataki kitabu chao kiandikwe kwa lugha zinazoeleweka na wengi. kuna vitu vimefichwa humo. Wewe ulijifunza kiarabu umeyajuaje maandiko ya siri hivi hata masheh hawayajui>?
 
We
Unabii huu unaupata kwenye kitabu Cha UFUNUO 9.

1 Malaika wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya nchi; naye akapewa ufunguo wa shimo la kuzimu.

2 Akalifungua shimo la kuzimu; moshi ukapanda kutoka mle shimoni kama moshi wa tanuru kubwa; jua na anga vikatiwa giza kwa sababu ya ule moshi wa shimoni.

3 Nzige wakatoka katika ule moshi, wakaenda juu ya nchi, wakapewa nguvu kama nguvu waliyo nayo nge wa nchi.

4 Wakaambiwa wasiyadhuru majani ya nchi, wala kitu cho chote kilicho kibichi, wala mti wo wote, ila wale watu wasio na muhuri ya Mungu katika vipaji vya nyuso zao.

Ufunuo wa Yohana 9:1-4
Hapa dini mpya inaoneshwa, ikiwa na baadhi ya mafundisho mazuri, NI NYOTA ILIYOANGUKA KUTOKA MBINGUNI, lakini ilikuwa imechanganyikana na MAFUNDISHO MACHAFU, moshi kutoka lile, "SHIMO LA KUZIMU"

Uislam ulianza kwa kulaani uovu wa ibada ya sanamu iliyokuwa inaendeshwa na kanisa la Roman Catholic, (NA HAPA ULIKUWA SAWA).

Kwa hakika kuna Mungu mmoja, na hakuna astahiliye kuabudiwa isipokuwa yeye. Lakini mafundisho ya Uislam yaliyokuwa yanahitajika kwa kanisa asi, YALILETA "MOSHI" KATIKA ULIMWENGU.

"SHIMO LA KUZIMU" katika kiyunani lina maana ya JANGWA au NYIKA yoyote iliyo ukiwa, na hivyo linafaa kabisa KUWAKILISHA JANGWA LA ARABUNI walikotokea wavamizi Waislam wa Kiarabu, KATIKA WINGI UNAOFANANA NA NZIGE.

Abyssos ni neno la Kiyunani linalomaanisha, "SHIMO LA KUZIMU"
na hilo ndilo linalotupatia neno la sasa la kiingereza, linalomaanisha KUZIMU. Waandishi wa kisasa wa Kiislam wanalitumia neno hilo kuielezea jamii ya Kiarabu alikotokea Muhammad:

ARABIA SHIMO LA GIZA.
Katika enzi hizo za ujinga uliokithiri, kulikuwa na eneo ambalo giza zito tena totoro lilikuwa limetuwama... ARABIA... Nalo lilikuwa pweke likiwa limetengwa na bahari kubwa sana ya mchanga. Wafanya biashara wa Kiarabu walikuwa wanasafiri mwendo mrefu kwa kujikokota wala hawakupata punje yoyote ya maarifa katika safari zao. Katika nchi yao hawakuwa na taasisi yoyote ya elimu wala maktaba. Hakuna aliyekuwa anaonekana kuwa na shauku ya kukuza ama kuendeleza elimu.

Fikra zao zilikuwa zimejaa miiko, akili na jadi yao ilikuwa ni unyama na ukatili mkubwa, maadili na ufahamu wao vilikuwa vya kishenzi na visivyo staha.

"...Hakukuwa na sheria isipokuwa ile ya ukatili. Uporaji, mashambulizi na mauaji ya watu dhaifu wasio na hatia ilikuwa ndio kawaida... Tukio lolote dogo lilikuwa linaweza kusababisha vita kulipuka kwa hasira za kikatili...
Dhana yoyote waliyokuwa nayo juu ya maadili, utamaduni, na ustaarabu vilikuwa vinaonekana vya kizamani na ushenzi... Walikuwa wakiabudu mawe, miti, sanamu, nyota na mizimu, na kiufupi walikuwa wanaabudu chochote walichokuwa wanakifikria isipokuwa MUNGU. (Rejea ABDUL A'LAMAUDUDI TOWARDS UNDERSTANDING ISLAM, UK. 41, 42, NAIROBI: THE ISLAMIC FOUNDATION, QUR'AN HOUSE 1973)

Siku moja mfalme Chosroes II wa Uajemi alipokea barua kutoka kwa raia mmoja wa Maka asiyefahamika, ikimtaka amtambue Muhammad kuwa ni nabii wa Mungu. Mfalme aliichana ile barua kwa dharau na akakataa madai ya nabii. Yeye hakujua kuwa, mapema, yeye mwenyewe ataangamia kabisa na ufalme wake pia kuangamizwa, NA KWAMBA NABII HUYU WA AJABU KUTOKA MAKA ANGETAWALA ULIMWENGU. Kuanguka kwa mfalme Chosroes kunafikriwa na wengine kuwa kulikuwa ndio, "UFUNGUO WA SHIMO LA KUZIMU", kwa sababu Muhammad asingeweza kuinuka katika kutawala isipokuwa kwa kuuangusha kwanza ufalme wa Waajemi.

NDIPO WAISLAM WA ZAMANI (SARACENS) KUTOKA UARABUNI, "WAKAPEWA NGUVU", NA KUONGEZEKA SANA MPAKA WAKAWA WENGI MNO KAMA NZIGE.

Bila ya kuwa na dhana ya kitabu cha Ufunuo akilini mwake, mwandishi mmoja alisema hivi juu ya hawa wafuasi wa Muhammad kuwa, " Wa-Osmanlis walisongamana kama NZIGE pande zote, na hakuna kijiji ambacho hakikuwafahamu, mpaka hata kuta za Constantinople". Kama vile nge anavyogonga, ndivyo walivyolipiza kisasi kwa ukatili katika vita.

Muhammad alipokufa, alirithiwa na Abubakari katika mwaka wa 632 B.K, ambaye aliwakusanya makabila ya kiarabu ili kufanya vita. Aliwaamuru wafuasi wake kuheshimu imani za watu wale waliokuwa wanazishika kwa uaminifu amri za Mungu. Ilikuwa inawapasa watu wake kuwaadhibu wale tu waliokuwa wanaabudu sanamu.

Akiwaamuru askari wake: "MSIUCHAFUE USHINDI WENU KWA DAMU ZA WANAWAKE NA AU WATOTO. MSIHARIBU MITENDE, WALA KUCHOMA MASHAMBA YO YOTE YA NAFAKA. MSIKATE MITI YO YOTE YA MATUNDA, WALA KUFANYA UHARIBIFU JUU YA MIFUGO, ISIPOKUWA WALE MTAKAOWAUA KWA CHAKULA.

Kadiri mtakavyoendelea mtawakuta baadhi ya watawa ambao wamejitenga na kuishi katika nyumba za watawa, wakiazimia wenyewe kumtumikia Mungu hivyo, MSIWASUMBUE NA WALA MSIWAUE WALA KUANGAMIZA MAKAZI YAO, na mtakuta aina ya watu wengine walio wa sinagogi la shetani, walionyoa utosi wao, hakikisheni mnapasua vichwa vyao, na msiwape nafasi mpaka ama wamegeuka kuwa Waislam au walipe " ushuru".

Ni watu gani waliokuwa na muhuri ya Mungu katika vipaji vya nyuso zao ambao askari wa Abubakari waliamuriwa kuwaacha?

Katika siku za Muhammad na Abubakari kulikuwa na waaminifu kama hao. Inaonekana kuwa mwenye mamlaka kuu kuliko Muhammad watu wake waaminifu walindwe! Waarabu walitumia mno Farasi katika vita vyao. Na "TAJI" inaweza kuwa kilemba, ambacho kwa muda mrefu kilikuwa ni kilemba cha taifa la Waarabu.
Askari walikuwa na nywele ndefu.

Mafungu 5-11
5 Wakapewa amri kwamba wasiwaue, bali wateswe miezi mitano. Na maumivu yao yalikuwa kama kuumwa na nge, aumapo mwanadamu.

6 Na siku zile wanadamu watatafuta mauti, wala hawataiona kamwe. Nao watatamani kufa, nayo mauti itawakimbia.

7 Na maumbo ya hao nzige yalikuwa kama farasi waliowekwa tayari kwa vita, na juu ya vichwa vyao kama taji, mfano wa dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama nyuso za wanadamu.

8 Nao walikuwa na nywele kama nywele za wanawake. Na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.

9 Nao walikuwa na dirii kifuani kama dirii za chuma. Na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari, ya farasi wengi waendao kasi vitani.

10 Nao wana mikia kama ya nge, na miiba; na nguvu yao ya kuwadhuru wanadamu miezi mitano ilikuwa katika mikia yao.

11 Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni.

Ufunuo wa Yohana 9 :5-11

Hapa tunalo jaribio juu ya usahihi wa unabii na kutimilika kwake kihistoria.

KATIKA UNABII WA BIBLIA SIKU MOJA NI MFANO WA MWAKA MMOJA, (Tazama maelezo ya sura 2:10). Kuna siku 30 katika mwezi wa unabii wa Biblia (linganisha mwanzo 7:11, 8:4 na 7:24 na pia linganisha miezi 42 ya Ufunuo 11:2 na siku 1260 za 11:3 na 12:6). Hivyo "MIEZI MITANO" ya kipindi cha unabii ni sawasawa na miaka 150.

Waislam hawa wa zamani, (SARACENS) "WALIPEWA AMRI", kuutesa " UTAWALA WA KIRUMI WA MASHARIKI KWA MIAKA HII 150, lakini siyo "KUWAUA", yaani siyo KUWASHINDA. Miaka 150 inapasa kuanzia wakati ule, " WATAKAPOKUWA NA MFALME WAO".

Kitabu cha Mithali kinasema, "NZIGE HAWANA MFALME, LAKINI HUENDA WOTE PAMOJA VIKOSI VIKOSI"
Mithali 30:27

Lakini, "NZIGE" wa Waislam, wavamizi walipangwa vizuri sana katika kazi ya kuangamiza, maana walikuwa na mtawala waliyekuwa wanafuata amri zake. Kwa mamia ya miaka baada ya kifo cha Muhammad, wafuasi wake waligawanyika katika makundi mbalimbali hasimu bila ya utawala wowote au mfalme. Lakini karibu na mwisho wa karne ya 13, Othman alianzisha na kuimarisha serikali iliyokuwa inajulikana kama ufalme wa Ottoman (Ufalme wa Kituruki).

"MALAIKA WA SHIMO LA KUZIMU" anaitwa "MALAIKA" katika fasili ya neno la kiyunani ambalo pia linamaanisha "MJUMBE" au "MHUDUMU". Sultani akawa mkuu wa dini ya Kiislam. Jina kwa Kiebrania "ABADONI", na kwa Kiyunani "APOLIONI" lina maana ya "YEYE AANGAMIZAYE". Hivyo ndivyo ilivyokuwa tabia ya watawala wa Kituruki (Ottoman).

Tunajiuliza ni lini Othman, kama mfalme wa kwanza wa Waislam alipofanya mashambulizi yake ya kwanza, "KUUTESA" ulimwengu wa kiistarabu wa Ufalme wa Mashariki?

Edward Gibbon, mtu ambaye aliandika historia lakini hakuamini katika Biblia, ametuachia tarehe ya usahihi zaidi kuwa Julai 27, 1299, ndiyo Othman alifanya mashambulizi yake ya kwanza juu ya Nicomedia.

Gibbon anasema kuwa, "USAHIHI" wa ajabu unaonekana kudhihirisha njozi fulani ya mbio na ukuzi wa uharibifu wa ubwana (Ufalme wa Kituruki).

Tunauliza tena. Je Waturuki "walitesa" ufalme wa Rumi wa Mashariki kwa miaka 150? Ndiyo, historia inatuambia kuwa waliendeleza vita kuusumbua na kuutes ufalme huo tangu mwaka 1299 mpaka 1449 kwa miaka 150 kamili bila kuuteka kabisa. Halafu badiliko kuu lilitokea. Wafalme wa Rumi ya Mashariki waliendelea kudhoofika na kuwa wapotovu zaidi mpaka ikawa dhahiri kwa kila mtu kwamba muda kitambo wangepoteza uhuru wao.

Wakati mfalme Yohana alipofariki taehe 31 Oktoba, 1448, ndugu zake kwa unyenyekevu, ndugu zake waliomba idhini kwa Sultani wa Uturuki, Murad II, ili kumchagua ndugu yao mkubwa kutawazwa kama mfalme mpya katika mwezi Januari, 1449. Hivyo kwa kumnyenyekea Sultani wa Uturuki, walikiri kuwa uhuru wao ulikuwa umefikia mwisho. Kumbuka kuwa maelezo haya ni ya maana na yaliyo wazi kabisa.

Mafungu 12-15
12 Ole wa kwanza umekwisha pita. Tazama, bado ziko ole mbili, zinakuja baadaye.

13 Malaika wa sita akapiga baragumu, nikasikia sauti moja iliyotoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyo mbele za Mungu,

14 ikimwambia yule malaika wa sita aliyekuwa na baragumu, Wafungue nao malaika wanne waliofungwa kwenye mto mkubwa Frati.

15 Wale malaika wanne wakafunguliwa, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ile saa na siku na mwezi na mwaka, ili kwamba waue theluthi ya wanadamu.

Ufunuo wa Yohana 9 :12-15
Ule "OLE WA KWANZA" ilikuwa ni kuinuka kwa nguvu ya Uislam. Baadaye ilikuwa ufuate "OLE WA PILI", na kuwa taabu kuu katika Ulaya. (Sura 11:14). Na "OLE WA TATU" ulikuwa uwe hasira ya kuogofya ya mataifa, pamoja na ghadhabu ya hukumu ya Mungu, itayoleta mwisho wa historia ya ulimwengu wetu (sura ya 11:18).

Katika mwaka 1449, "MALAIKA WA SITA" alifungulia kizuizi kilichokuwa kimewazuia Waislam kuuteka ufalme wa mashariki uliokuwa wenye utajiri na nguvu. Wale "MALAIKA WANNE WALIOFUNGWA KWENYE MTO MKUBWA FRATI" NI KIELELEZO KINACHOTAJA MAJIMBO MANNE TOFAUTI YA WAISLAMU YA ALEPPO, IKONIO, DAMESKI, NA BAGHDAD.

Na hivyo njia ilifunguliwa kwa Sultani ili baadaye aendeshe vita vya ushindi dhidi ya Ulaya. Mji wa Constantinople (sasa Istanbul) ulitekwa na majeshi ya Uturuki katika mwaka 1453.

Lakini zingatia hili: Miaka 150 ilipotimia katika mwaka 1449, uhuru wa mfalme wa Ulaya ulipotezwa siyo kwa mapigano, bali kwa mfalme kuusalimisha kwa hiari uhuru wao mikononi mwa Waturuki. Maana yake alisema. "SIWEZI KUTAWALA MPAKA KWANZA MRUHUSU". Kumbuka kwamba, kadiri tunavyosonga mbele, karibu utaona jambo muhimu mno.

Je ni kwa muda gani ufalme wa Waturuki Waislam ungeendelea kutawala kwa uhuru?

"Mwaka" mmoja wa siku 360 ni miaka halisi 360

Mwezi mmoja wa siku 30 ni miaka 30

Siku moja ya saa 24 ni mwaka 1

Saa 1/24 ya mwaka X 360 ni sawa na siku halisi 15

Jumla tutapata miaka 391 na siku 15

Ni lini hiki kipindi cha miaka 391 na siku 15 kilipoanza?

Ni dhahiri kuwa ni baada ya mwisho wa miaka 150 Waislam walipokoma "KUTESA" ufalme wa Mashariki maana waliutwaa. Baada ya kuongeza hiyo miaka 150 katika tarehe yetu ya kuanzia ya Julai 27, 1299, ni wazi kuwa tutafikia julai 27, 1499. Halafu ikiwa tutaongeza miaka 391 katika julai 27, 1499 tunafikia julai 27, 1840 Kisha ni lazima tuongeze siku nyingine 15.

Tunapata nini kama jibu kamili na la mwisho? Julai 27 ukiongeza siku 15 inapatikana Agost 11, 1840.

Je, Sultani wa Uturuki alipoteza Uhuru wake katika siku hiyo hasa kwa kujisalimisha kwa unyenyekevu na kwa hiari yake kwa watawala wa Ulaya kwa namna ile ile mfalme wa Rumi Mashariki alivyopoteza uhuru wake kwa Sultani mwaka 1449? Tutaona baadaye.

Ikiwa historia itasema ndiyo kwa swali hilo, tutakuwa na ushahidi wa hakika na kustaajabisha kwa mambo mawili:
Kwanza, kwamba utaratibu wa mwaka kwa siku wa kufasili unabii wa Biblia ni sahihi kabisa, na pili, kwamba kidole cha kuogofya cha Mungu kinaelekeza kwa jambo fulani pana na lenye maana kuliko kujifunza juu ya kuinuka na kuanguka kwa falme:

Kitabu cha Ufunuo ndio ufunguo Mungu aliotupatia kufungulia siri ya hukumu yake juu ya ulimwengu wetu wa siku hizi ulio mkaidi.

Pale msomaji asiyejali anapokuwa haoni kitu bali tu jangwa lisilofaa, katika kitabu cha Ufunuo sisi tunapata utajiri uliofichwa na wenye maana kubwa mno kwa watu wa Mungu. Kitambo kidogo tutaona ni nini historia inasema kilichotokea siku ya Agosti 11, 1840.

Kwanza, hebu na tuangalie kwa muda tu vipi Yohana anaelezea namna majeshi ya Kiislamu ya Uturuki yalivyowahi kutia hofu mataifa ya Ulaya kwa karne nyingi:

*Linganisha Maandiko Matakatifu yanavyouhesabu wakati katika UFUNUO 13:5, 12:6,14. Ni dhahiri kuwa "mwaka" wa Biblia ni siku 360 na "mwezi" wa Biblia ni siku 30.

Mafungu 16-19

16 Na hesabu ya majeshi ya wapanda farasi ilikuwa elfu ishirini mara elfu kumi; nilisikia hesabu yao.

17 Hiyo ndivyo nilivyowaona hao farasi katika maono yangu, nao waliokaa juu yao, wana dirii kifuani, kama za moto, na za samawi, na za kiberiti; na vichwa vya farasi hao ni kama vichwa vya simba, na katika vinywa vyao hutoka moto na moshi na kiberiti.

18 Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa mapigo matatu hayo, kwa moto huo na moshi huo na kiberiti hicho, yaliyotoka katika vinywa vyao.

19 Kwa maana nguvu za hao farasi ni katika vinywa vyao, na katika mikia yao; maana mikia yao ni mfano wa nyoka, ina vichwa, nao wanadhuru kwa hivyo.

Ufunuo wa Yohana 9:16-19

HAPA KUNATAJWA MATUMIZI YA BARUTI KWA MARA YA KWANZA KATIKA HISTORIA YA MWANADAMU.

Kwa Yohana, ambaye kwa kweli hakuwahi kuona bunduki au baruti, mashujaa wa Kiislam wakiwa wamepanda farasi wakipiga bunduki zao wataonekana katika upeo wa macho yake kana kwamba, "KATIKA VINYWA VYAO HUTOKA MOTO NA MOSHI NA KIBERITI"

Mpaka mwaka 1453 B.K. kuta za mji wa Constantinople zilikuwa zimestahimili mashambulizi ya majeshi mengi, na hivyo ufalme ulikuwa umeokoka na hatari. Lakini sasa Waturuki wa Ottoman wakatumia kwa mara ya kwanza mizinga mipya na mikubwa pamoja na baruti katika kubomoa zile kuta zilizokuwa hapo awali haziingiliki. Kutumiwa kwa baruti na mizinga kulimaliza ulinzi wa mwisho wa jeuri ya ufalme wa zamani wa Warumi. Ubinafsi na ubadhirifu ulikuwa umeangamiza ustaarabu wa zamani.

Lakini sasa katika mwaka 1840, ubinafsi na ubadhirifu ulikuwa umepoozesha jeuri ya utawala wa Kiislam katika mwaka 1838, vita vikali vililipuka kati ya masultani wa Uturuki na Misri, Misri ikiwa mshindi.

Katika mwaka 1840, mataifa yenye nguvu manne ya Ulaya yaliingilia kati kwa kuhofia kwamba Misri ingeweza kwa muda mfupi kuchukua kiti cha enzi cha Sultani wa Uturuki katika kuhangaika kwake. Sultani ambaye alikuwa amedhoofishwa kwa hiari ALISALIMISHA UHURU WAKE MIKONONI MWA HAYA MATAIFA MANNE YA ULAYA, akiwaachia kumwendeshea mambo yake. Alimtuma mjumbe wake kwenda kwa mtawala wa Misri kutoa ujumbe kutoka kwa Mataifa manne ya Ulaya, ujumbe ulioweka mikononi mwao mambo yake.

Ilikuwa ni Agosti 11, 1840, ndiyo huyo mjumbe alipowasili Alexandria, na siku hiyo alikabidhi ujumbe mikononi mwa mtawala wa Misri.

Katika siku hiyo, uhuru wa Sultani ulikuwa wapi? ULIKUWA UMETOWEKA! Na "tangu siku hiyo. Uturuki ya Kiislamu imebakia tu kwa ruhusa na kutegemea kuungwa mkono na mataifa ya Ulaya".

Jambo hili lilipofahamika kwa umati wa wapenda Biblia walisadiki usahihi wa kanuni ya mwaka kwa siku ya kufasili unabii wa Biblia. Kilichoonekana kuwa si jambo la muhimu kihistoria kilitoa kwa dhati ushahidi wa kuridhisha kuwa vitabu vya Danieli na Ufunuo viliandikwa kwa uongozi wa Mungu, na vinatoa ujumbe muhimu sana kwa wakazi wa dunia ya sasa.

Wanazuoni na watafiti wa leo wanaweza kutofautiana katika kuhesabu wakati kipindi hiki cha miaka 391 kilipoanza na kumalizika. Jambo la kushangaza ni kwamba matukio makuu ya historia ndefu ya himaya ya Ottoman yanasimuliwa kwa usahihi kabla hayajatukia katika unabii. Kama tulivyoona katika Danieli mwitikio wa historia ni kama jiwe lililovunjwa linaloweza kurudishwa lilivyokuwa. Wapagani wengi waliongoka miaka ya 1840 kwa kushuhudia kutimizwa kwa unabii unaofuata kanuni ya MWAKA-SIKU na imani watu mamilioni wasiojulikana wamekuwa wakitiwa nguvu na unabii huu. Kwa hakika ndiye BWANA aliyekuwa ameutoa.

Mafungu 20, 21

20 Na wanadamu waliosalia, wasiouawa kwa mapigo hayo, hawakuzitubia zile kazi za mikono yao, hata wasiwasujudie mashetani, na sanamu za dhahabu na za fedha na za shaba na za mawe na za miti, zisizoweza kuona wala kusikia wala kuenenda.

21 Wala hawakuutubia uuaji wao, wala uchawi wao, wala uasherati wao, wala wivi wao.

Ufunuo wa Yohana 9:20-21

Ingawa makundi ya Waislamu yaliachwa huru juu ya ulimwengu wa Kikristo ulioasi, watu walikataa kujifunza somo la toba. Kwa hiyo tunaona kuwa Mungu huwa anaruhusu, "OLE" kuujia ulimwengu ili kuwafanya wenye dhambi kuzinduka, na kuwaongoza kuiendea toba. Ole baada ya ole zilifuatana, lakini bado wanadamu walikuwa wanazipenda dhambi zao. Je, "OLE WA TATU" utawaongoza kwenye toba? Wakati ule utakapofika, watakuwa wamechelewa mno!

Mpendwa unayesoma, Je, utajitoa moyo wako kwa toba leo?

*MSOMAJI AMBAYE ANGEPENDA KUONA DONDOO KUTOKA KWA MAGAZETI YA AGOSTI NA SEPTEMBA, 1840, YAKITOA MAELEZO KAMILI JUU YA MATUKIO YA AGOSTI 11, 1840, ANAWEZA KUANGALIA KATIKA KITABU CHA, "DANIEL AND THE REVELATION", KILICHOANDIKWA NA URIAH SMITH, KURASA 513-516.

MUNGU AWABARIKI
Even the devil can quote the scriptures for his own end.
 
uislam dini yake imejengwa katika kuzungumzia ukatoliki.
ukitoa hilo uislam hauna cha ku offer.

ukienda msikitini,mihadhara,madrasa,nk hawana cha kuzungumza zaid ya kuzungumzia ukatoliki.Ajabu wakatoliki hawana hata time na wao.
Hakuna msikiti wala Waislamu wanao poteza wakati kuwazungumzia Wakatoliki, nyie maadui zenu ni Walokole wanao muona Papa kama ni mpinga Kristo.
Kama unaona Uislamu hauna cha ku offer, tafakari Uislamu umekuja baada ya zaidi ya miaka elfu na mia nne baada ya ukristu iwaje population worldwide ya Catholics ni 2.3 billion na Waislamu kwa muda mfupi ni 2billion na kuna nchi nyingi Muslim majority.
Wakati wa ku comment Ni bora mtu Ukawa sober, hujakutana na K Vant.
NB: Pope amekaribishwa na kuingia msikiti Uturuki na ameendesha misa nchi ya kiaarabu ya Kiislamu Bahrain
 
Hizo Aya ulizoweka hapo hakuna hata Aya Moja inayohalalisha uwepo Uyahudi na ukiristo kuwa ni dini za kweli

Quran Haina shida na vitabu vya zamani vyote hivyo ni vitabu vya Allah

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

Quran 17:55
Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.

Hivyo vyote ni vitabu vya Mungu Wakaja watu waovu wakavichakachua na kuzua dini zao za uongo uongo zikiwepo dini za Uyahudi na ukiristo

Ndipo Allah akamleta Mtume Muhammad na kitabu Cha Quran Ili kulinda vitabu vilivyotangulia na mafundisho yake ambayo ni uislam

Na ndio maana ukisema Yesu Mungu nakuambia No

Ukisema ukristo dini ya kweli nakuambia No

Kwa sababu ipo Quran ndio kio Cha vitabu na manabii wote wa Mungu

5:48
Quran 5:48
Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda


Na Quran inasema manabii wote walikuwa waislam na mafundisho Yao ya vitabu vyao vilifundisha uislam

Na kama mnapingana na na Qurani thibitisheni Kwa maandiko hawa manabii walikuwa na dini gani

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
Quran Ni kitabu Cha Uongo


Hao kina Daudi, Suleiman , n.k hawakuwahi kuwa Waislamu hata historia tu inakataa , Israel had leo ipo


Kama walikuwa waislamu , inakuwje Hadi leo Wayahudi wanasali siku ya sabato (Jumamos)

Ulimwengu wa Imani ya Kiislam Duniani, unaadhimisha Ibada za mikutano mikuu katika siku ya ljumaa, ljumaa katika Uislam ndiyo siku inayodhaniwa haswa kuwa ni kivuli cha mahala pa Sabato (Jumamosi).



Pamoja na hayo ummah wa Kiislam kama isemavyo Qur-an, unatambua kuwepo kwa siku halisi ya ibada iitwayo Sabato (Jumamosi) isipokuwa, mafundisho ya viongozi wa Kiislam ndiyo huhafifisha nuru hii ya ukweli hasa ya siku ya Ibada (Jumamosi) na kukuza wazo hilo jipya la ibada ya siku ya ljumaa.



Viongozi na Maulamaa katika imani ya Kiislam, wamedai kuwa amri hii ya kiibada ihusuyo utunzaji wa Sabato halisi ya siku ya saba (Jumamosi), ilihusika haswa na kizazi cha Ban-israeli na yakuwa Mwenyezi Mungu alifanya mabadiliko mbele kwa kuwapa siku nyingine Ummah wa Mtume Muhammad.



Pamoja na maelezo hayo ya wanazuoni hao wa Kiislam, bado Qur-an inaonekana kuwa na msimamo wake endelevu juu ya wazo la taratibu ya amri za Mungu katika maagizo yake kwa wafata Dini. Hebu tuone nukuu ya aya hiyo:-



Qur-an 42:13 Amekupeni sheria ya Dini ile ile aliyomuhusia Nuhu

na tuliyo kufunulia wewe na tuliyo wahusia Ibrahimu na

Musa na Isa, kwamba simamisheni dini wala msifarikiane kwa

hayo......................................................



Aya hiyo ya Qur-an inaweka wazi kuwa Mungu kamwe hawezi kubadili taratibu zake kwa sababu ya mabadiliko ya watu (Ummah).



Hivyo hata Muhammad alihusiwa juu ya sheria ya dini (njia) ile ile kama alivyo husiwa Ibrahim Musa na Isa, hivyo kamwe hapana kigezo chochote cha kimsingi kiletacho sababu ya mabadiliko katika mfumo wa Ibada kinachotokana na idhini ya Mungu mwenyewe.



Nini chimbuko la ibada ya siku ya ljumaa?



- Ibada ya siku ya ljumaa huelezwa mwanzo wake katika kitabu kilicho andikwa na jumuiya ya vijana wa Ki Ansaar.



HISTORlA YA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA:- MUHAMMAD ABDALLA RIDAY ANSAAR MUSLIM YOUTH ORGANISATION UK. No. 47.



Hebu tuone maelezo mafupi katika ukurasa huo wa kitabu, katika kichwa Kisemacho.



IJUMAA YA KWANZA ALIYOSWALI MTUME.



Mtume aliondoka Qubaa kwenda Yathriba ilikuwa ni ljumaa, na jua lilipo chomoza alifika katika maskani ya Bani Salim bin Awf; katika Wangwa wa Ronunaa, hapo ndipo Muhammad aliposwali swala ya ljumaa kwa mara ya kwanza katika Uislam Na huo ni mwaka 622 uitwao mwaka wa Hijra kwa Waislam (mwanzo wa kalenda ya Kiislam).



Nini sababu ya Muhammad kusali siku hii na kuanzisha siku hii katika ummah wa kiislam?.



- Mkazo mkubwa wa Ummah wa Kiislam juu ya siku ya ljumaa, unaanzia katika tukio hilo tu, maandiko ya Qur-an yanaonyesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.



- Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu. (Qur-an 2:144 fafanuzi uk 34)



Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo, n.k zilianza kuonekana katika maisha ya Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe

Farsy).



- Hilo lilimfanya Muhammad kuanza kupingwa na wayahudi hao, Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile.



Kutia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9] Qj



Kuanza kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana kutofautiana na yake ya kibiblia.



- Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadi hayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an maonyesha hilo.



Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi

wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta

mafunuo hayo kwa Muhammad.



Ibada va liumaa inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.



- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi yaliharibika,



Fuatilia katika aya zifuatazo:-



Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi

Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi walihitirafiana na Muhammad na kurushiana maneno.



Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo



anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),



- Lakini pamoja na hayo Muhammad hakuipa siku hii nafasi ya Sabato yaani siku ya 7 ya juma (Jumamosi) ambayo ndiyo haswa iliyo siku ya Ibada ya kweli kama tulivyoona hapo awali,



- Kumbuka siku ile ya kweli ya Ibada ilitengwa na Mungu yote iwe siku ya ibada tu na si kufanya kazi yeyote ya kimaisha. (Qur-an 7 : 163 Kutoka 20 : 8 )



- Siku ya ljumaa haikutolewa ili kushika mahala pa Jumamosi [Sabato] maana pamoja na kufanya ibada Muhammad anaruhusu Waislam kufanya kazi siku hiyo mara baada ya swala, hebu tuone-



Qur-an 62:9-10 Enyi mlioamini! Kukiadhiniwa kwa ajili ya sala

siku ya ljumaa, enendeni upesi kumtaja Mwenyezi

Mungu na acheni biashara kufanya hivi ni bora

kwenu ikiwa mnajua basi fanyeni.



[10] Na itakapokwisha sala, tawanyikeni katika

ardhi mtafute fadhira za Mwenyezi Mungu.......



- Ndugu mpendwa msomaji wa maarifa mapya hivyo ndivyo Muhammadi alivyoeleza juu ya siku hii ya ljumaa, kamwe siyo siku ya mapumziko kama ilivyo Sabato (Jumamosi) zaidi ya yote ljumaa si siku yenye mkazo wa kiibada kama ilivyo Sabato (Jumamosi). Katika mafunuo ya Qur-an.



- Siku hii ya ljumaa ni siku ya ibada ya kawaida tu inayo ambatana na kufanya kazi za kutafuta kipato, hilo linaifanya kuwa na tofauti ya mbali sana na siku ya kweli ya Ibada ya Jumamosi.



Usifanye moyo wako kuwa mgumu,na usikimbie mahali pa raha yako, Sabato ya Jumamosi ndiyo siku halisi ya Ibada na siyo ljumaa "zinduka"



Je! Amri za Allah (Mungu) zinabadilika?





- Msimamo wa wasomi wengi wa Kiislam katika jambo hili kuu, unaishia kwenye kudhani kuwa huenda kuna mabadiliko toka kwa Mungu mwenyewe juu ya Amri zake, na pengine Mwenyezi Mungu mwenyewe huadhimu kugawa sheria zake kwa makundi ya watu fulani maalumu tu na wenginekutotakiwa kuhusika nazo.



- Wazo hilo si zuri ikiwa halitotumiwa kwa uangalifu, kimsingi tunachokizungumzia ndani ya kitabu hiki ni juu ya Amri za Mungu tena alizoziandika yeye mwenyewe, amri hizo ni amri za milele na vizazi vyote vya Dunia huhusika nazo na pia haziwezi kubadilishwa,



- Ushahidi wa maandiko yafuatayo ya Qur-an utatupatia mwanga zaidi, kuwa je ni kweli kanuni hizo zinaweza kubadilika ati kwa sababu ya mabadiliko ya vizazi (Ummah)?



Qur-an Surat Ban Israel 17:77 Ndiyo desturi ya wale tuliowatuma

(tuliowapa utume) kabla yako katika

mitume wetu. Wala hutapata

mabadiliko katika desturi yetu.



Aya hiyo ya Qur-an inaweka wazi kuwa kamwe hakuna mabadiliko katika Kawaida ya Mungu aliyoifunua tangu mitume wa kale maneno haya yanaunga mkono kauli ya Bwana Yesu, pale aliposema sikuja kutengua Torati (Mathayo 5 : 17). bila shaka hata Mohammad hakustahili kuleta aina yeyote ile ya mabadiliko. pamoja na tofauti yake na Wayahudi. alipaswa kuzingatia tu kanuni za kimsingi za mafunuo ya Mungu mwenyewe kuhusu siku halisi ya Ibada (Jumamosi).



Qur-an Surat Fatir 35 : 43 wala hutapata mahadiliko katika kawaida

(desturi) ya Mungu (allyoiweka) wala

hutakuta mageuko katika kawaida ya Mwenyezi

Mungu.



- Kutokana na maandiko hayo ninapenda kukuhakikishia ndugu msomaji wangu kuwa ibada ya siku hii ya Sabato ingali inadumu kama ilivyo sehemu ya amri kumi ambazo kamwe hazibadiliki hata hivyo maandiko ya Qur-an yanaweka wazi kuwa Sabato ingali inadumu hadi mwisho kwa wale wanao mcha Miingu.



Qur-an Surat Al-Baqarah 2 : 66 kwa hivyo tukaifanya (adhabu hiyo)

kuwa onyo kwa wale waliokuwa

katika zama zao,na waliokuja nyuma

yao, na (tukaifanya) ni mawaidha

kwa wamchao Mwenyezi Mungu.



- Aya hiyo inaonyesha adhabu waliyopewa watu waliovunja Sabato, na yakuwa walipewa adhabu hiyo ilikuwa onyo, kwa waliokuwa katika zama zao, waliokuja nyuma yao, na pia bado ni mawaidha (Mahusia) kwa watu wa zama hizi wanao mcha Mungu, Je wewe una mcha Mungu! Kama jibu ni ndiyo basi Sabato ni Ibada iliyo na nguvu kwako, anza kuitunza kwa kuabudu katika siku hii ya Bwana Mungu wako.
 
uislam dini yake imejengwa katika kuzungumzia ukatoliki.
ukitoa hilo uislam hauna cha ku offer.

ukienda msikitini,mihadhara,madrasa,nk hawana cha kuzungumza zaid ya kuzungumzia ukatoliki.Ajabu wakatoliki hawana hata time na wao.
Usilamu na Ukatoliki Ni WAMOJA
 
Na nitarudi kuja kukuonyesheni Mtume Muhammad ndani ya bibilia

Maana Paulo japo amekuleteemi ukristo lakini alikuwa msomi mzuri wa Taurati hivyo alijua kuwa kupitia uzao wa Ishmael Kuna nabii atakuja

Na ndio maana akakuambieni maneno haya ila hamjayaelewa nitakuja kuwafundisha

Wagalatia 4:21
Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?
Wagalatia 4:22
Kwa maana imeandikwa ya kuwa, Ibrahimu alikuwa na wana wawili mmoja kwa mjakazi, na mmoja kwa mwungwana.
Wagalatia 4:23
Lakini yule wa mjakazi alizaliwa kwa mwili, yule wa mwungwana kwa ahadi.
Wagalatia 4:24
Mambo haya husemwa kwa mfano; kwa maana hawa ndio kama maagano mawili, moja kutoka mlima Sinai, lizaalo kwa utumwa, ambalo ni Hajiri.
Wagalatia 4:25
Maana Hajiri ni kama mlima Sinai ulioko Arabuni, umelingana na Yerusalemu wa sasa; kwa kuwa anatumika pamoja na watoto.
MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA


MUNGU ANAMWAMBIA IBRAHIM ATAKAYEMLITHI ATATOKA KATIKA VIUNO VYAKE

Mwanzo 15:3
Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
Mwanzo 15:4
Nalo neno la Bwana likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

ISHMAEL NDIO MTOTO WA VIUNO WA IBRAHIM

Mwanzo 16:3
Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

MUNGU ANAAHIDI BARAKA KWA ISHMAEL

Mwanzo 16:11
Malaika wa Bwana akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana Bwana amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.

UZAO WA ISHMAEL

Mwanzo 25:12
Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, ambaye Hajiri, Mmisri, mjakazi wa Sara, alimzalia Ibrahimu.
Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.


Naweka ramani ya kale ya Saudi Arabia kuonyesha kuwa watoto wa Ishmael waliishi Saudi Arabia

Naweka na chart ya family tree kuanzia Ishmael Hadi Mtume Muhammad

Mtume Muhammad ametokana na uzao wa mtoto wa Ishmael anayeitwa KEDARI
Screenshot_20230404-142020.jpg
Screenshot_20230404-141845.jpg
 
Quran Ni kitabu Cha Uongo


Hao kina Daudi, Suleiman , n.k hawakuwahi kuwa Waislamu hata historia tu inakataa , Israel had leo ipo


Kama walikuwa waislamu , inakuwje Hadi leo Wayahudi wanasali siku ya sabato (Jumamos)

Ulimwengu wa Imani ya Kiislam Duniani, unaadhimisha Ibada za mikutano mikuu katika siku ya ljumaa, ljumaa katika Uislam ndiyo siku inayodhaniwa haswa kuwa ni kivuli cha mahala pa Sabato (Jumamosi).



Pamoja na hayo ummah wa Kiislam kama isemavyo Qur-an, unatambua kuwepo kwa siku halisi ya ibada iitwayo Sabato (Jumamosi) isipokuwa, mafundisho ya viongozi wa Kiislam ndiyo huhafifisha nuru hii ya ukweli hasa ya siku ya Ibada (Jumamosi) na kukuza wazo hilo jipya la ibada ya siku ya ljumaa.



Viongozi na Maulamaa katika imani ya Kiislam, wamedai kuwa amri hii ya kiibada ihusuyo utunzaji wa Sabato halisi ya siku ya saba (Jumamosi), ilihusika haswa na kizazi cha Ban-israeli na yakuwa Mwenyezi Mungu alifanya mabadiliko mbele kwa kuwapa siku nyingine Ummah wa Mtume Muhammad.



Pamoja na maelezo hayo ya wanazuoni hao wa Kiislam, bado Qur-an inaonekana kuwa na msimamo wake endelevu juu ya wazo la taratibu ya amri za Mungu katika maagizo yake kwa wafata Dini. Hebu tuone nukuu ya aya hiyo:-



Qur-an 42:13 Amekupeni sheria ya Dini ile ile aliyomuhusia Nuhu

na tuliyo kufunulia wewe na tuliyo wahusia Ibrahimu na

Musa na Isa, kwamba simamisheni dini wala msifarikiane kwa

hayo......................................................



Aya hiyo ya Qur-an inaweka wazi kuwa Mungu kamwe hawezi kubadili taratibu zake kwa sababu ya mabadiliko ya watu (Ummah).



Hivyo hata Muhammad alihusiwa juu ya sheria ya dini (njia) ile ile kama alivyo husiwa Ibrahim Musa na Isa, hivyo kamwe hapana kigezo chochote cha kimsingi kiletacho sababu ya mabadiliko katika mfumo wa Ibada kinachotokana na idhini ya Mungu mwenyewe.



Nini chimbuko la ibada ya siku ya ljumaa?



- Ibada ya siku ya ljumaa huelezwa mwanzo wake katika kitabu kilicho andikwa na jumuiya ya vijana wa Ki Ansaar.



HISTORlA YA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA:- MUHAMMAD ABDALLA RIDAY ANSAAR MUSLIM YOUTH ORGANISATION UK. No. 47.



Hebu tuone maelezo mafupi katika ukurasa huo wa kitabu, katika kichwa Kisemacho.



IJUMAA YA KWANZA ALIYOSWALI MTUME.



Mtume aliondoka Qubaa kwenda Yathriba ilikuwa ni ljumaa, na jua lilipo chomoza alifika katika maskani ya Bani Salim bin Awf; katika Wangwa wa Ronunaa, hapo ndipo Muhammad aliposwali swala ya ljumaa kwa mara ya kwanza katika Uislam Na huo ni mwaka 622 uitwao mwaka wa Hijra kwa Waislam (mwanzo wa kalenda ya Kiislam).



Nini sababu ya Muhammad kusali siku hii na kuanzisha siku hii katika ummah wa kiislam?.



- Mkazo mkubwa wa Ummah wa Kiislam juu ya siku ya ljumaa, unaanzia katika tukio hilo tu, maandiko ya Qur-an yanaonyesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.



- Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu. (Qur-an 2:144 fafanuzi uk 34)



Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo, n.k zilianza kuonekana katika maisha ya Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe

Farsy).



- Hilo lilimfanya Muhammad kuanza kupingwa na wayahudi hao, Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile.



Kutia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9] Qj



Kuanza kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana kutofautiana na yake ya kibiblia.



- Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadi hayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an maonyesha hilo.



Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi

wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta

mafunuo hayo kwa Muhammad.



Ibada va liumaa inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.



- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi yaliharibika,



Fuatilia katika aya zifuatazo:-



Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi

Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi walihitirafiana na Muhammad na kurushiana maneno.



Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo



anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),



- Lakini pamoja na hayo Muhammad hakuipa siku hii nafasi ya Sabato yaani siku ya 7 ya juma (Jumamosi) ambayo ndiyo haswa iliyo siku ya Ibada ya kweli kama tulivyoona hapo awali,



- Kumbuka siku ile ya kweli ya Ibada ilitengwa na Mungu yote iwe siku ya ibada tu na si kufanya kazi yeyote ya kimaisha. (Qur-an 7 : 163 Kutoka 20 : 8 )



- Siku ya ljumaa haikutolewa ili kushika mahala pa Jumamosi [Sabato] maana pamoja na kufanya ibada Muhammad anaruhusu Waislam kufanya kazi siku hiyo mara baada ya swala, hebu tuone-



Qur-an 62:9-10 Enyi mlioamini! Kukiadhiniwa kwa ajili ya sala

siku ya ljumaa, enendeni upesi kumtaja Mwenyezi

Mungu na acheni biashara kufanya hivi ni bora

kwenu ikiwa mnajua basi fanyeni.



[10] Na itakapokwisha sala, tawanyikeni katika

ardhi mtafute fadhira za Mwenyezi Mungu.......



- Ndugu mpendwa msomaji wa maarifa mapya hivyo ndivyo Muhammadi alivyoeleza juu ya siku hii ya ljumaa, kamwe siyo siku ya mapumziko kama ilivyo Sabato (Jumamosi) zaidi ya yote ljumaa si siku yenye mkazo wa kiibada kama ilivyo Sabato (Jumamosi). Katika mafunuo ya Qur-an.



- Siku hii ya ljumaa ni siku ya ibada ya kawaida tu inayo ambatana na kufanya kazi za kutafuta kipato, hilo linaifanya kuwa na tofauti ya mbali sana na siku ya kweli ya Ibada ya Jumamosi.



Usifanye moyo wako kuwa mgumu,na usikimbie mahali pa raha yako, Sabato ya Jumamosi ndiyo siku halisi ya Ibada na siyo ljumaa "zinduka"



Je! Amri za Allah (Mungu) zinabadilika?





- Msimamo wa wasomi wengi wa Kiislam katika jambo hili kuu, unaishia kwenye kudhani kuwa huenda kuna mabadiliko toka kwa Mungu mwenyewe juu ya Amri zake, na pengine Mwenyezi Mungu mwenyewe huadhimu kugawa sheria zake kwa makundi ya watu fulani maalumu tu na wenginekutotakiwa kuhusika nazo.



- Wazo hilo si zuri ikiwa halitotumiwa kwa uangalifu, kimsingi tunachokizungumzia ndani ya kitabu hiki ni juu ya Amri za Mungu tena alizoziandika yeye mwenyewe, amri hizo ni amri za milele na vizazi vyote vya Dunia huhusika nazo na pia haziwezi kubadilishwa,



- Ushahidi wa maandiko yafuatayo ya Qur-an utatupatia mwanga zaidi, kuwa je ni kweli kanuni hizo zinaweza kubadilika ati kwa sababu ya mabadiliko ya vizazi (Ummah)?



Qur-an Surat Ban Israel 17:77 Ndiyo desturi ya wale tuliowatuma

(tuliowapa utume) kabla yako katika

mitume wetu. Wala hutapata

mabadiliko katika desturi yetu.



Aya hiyo ya Qur-an inaweka wazi kuwa kamwe hakuna mabadiliko katika Kawaida ya Mungu aliyoifunua tangu mitume wa kale maneno haya yanaunga mkono kauli ya Bwana Yesu, pale aliposema sikuja kutengua Torati (Mathayo 5 : 17). bila shaka hata Mohammad hakustahili kuleta aina yeyote ile ya mabadiliko. pamoja na tofauti yake na Wayahudi. alipaswa kuzingatia tu kanuni za kimsingi za mafunuo ya Mungu mwenyewe kuhusu siku halisi ya Ibada (Jumamosi).



Qur-an Surat Fatir 35 : 43 wala hutapata mahadiliko katika kawaida

(desturi) ya Mungu (allyoiweka) wala

hutakuta mageuko katika kawaida ya Mwenyezi

Mungu.



- Kutokana na maandiko hayo ninapenda kukuhakikishia ndugu msomaji wangu kuwa ibada ya siku hii ya Sabato ingali inadumu kama ilivyo sehemu ya amri kumi ambazo kamwe hazibadiliki hata hivyo maandiko ya Qur-an yanaweka wazi kuwa Sabato ingali inadumu hadi mwisho kwa wale wanao mcha Miingu.



Qur-an Surat Al-Baqarah 2 : 66 kwa hivyo tukaifanya (adhabu hiyo)

kuwa onyo kwa wale waliokuwa

katika zama zao,na waliokuja nyuma

yao, na (tukaifanya) ni mawaidha

kwa wamchao Mwenyezi Mungu.



- Aya hiyo inaonyesha adhabu waliyopewa watu waliovunja Sabato, na yakuwa walipewa adhabu hiyo ilikuwa onyo, kwa waliokuwa katika zama zao, waliokuja nyuma yao, na pia bado ni mawaidha (Mahusia) kwa watu wa zama hizi wanao mcha Mungu, Je wewe una mcha Mungu! Kama jibu ni ndiyo basi Sabato ni Ibada iliyo na nguvu kwako, anza kuitunza kwa kuabudu katika siku hii ya Bwana Mungu wako.

Quran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.

Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu




Bado haujajibu swali Qurani inasema hawa manabii wote walikuwa waislam na wewe unasema Quran imedanganya sawa Kwa mujibu wako

Lete Sasa hayo maandiko yako ya kweli yanasema dini za hawa manabii

Hata kama unayo maandiko yanayosema hawa manabii walikuwa wapagani Yani hawakuwa na dini pia lete

Ili kuthibitisha kuwa Quran iliposema walikuwa waislam imedanganya

Na kama Hauna hayo maandiko pia sema usipotezee watu muda wao


1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
 
Quran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.

Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu




Bado haujajibu swali Qurani inasema hawa manabii wote walikuwa waislam na wewe unasema Quran imedanganya sawa Kwa mujibu wako

Lete Sasa hayo maandiko yako ya kweli yanasema dini za hawa manabii

Hata kama unayo maandiko yanayosema hawa manabii walikuwa wapagani Yani hawakuwa na dini pia lete

Ili kuthibitisha kuwa Quran iliposema walikuwa waislam imedanganya

Na kama Hauna hayo maandiko pia sema usipotezee watu muda wao


1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
Hata aje Papa na kofia yake iliyoandikwa 666 hawezi kujibu hili swali
 
Hizo Aya ulizoweka hapo hakuna hata Aya Moja inayohalalisha uwepo Uyahudi na ukiristo kuwa ni dini za kweli

Quran Haina shida na vitabu vya zamani vyote hivyo ni vitabu vya Allah

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

Quran 17:55
Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.

Hivyo vyote ni vitabu vya Mungu Wakaja watu waovu wakavichakachua na kuzua dini zao za uongo uongo zikiwepo dini za Uyahudi na ukiristo

Ndipo Allah akamleta Mtume Muhammad na kitabu Cha Quran Ili kulinda vitabu vilivyotangulia na mafundisho yake ambayo ni uislam

Na ndio maana ukisema Yesu Mungu nakuambia No

Ukisema ukristo dini ya kweli nakuambia No

Kwa sababu ipo Quran ndio kio Cha vitabu na manabii wote wa Mungu

5:48
Quran 5:48
Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda


Na Quran inasema manabii wote walikuwa waislam na mafundisho Yao ya vitabu vyao vilifundisha uislam

Na kama mnapingana na na Qurani thibitisheni Kwa maandiko hawa manabii walikuwa na dini gani

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Hizo Aya ulizoweka hapo hakuna hata Aya Moja inayohalalisha uwepo Uyahudi na ukiristo kuwa ni dini za kweli

Quran Haina shida na vitabu vya zamani vyote hivyo ni vitabu vya Allah

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

Quran 17:55
Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.

Hivyo vyote ni vitabu vya Mungu Wakaja watu waovu wakavichakachua na kuzua dini zao za uongo uongo zikiwepo dini za Uyahudi na ukiristo

Ndipo Allah akamleta Mtume Muhammad na kitabu Cha Quran Ili kulinda vitabu vilivyotangulia na mafundisho yake ambayo ni uislam

Na ndio maana ukisema Yesu Mungu nakuambia No

Ukisema ukristo dini ya kweli nakuambia No

Kwa sababu ipo Quran ndio kio Cha vitabu na manabii wote wa Mungu

5:48
Quran 5:48
Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda


Na Quran inasema manabii wote walikuwa waislam na mafundisho Yao ya vitabu vyao vilifundisha uislam

Na kama mnapingana na na Qurani thibitisheni Kwa maandiko hawa manabii walikuwa na dini gani

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi


FICHA UJINGA..

1. HIZO TORATI na injili na ZABURI VIPO WApi?????????

2. DINI ni Nini??????

3. Musa ameishi miaka 3200 ILIYOPITA Mohamed 1500
JE nani akianzisha UISLAMU??????????


INAWEZEKANA UTAKUWA NA SHIDA KICHWANI AU MNAKOENDA HUKO MNAPULIZIWA MADAWA YA KUWAPUMBAZA.


MUSA MUISLAMU CHENZI KABISA.....
 
Quran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.

Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu




Bado haujajibu swali Qurani inasema hawa manabii wote walikuwa waislam na wewe unasema Quran imedanganya sawa Kwa mujibu wako

Lete Sasa hayo maandiko yako ya kweli yanasema dini za hawa manabii

Hata kama unayo maandiko yanayosema hawa manabii walikuwa wapagani Yani hawakuwa na dini pia lete

Ili kuthibitisha kuwa Quran iliposema walikuwa waislam imedanganya

Na kama Hauna hayo maandiko pia sema usipotezee watu muda wao


1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi


NIMEJARIBU KUKUWEKEA AYA CHACHE ZINAZOSEMA WA KRISTO.
YANI WATU WA MUNGU.

WAGALATIA 3: 29.

Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

MARKO 9 :41.

Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.

1WAKORINTO 3:23.
nanyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.

2. WAKORINTO 10: 7.
Yaangalieni yaliyo mbele ya macho yenu. Mtu akijitumainia mwenyewe ya kuwa ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo na sisi.

Quran 2:62.

Hakika walioamini Mitume WA zamani ni Mayaudi, wakristo na wasabahi.

Hivi hujui UISLAMU UMEANZISHWA na Mohamed karne ya 6.

HAO akina Adamu wameishi miaka 3000 huko waweje WAISLAMU??????????

AKILI YAKO ITAKUWA YA AJABU MNO.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
UTABIRI WA MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA

Kumbukumbu la Torati 18:18 (KJV)
Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.

Mungu anamwambia Musa ataondokesha nabi miongoni mwa ndugu wa wana wa Israel mfano wako wewe Musa

Waisrael ni watoto wa Isihaka na wasaudi Arabia ni watoto wa Ishmael hivyo Hawa ni ndugu

Nabii mfano wa Musa
1)Musa amezaliwa na baba na mama na Muhammad amezaliwa na baba na mama

2) Musa amepewa utume akiwa mtu mzima na Muhammad amepewa utume akiwa mtu mzima

3) Musa amepewa kitabu Cha taurati kina amri Sheria na hukumu na Muhammad amepewa kitabu Cha Quran kina amri Sheria na hukumu

4) Musa ali oa mke na kuzaa watoto na Muhammad alio na kuzaa watoto


Mnyama 666 amefuta maandiko mengi yanayohusu mtume Muhammad na Uislam ndani ya bibilia Ili aweze kukupotezeni vizuri

Ila Mungu ni mkubwa bado yapo mengi tu katika bibilia

Andiko lingine linalohusu utabiri wa mtume Muhammad hili apa

Tema ni mtoto wa nabii Ishmael aliishi Saudi Arabia na ndio likawa jina mji

Sasa wewe kama Kuna mtume mwingine unayemjua aliyetokea Tema ambayo ndio Saudi Arabia ya Sasa mtaje

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.


Yani nyinyi wagalatia product ya mnyama 666 Jahannam inawasubi na Allah anasema humo Jahannam mtakaa milele
Screenshot_20230518-123657.jpg
 
NIMEJARIBU KUKUWEKEA AYA CHACHE ZINAZOSEMA WA KRISTO.
YANI WATU WA MUNGU.

WAGALATIA 3: 29.

Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

MARKO 9 :41.

Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.

1WAKORINTO 3:23.
nanyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.

2. WAKORINTO 10: 7.
Yaangalieni yaliyo mbele ya macho yenu. Mtu akijitumainia mwenyewe ya kuwa ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo na sisi.

Quran 2:62.

Hakika walioamini Mitume WA zamani ni Mayaudi, wakristo na wasabahi.

Hivi hujui UISLAMU UMEANZISHWA na Mohamed karne ya 6.

HAO akina Adamu wameishi miaka 3000 huko waweje WAISLAMU??????????

AKILI YAKO ITAKUWA YA AJABU MNO.
Kwanza hilo andiko la Quran halipo hivyo umedanganya au sijui kama wewe umedanganywa sijui maana mmezoea kudanganyana

Andiko linasema hivi
Quran 2:62
Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika

Hapo katika walioamini Kuna alama ya koma na kiunganishi( na) hivyo sentence ya kwanza imeishia hapo sentence inayofuata ndio hii

Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika

Yani maana ya hilo andiko ni kwamba pepo ya Allah ipo wazi Kwa yeyete atakaye amini Mungu ni mmoja na siku ya mwisho Yani atakaye amini kwamba Kuna siku atafufuliwa Baada ya kufa kwake

Kwa hiyo hapo automatically hao Mayahudi, Wakristo na wasabai wakiamini hayo ni tayari wamesha silimu na kuwa waislam

Pole sana Kwa kutokujua kiswahili

Kuhusu hayo maandiko yako ya wagalatia, Wakolintho, Tito , Warumi sijui Efeso Yani vitabu vyote vya Paulo hivyo ni vitabu vyenu vilivyokuleteeni ukristo na Kila siku tumasema ukristo ni dini iliyoanzishwa na Paulo na sio Yesu hivyo hakuna la kushangaza


Swali lipo pale pale

Ili kuthibitisha kuwa Quran iliposema hawa manabii walikuwa waislam imedanganya

Lete wewe mandiko yako ya ukweli yanayo sema hawa manabii walikuwa na dini gani?

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
 
Kwanza hilo andiko la Quran halipo hivyo umedanganya au sijui kama wewe umedanganywa sijui maana mmezoea kudanganyana

Andiko linasema hivi
Quran 2:62
Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika

Hapo katika walioamini Kuna alama ya koma na kiunganishi( na) hivyo sentence ya kwanza imeishia hapo sentence inayofuata ndio hii

Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika

Yani maana ya hilo andiko ni kwamba pepo ya Allah ipo wazi Kwa yeyete atakaye amini Mungu ni mmoja na siku ya mwisho Yani atakaye amini kwamba Kuna siku atafufuliwa Baada ya kufa kwake

Kwa hiyo hapo automatically hao Mayahudi, Wakristo na wasabai wakiamini hayo ni tayari wamesha silimu na kuwa waislam

Pole sana Kwa kutokujua kiswahili

Kuhusu hayo maandiko yako ya wagalatia, Wakolintho, Tito , Warumi sijui Efeso Yani vitabu vyote vya Paulo hivyo ni vitabu vyenu vilivyokuleteeni ukristo na Kila siku tumasema ukristo ni dini iliyoanzishwa na Paulo na sio Yesu hivyo hakuna la kushangaza


Swali lipo pale pale

Ili kuthibitisha kuwa Quran iliposema hawa manabii walikuwa waislam imedanganya

Lete wewe mandiko yako ya ukweli yanayo sema hawa manabii walikuwa na dini gani?

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi


MAKELELE Mengi yamejaa UJINGA na uongo MTUPU.

Usihangaike na MAKELE

1. UISLAMU ULIANZA LINI NA MOHAMED ALIZALIWA LINI?????????......


Hadi nakuonea huruma.
Nje ya Quran ILIYOANDIKWA Mwaka 600 hakuna UISLAMU.


HAKUNA UISLAMU HAKUNA
 
1. DINI ni Nini???.


2. DINI ni kitu Gani??????

DINI ni chombo Gani???????

DINI ni MAHALA Gani???????????

DINI ni Nini???????
 
MAKELELE Mengi yamejaa UJINGA na uongo MTUPU.

Usihangaike na MAKELE

1. UISLAMU ULIANZA LINI NA MOHAMED ALIZALIWA LINI?????????......
Swali zuri sana kama uislamu ulikuwepo kwanin taratibu za kusali za kiislamu alianzisha muhammad

Kama ulikuwepo hakukua na haja ya muhammad kushushiwa quran na kupewa taratibu za kusali
 
Swali zuri sana kama uislamu ulikuwepo kwanin taratibu za kusali za kiislamu alianzisha muhammad

Kama ulikuwepo hakukua na haja ya muhammad kushushiwa quran na kupewa taratibu za kusali


BAHATI Mbaya ZAIDI Quran Imeandikwa na shetani.


QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Back
Top Bottom