Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Hizo Aya ulizoweka hapo hakuna hata Aya Moja inayohalalisha uwepo Uyahudi na ukiristo kuwa ni dini za kweli

Quran Haina shida na vitabu vya zamani vyote hivyo ni vitabu vya Allah

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

Quran 17:55
Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.

Hivyo vyote ni vitabu vya Mungu Wakaja watu waovu wakavichakachua na kuzua dini zao za uongo uongo zikiwepo dini za Uyahudi na ukiristo

Ndipo Allah akamleta Mtume Muhammad na kitabu Cha Quran Ili kulinda vitabu vilivyotangulia na mafundisho yake ambayo ni uislam

Na ndio maana ukisema Yesu Mungu nakuambia No

Ukisema ukristo dini ya kweli nakuambia No

Kwa sababu ipo Quran ndio kio Cha vitabu na manabii wote wa Mungu

5:48
Quran 5:48
Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda


Na Quran inasema manabii wote walikuwa waislam na mafundisho Yao ya vitabu vyao vilifundisha uislam

Na kama mnapingana na na Qurani thibitisheni Kwa maandiko hawa manabii walikuwa na dini gani

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
 
uislam dini yake imejengwa katika kuzungumzia ukatoliki.
ukitoa hilo uislam hauna cha ku offer.

ukienda msikitini,mihadhara,madrasa,nk hawana cha kuzungumza zaid ya kuzungumzia ukatoliki.Ajabu wakatoliki hawana hata time na wao.
 
kumbe ndio mana hawataki kitabu chao kiandikwe kwa lugha zinazoeleweka na wengi. kuna vitu vimefichwa humo. Wewe ulijifunza kiarabu umeyajuaje maandiko ya siri hivi hata masheh hawayajui>?
 
We Even the devil can quote the scriptures for his own end.
 
uislam dini yake imejengwa katika kuzungumzia ukatoliki.
ukitoa hilo uislam hauna cha ku offer.

ukienda msikitini,mihadhara,madrasa,nk hawana cha kuzungumza zaid ya kuzungumzia ukatoliki.Ajabu wakatoliki hawana hata time na wao.
Hakuna msikiti wala Waislamu wanao poteza wakati kuwazungumzia Wakatoliki, nyie maadui zenu ni Walokole wanao muona Papa kama ni mpinga Kristo.
Kama unaona Uislamu hauna cha ku offer, tafakari Uislamu umekuja baada ya zaidi ya miaka elfu na mia nne baada ya ukristu iwaje population worldwide ya Catholics ni 2.3 billion na Waislamu kwa muda mfupi ni 2billion na kuna nchi nyingi Muslim majority.
Wakati wa ku comment Ni bora mtu Ukawa sober, hujakutana na K Vant.
NB: Pope amekaribishwa na kuingia msikiti Uturuki na ameendesha misa nchi ya kiaarabu ya Kiislamu Bahrain
 
Quran Ni kitabu Cha Uongo


Hao kina Daudi, Suleiman , n.k hawakuwahi kuwa Waislamu hata historia tu inakataa , Israel had leo ipo


Kama walikuwa waislamu , inakuwje Hadi leo Wayahudi wanasali siku ya sabato (Jumamos)

Ulimwengu wa Imani ya Kiislam Duniani, unaadhimisha Ibada za mikutano mikuu katika siku ya ljumaa, ljumaa katika Uislam ndiyo siku inayodhaniwa haswa kuwa ni kivuli cha mahala pa Sabato (Jumamosi).



Pamoja na hayo ummah wa Kiislam kama isemavyo Qur-an, unatambua kuwepo kwa siku halisi ya ibada iitwayo Sabato (Jumamosi) isipokuwa, mafundisho ya viongozi wa Kiislam ndiyo huhafifisha nuru hii ya ukweli hasa ya siku ya Ibada (Jumamosi) na kukuza wazo hilo jipya la ibada ya siku ya ljumaa.



Viongozi na Maulamaa katika imani ya Kiislam, wamedai kuwa amri hii ya kiibada ihusuyo utunzaji wa Sabato halisi ya siku ya saba (Jumamosi), ilihusika haswa na kizazi cha Ban-israeli na yakuwa Mwenyezi Mungu alifanya mabadiliko mbele kwa kuwapa siku nyingine Ummah wa Mtume Muhammad.



Pamoja na maelezo hayo ya wanazuoni hao wa Kiislam, bado Qur-an inaonekana kuwa na msimamo wake endelevu juu ya wazo la taratibu ya amri za Mungu katika maagizo yake kwa wafata Dini. Hebu tuone nukuu ya aya hiyo:-



Qur-an 42:13 Amekupeni sheria ya Dini ile ile aliyomuhusia Nuhu

na tuliyo kufunulia wewe na tuliyo wahusia Ibrahimu na

Musa na Isa, kwamba simamisheni dini wala msifarikiane kwa

hayo......................................................



Aya hiyo ya Qur-an inaweka wazi kuwa Mungu kamwe hawezi kubadili taratibu zake kwa sababu ya mabadiliko ya watu (Ummah).



Hivyo hata Muhammad alihusiwa juu ya sheria ya dini (njia) ile ile kama alivyo husiwa Ibrahim Musa na Isa, hivyo kamwe hapana kigezo chochote cha kimsingi kiletacho sababu ya mabadiliko katika mfumo wa Ibada kinachotokana na idhini ya Mungu mwenyewe.



Nini chimbuko la ibada ya siku ya ljumaa?



- Ibada ya siku ya ljumaa huelezwa mwanzo wake katika kitabu kilicho andikwa na jumuiya ya vijana wa Ki Ansaar.



HISTORlA YA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA:- MUHAMMAD ABDALLA RIDAY ANSAAR MUSLIM YOUTH ORGANISATION UK. No. 47.



Hebu tuone maelezo mafupi katika ukurasa huo wa kitabu, katika kichwa Kisemacho.



IJUMAA YA KWANZA ALIYOSWALI MTUME.



Mtume aliondoka Qubaa kwenda Yathriba ilikuwa ni ljumaa, na jua lilipo chomoza alifika katika maskani ya Bani Salim bin Awf; katika Wangwa wa Ronunaa, hapo ndipo Muhammad aliposwali swala ya ljumaa kwa mara ya kwanza katika Uislam Na huo ni mwaka 622 uitwao mwaka wa Hijra kwa Waislam (mwanzo wa kalenda ya Kiislam).



Nini sababu ya Muhammad kusali siku hii na kuanzisha siku hii katika ummah wa kiislam?.



- Mkazo mkubwa wa Ummah wa Kiislam juu ya siku ya ljumaa, unaanzia katika tukio hilo tu, maandiko ya Qur-an yanaonyesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.



- Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu. (Qur-an 2:144 fafanuzi uk 34)



Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo, n.k zilianza kuonekana katika maisha ya Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe

Farsy).



- Hilo lilimfanya Muhammad kuanza kupingwa na wayahudi hao, Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile.



Kutia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9] Qj



Kuanza kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana kutofautiana na yake ya kibiblia.



- Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadi hayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an maonyesha hilo.



Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi

wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta

mafunuo hayo kwa Muhammad.



Ibada va liumaa inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.



- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi yaliharibika,



Fuatilia katika aya zifuatazo:-



Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi

Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi walihitirafiana na Muhammad na kurushiana maneno.



Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo



anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),



- Lakini pamoja na hayo Muhammad hakuipa siku hii nafasi ya Sabato yaani siku ya 7 ya juma (Jumamosi) ambayo ndiyo haswa iliyo siku ya Ibada ya kweli kama tulivyoona hapo awali,



- Kumbuka siku ile ya kweli ya Ibada ilitengwa na Mungu yote iwe siku ya ibada tu na si kufanya kazi yeyote ya kimaisha. (Qur-an 7 : 163 Kutoka 20 : 8 )



- Siku ya ljumaa haikutolewa ili kushika mahala pa Jumamosi [Sabato] maana pamoja na kufanya ibada Muhammad anaruhusu Waislam kufanya kazi siku hiyo mara baada ya swala, hebu tuone-



Qur-an 62:9-10 Enyi mlioamini! Kukiadhiniwa kwa ajili ya sala

siku ya ljumaa, enendeni upesi kumtaja Mwenyezi

Mungu na acheni biashara kufanya hivi ni bora

kwenu ikiwa mnajua basi fanyeni.



[10] Na itakapokwisha sala, tawanyikeni katika

ardhi mtafute fadhira za Mwenyezi Mungu.......



- Ndugu mpendwa msomaji wa maarifa mapya hivyo ndivyo Muhammadi alivyoeleza juu ya siku hii ya ljumaa, kamwe siyo siku ya mapumziko kama ilivyo Sabato (Jumamosi) zaidi ya yote ljumaa si siku yenye mkazo wa kiibada kama ilivyo Sabato (Jumamosi). Katika mafunuo ya Qur-an.



- Siku hii ya ljumaa ni siku ya ibada ya kawaida tu inayo ambatana na kufanya kazi za kutafuta kipato, hilo linaifanya kuwa na tofauti ya mbali sana na siku ya kweli ya Ibada ya Jumamosi.



Usifanye moyo wako kuwa mgumu,na usikimbie mahali pa raha yako, Sabato ya Jumamosi ndiyo siku halisi ya Ibada na siyo ljumaa "zinduka"



Je! Amri za Allah (Mungu) zinabadilika?





- Msimamo wa wasomi wengi wa Kiislam katika jambo hili kuu, unaishia kwenye kudhani kuwa huenda kuna mabadiliko toka kwa Mungu mwenyewe juu ya Amri zake, na pengine Mwenyezi Mungu mwenyewe huadhimu kugawa sheria zake kwa makundi ya watu fulani maalumu tu na wenginekutotakiwa kuhusika nazo.



- Wazo hilo si zuri ikiwa halitotumiwa kwa uangalifu, kimsingi tunachokizungumzia ndani ya kitabu hiki ni juu ya Amri za Mungu tena alizoziandika yeye mwenyewe, amri hizo ni amri za milele na vizazi vyote vya Dunia huhusika nazo na pia haziwezi kubadilishwa,



- Ushahidi wa maandiko yafuatayo ya Qur-an utatupatia mwanga zaidi, kuwa je ni kweli kanuni hizo zinaweza kubadilika ati kwa sababu ya mabadiliko ya vizazi (Ummah)?



Qur-an Surat Ban Israel 17:77 Ndiyo desturi ya wale tuliowatuma

(tuliowapa utume) kabla yako katika

mitume wetu. Wala hutapata

mabadiliko katika desturi yetu.



Aya hiyo ya Qur-an inaweka wazi kuwa kamwe hakuna mabadiliko katika Kawaida ya Mungu aliyoifunua tangu mitume wa kale maneno haya yanaunga mkono kauli ya Bwana Yesu, pale aliposema sikuja kutengua Torati (Mathayo 5 : 17). bila shaka hata Mohammad hakustahili kuleta aina yeyote ile ya mabadiliko. pamoja na tofauti yake na Wayahudi. alipaswa kuzingatia tu kanuni za kimsingi za mafunuo ya Mungu mwenyewe kuhusu siku halisi ya Ibada (Jumamosi).



Qur-an Surat Fatir 35 : 43 wala hutapata mahadiliko katika kawaida

(desturi) ya Mungu (allyoiweka) wala

hutakuta mageuko katika kawaida ya Mwenyezi

Mungu.



- Kutokana na maandiko hayo ninapenda kukuhakikishia ndugu msomaji wangu kuwa ibada ya siku hii ya Sabato ingali inadumu kama ilivyo sehemu ya amri kumi ambazo kamwe hazibadiliki hata hivyo maandiko ya Qur-an yanaweka wazi kuwa Sabato ingali inadumu hadi mwisho kwa wale wanao mcha Miingu.



Qur-an Surat Al-Baqarah 2 : 66 kwa hivyo tukaifanya (adhabu hiyo)

kuwa onyo kwa wale waliokuwa

katika zama zao,na waliokuja nyuma

yao, na (tukaifanya) ni mawaidha

kwa wamchao Mwenyezi Mungu.



- Aya hiyo inaonyesha adhabu waliyopewa watu waliovunja Sabato, na yakuwa walipewa adhabu hiyo ilikuwa onyo, kwa waliokuwa katika zama zao, waliokuja nyuma yao, na pia bado ni mawaidha (Mahusia) kwa watu wa zama hizi wanao mcha Mungu, Je wewe una mcha Mungu! Kama jibu ni ndiyo basi Sabato ni Ibada iliyo na nguvu kwako, anza kuitunza kwa kuabudu katika siku hii ya Bwana Mungu wako.
 
uislam dini yake imejengwa katika kuzungumzia ukatoliki.
ukitoa hilo uislam hauna cha ku offer.

ukienda msikitini,mihadhara,madrasa,nk hawana cha kuzungumza zaid ya kuzungumzia ukatoliki.Ajabu wakatoliki hawana hata time na wao.
Usilamu na Ukatoliki Ni WAMOJA
 
MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA


MUNGU ANAMWAMBIA IBRAHIM ATAKAYEMLITHI ATATOKA KATIKA VIUNO VYAKE

Mwanzo 15:3
Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
Mwanzo 15:4
Nalo neno la Bwana likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

ISHMAEL NDIO MTOTO WA VIUNO WA IBRAHIM

Mwanzo 16:3
Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

MUNGU ANAAHIDI BARAKA KWA ISHMAEL

Mwanzo 16:11
Malaika wa Bwana akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana Bwana amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.

UZAO WA ISHMAEL

Mwanzo 25:12
Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, ambaye Hajiri, Mmisri, mjakazi wa Sara, alimzalia Ibrahimu.
Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
Mwanzo 25:16
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.


Naweka ramani ya kale ya Saudi Arabia kuonyesha kuwa watoto wa Ishmael waliishi Saudi Arabia

Naweka na chart ya family tree kuanzia Ishmael Hadi Mtume Muhammad

Mtume Muhammad ametokana na uzao wa mtoto wa Ishmael anayeitwa KEDARI
 

Quran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.

Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu




Bado haujajibu swali Qurani inasema hawa manabii wote walikuwa waislam na wewe unasema Quran imedanganya sawa Kwa mujibu wako

Lete Sasa hayo maandiko yako ya kweli yanasema dini za hawa manabii

Hata kama unayo maandiko yanayosema hawa manabii walikuwa wapagani Yani hawakuwa na dini pia lete

Ili kuthibitisha kuwa Quran iliposema walikuwa waislam imedanganya

Na kama Hauna hayo maandiko pia sema usipotezee watu muda wao


1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
 
Hata aje Papa na kofia yake iliyoandikwa 666 hawezi kujibu hili swali
 

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 


FICHA UJINGA..

1. HIZO TORATI na injili na ZABURI VIPO WApi?????????

2. DINI ni Nini??????

3. Musa ameishi miaka 3200 ILIYOPITA Mohamed 1500
JE nani akianzisha UISLAMU??????????


INAWEZEKANA UTAKUWA NA SHIDA KICHWANI AU MNAKOENDA HUKO MNAPULIZIWA MADAWA YA KUWAPUMBAZA.


MUSA MUISLAMU CHENZI KABISA.....
 


NIMEJARIBU KUKUWEKEA AYA CHACHE ZINAZOSEMA WA KRISTO.
YANI WATU WA MUNGU.

WAGALATIA 3: 29.

Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

MARKO 9 :41.

Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.

1WAKORINTO 3:23.
nanyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.

2. WAKORINTO 10: 7.
Yaangalieni yaliyo mbele ya macho yenu. Mtu akijitumainia mwenyewe ya kuwa ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo na sisi.

Quran 2:62.

Hakika walioamini Mitume WA zamani ni Mayaudi, wakristo na wasabahi.

Hivi hujui UISLAMU UMEANZISHWA na Mohamed karne ya 6.

HAO akina Adamu wameishi miaka 3000 huko waweje WAISLAMU??????????

AKILI YAKO ITAKUWA YA AJABU MNO.
 
UTABIRI WA MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIA

Kumbukumbu la Torati 18:18 (KJV)
Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.

Mungu anamwambia Musa ataondokesha nabi miongoni mwa ndugu wa wana wa Israel mfano wako wewe Musa

Waisrael ni watoto wa Isihaka na wasaudi Arabia ni watoto wa Ishmael hivyo Hawa ni ndugu

Nabii mfano wa Musa
1)Musa amezaliwa na baba na mama na Muhammad amezaliwa na baba na mama

2) Musa amepewa utume akiwa mtu mzima na Muhammad amepewa utume akiwa mtu mzima

3) Musa amepewa kitabu Cha taurati kina amri Sheria na hukumu na Muhammad amepewa kitabu Cha Quran kina amri Sheria na hukumu

4) Musa ali oa mke na kuzaa watoto na Muhammad alio na kuzaa watoto


Mnyama 666 amefuta maandiko mengi yanayohusu mtume Muhammad na Uislam ndani ya bibilia Ili aweze kukupotezeni vizuri

Ila Mungu ni mkubwa bado yapo mengi tu katika bibilia

Andiko lingine linalohusu utabiri wa mtume Muhammad hili apa

Tema ni mtoto wa nabii Ishmael aliishi Saudi Arabia na ndio likawa jina mji

Sasa wewe kama Kuna mtume mwingine unayemjua aliyetokea Tema ambayo ndio Saudi Arabia ya Sasa mtaje

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.


Yani nyinyi wagalatia product ya mnyama 666 Jahannam inawasubi na Allah anasema humo Jahannam mtakaa milele
 
Kwanza hilo andiko la Quran halipo hivyo umedanganya au sijui kama wewe umedanganywa sijui maana mmezoea kudanganyana

Andiko linasema hivi
Quran 2:62
Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika

Hapo katika walioamini Kuna alama ya koma na kiunganishi( na) hivyo sentence ya kwanza imeishia hapo sentence inayofuata ndio hii

Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika

Yani maana ya hilo andiko ni kwamba pepo ya Allah ipo wazi Kwa yeyete atakaye amini Mungu ni mmoja na siku ya mwisho Yani atakaye amini kwamba Kuna siku atafufuliwa Baada ya kufa kwake

Kwa hiyo hapo automatically hao Mayahudi, Wakristo na wasabai wakiamini hayo ni tayari wamesha silimu na kuwa waislam

Pole sana Kwa kutokujua kiswahili

Kuhusu hayo maandiko yako ya wagalatia, Wakolintho, Tito , Warumi sijui Efeso Yani vitabu vyote vya Paulo hivyo ni vitabu vyenu vilivyokuleteeni ukristo na Kila siku tumasema ukristo ni dini iliyoanzishwa na Paulo na sio Yesu hivyo hakuna la kushangaza


Swali lipo pale pale

Ili kuthibitisha kuwa Quran iliposema hawa manabii walikuwa waislam imedanganya

Lete wewe mandiko yako ya ukweli yanayo sema hawa manabii walikuwa na dini gani?

1) Nabii Nuhu dini yake ni ipi
2) Ibrahim dini yake ni ipi
3) Isihaka dini yake ni ipi
4) Musa dini yake ni ipi
5) Daudi dini yake ni ipi
6) Suleiman dini yake ni ipi
7) Yesu dini yake ni ipi
 


MAKELELE Mengi yamejaa UJINGA na uongo MTUPU.

Usihangaike na MAKELE

1. UISLAMU ULIANZA LINI NA MOHAMED ALIZALIWA LINI?????????......


Hadi nakuonea huruma.
Nje ya Quran ILIYOANDIKWA Mwaka 600 hakuna UISLAMU.


HAKUNA UISLAMU HAKUNA
 
1. DINI ni Nini???.


2. DINI ni kitu Gani??????

DINI ni chombo Gani???????

DINI ni MAHALA Gani???????????

DINI ni Nini???????
 
MAKELELE Mengi yamejaa UJINGA na uongo MTUPU.

Usihangaike na MAKELE

1. UISLAMU ULIANZA LINI NA MOHAMED ALIZALIWA LINI?????????......
Swali zuri sana kama uislamu ulikuwepo kwanin taratibu za kusali za kiislamu alianzisha muhammad

Kama ulikuwepo hakukua na haja ya muhammad kushushiwa quran na kupewa taratibu za kusali
 
Swali zuri sana kama uislamu ulikuwepo kwanin taratibu za kusali za kiislamu alianzisha muhammad

Kama ulikuwepo hakukua na haja ya muhammad kushushiwa quran na kupewa taratibu za kusali


BAHATI Mbaya ZAIDI Quran Imeandikwa na shetani.


QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…