Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblie ni kitabu cha Mungu ?

Kuna mikono ya watu zaidi ya 40 kila mtu anasema lake ndo maana baadhi ya aya zinapishana mara huyu ni yesu ni Mungu alikufa msalabani ,Yule anasema hakuna binadamu atakufa kwa dhambi za mwingine.

Bible ni ya kutunga na haikidhi uhalisia ndo maana inafanyiwa manipulation ya baadhi ya sheria..

Mna agano la kale na jipya hapa mmefanya update kama..


Swali hutowezka kujibu hata uende vatican👇👇

Nionyeshe wapi yesu alisoma bible au alipewa kitabu kinaitwa bible?

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
 
Bible maana yake ni book of books
Anza apo kwanza kabla hatujaendelea
Book of books ?

Mkusanyiko wa vitabu vingi kweny jadala moja .

kwa maana hyo kubali bible haipo kweny vitabu vya Mungu ni watu kuokoteza vitabu vya nyuma na kuchanganya..
 
VITABU VILIVYO tangulia ni vipi na vipo WAPI??????

MAJINI YAMEWAFUNGA AKILI AMUELEWI KITU.

MAJINI YAMEWA
Vitabu kama huvijui kaa kwa kutulia .

tourati ,zaburi, injili na Qur an hizi ndo vitabu vya Mungu.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Hata kusoma hujui unapotosha hyo aya ndo kinga yenu wengi ni vilaza rudia kusoma tena hito aya na tafsiri yake acha poroja na ulimbukeni .

soma ayah kwa usahihi nikujibu nipo hapa!!
 
Book of books ?

Mkusanyiko wa vitabu vingi kweny jadala moja .

kwa maana hyo kubali bible haipo kweny vitabu vya Mungu ni watu kuokoteza vitabu vya nyuma na kuchanganya..
Biblia ni kitabu Cha vitabu

Tuliza akili kijana wakatae majini kwenye kichwa chako
 
Biblia ni kitabu Cha vitabu

Tuliza akili kijana wakatae majini kwenye kichwa chako
Bible hakuna imeandikwa na waitaly na waingereza zikiwa na upishano ndo maana ipo ya king james .

Na makanisa mengi yametoholewa kutoka ukatoliki baada ya kikidhana na baadhi ya sheria za kutunga.
 
Hata kusoma hujui unapotosha hyo aya ndo kinga yenu wengi ni vilaza rudia kusoma tena hito aya na tafsiri yake acha poroja na ulimbukeni .

soma ayah kwa usahihi nikujibu nipo hapa!!


MAJINI YAMEKAMATA MBONGO
 
Sema vitabu vya Allah na kakari kapoteza vyote amebakiwa na kimoja tu
Njoo na hoja wajinga wenzio wapo vatican kuhiji badala ya israel we umeachiwa kondoo uwachunge na then ufanye utapeli kwa mgongo wa sadaka.
 
Bible hakuna imeandikwa na waitaly na waingereza zikiwa na upishano ndo maana ipo ya king james .
Tuliza akili na nenda kampenge jini Alie lala puani mwako

Nimekwambia Biblia ni kitabu Cha vitabu
Unakuja tena unasema biblia imeandikwa na WA Italy

Taja kitabu kimoja kilichopo ndani ya biblia kimeandikwa na waitaly na kinaitwaje
 
Tuliza akili na nenda kampenge jini Alie lala puani mwako

Nimekwambia Biblia ni kitabu Cha vitabu
Unakuja tena unasema biblia imeandikwa na WA Italy

Taja kitabu kimoja kilichopo ndani ya biblia kimeandikwa na waitaly na kinaitwaje

Vitabu vya Mungu ni vinne tu ,Sasa kaangalie idadi ya vitabu ndani ya bible ni vingapi still kuna mkanganyiko😅😅
 
Tutajie vilipo acha makasiriko

Vitabu vya Allah vipo wapi?
Unaelewa au unakurupka ! Hii ni ile tafsiri ya uongo kwa kukosa elimu .

Vitabu vya Mungu ni hivi Torati ,zaburi ,injili na Qur an ..
 
ufanye utapeli kwa mgongo wa sadaka.
Unamjua tapeli au unaongea tu , binadamu gani ukishawahi sikia anagawana Mali na mungu wake?

Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Unamjua tapeli au unaongea tu , binadamu gani ukishawahi sikia anagawana Mali na mungu wake?

Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Qur an 58:12
"Enyi mlioamini! Mkizungumza na Mtume kwa faragha, basi toeni sadaka kabla ya mazungumzo yenu. Hivyo ni bora kwenu na safi zaidi. Lakini msipoweza, basi (toeni) baada ya kusali. Na mtakapoitumilia mikono yenu na (katika kutoa) sadaka, basi hiyo ni bora kwenu, ikiwa mnajua.


Acha kupotosha hata kiswahili hujui😅😅
 
Back
Top Bottom