Biblia na Quran vinachangia kiasi gani kwenye Pato la taifa? Watumiaji wa vitabu hivi acheni kuwasakama walevi, wao ndio wanajenga taifa letu

Biblia na Quran vinachangia kiasi gani kwenye Pato la taifa? Watumiaji wa vitabu hivi acheni kuwasakama walevi, wao ndio wanajenga taifa letu

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Inasikitisha sana.

Vitabu vya dini havina Kodi, kama vina Kodi basi ni kidogo sana.

Pombe zinaingizia Serikali faida kubwa kupitia Kodi. Hivyo walevi ndio wajenga nchi yetu.

Barabara zetu, shule, vituo vya afya na mambo mbalimbali ya kimaendeleo yanategemea zaidi walevi kuliko walei.

Cha kushangaza walei ambao wao hawalipi Kodi wanawatukana na kuwasimanga walevi wanaolipa Kodi.

Hebu ndugu wafia dini, acheni kuutumia moyo kufanya tafakari, tumieni akili.
 
Kwa hiyo kwasababu pombe inachangia kiasi kikubwa ndio imeacha kuua?

Je pombe imeacha kusababisha ufukara kwenye familia huku ikileta mipasuko na mvurugano wa familia nyingi?

Je pombe imeacha kuleta madhara ya afya ya ini, moyo, saratani ya koo, saratani ya utumbo mpana na magonjwa lukuki?

Pombe ina madhara, wacha walei wawasimange walevi.

Gharama za kufanya dialysis ni kubwa mno, walevi wengi hawazimudu, mzigo unaangukia kwa ndugu, jamaa na marafiki.
 
Kwa hiyo kwasababu pombe inachangia kiasi kikubwa ndio imeacha kuua?

Je pombe imeacha kusababisha ufukara kwenye familia huku ikileta mipasuko na mvurugano wa familia nyingi?

Je pombe imeacha kuleta madhara ya afya ya ini, moyo, saratani ya koo, saratani ya utumbo mpana na magonjwa lukuki?


Pombe ina madhara, wacha walei wawasimange walevi.

Gharama za kufanya dialysis ni kubwa mno, walevi wengi hawazinudu, mzigo unaangukia kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Unaambiwa unywe kwa kiasi, unywe ukiwa umekula vizuri, unywe maji mengi.

Sasa wewe unafakamia mipombe unategemea Nini?
 
Kwa hiyo kwasababu pombe inachangia kiasi kikubwa ndio imeacha kuua?

Je pombe imeacha kusababisha ufukara kwenye familia huku ikileta mipasuko na mvurugano wa familia nyingi?

Je pombe imeacha kuleta madhara ya afya ya ini, moyo, saratani ya koo, saratani ya utumbo mpana na magonjwa lukuki?


Pombe ina madhara, wacha walei wawasimange walevi.

Gharama za kufanya dialysis ni kubwa mno, walevi wengi hawazinudu, mzigo unaangukia kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Dini zimeua mamilioni na zinaendelea kuua, na sitaki debate Kwa hilo
 
Inasikitisha sana.

Vitabu vya dini havina Kodi, kama vina Kodi basi ni kidogo sana.

Pombe zinaingizia Serikali faida kubwa kupitia Kodi. Hivyo walevi ndio wajenga nchi yetu.

Barabara zetu, shule, vituo vya afya na mambo mbalimbali ya kimaendeleo yanategemea zaidi walevi kuliko walei.

Cha kushangaza walei ambao wao hawalipi Kodi wanawatukana na kuwasimanga walevi wanaolipa Kodi.

Hebu ndugu wafia dini, acheni kuutumia moyo kufanya tafakari, tumieni akili.
Uko vizuri!
 
Inasikitisha sana.

Vitabu vya dini havina Kodi, kama vina Kodi basi ni kidogo sana.

Pombe zinaingizia Serikali faida kubwa kupitia Kodi. Hivyo walevi ndio wajenga nchi yetu.

Barabara zetu, shule, vituo vya afya na mambo mbalimbali ya kimaendeleo yanategemea zaidi walevi kuliko walei.

Cha kushangaza walei ambao wao hawalipi Kodi wanawatukana na kuwasimanga walevi wanaolipa Kodi.

Hebu ndugu wafia dini, acheni kuutumia moyo kufanya tafakari, tumieni akili.
Hivyo vitabu vinatumika kuleta hofu ya MUNGU inayopelekea nchi kwa ujumla kuwa na Amani. Na Amani hiyo ndio chachu ya ninyi walevi kukesha baa na kulewa kwa raha zenu.
 
Shenzi kuna shule inamilikiwa na mlevi? Nyie ndo mnasababisha walevi tuonekane wapuuzi
 
Inasikitisha sana.

Vitabu vya dini havina Kodi, kama vina Kodi basi ni kidogo sana.

Pombe zinaingizia Serikali faida kubwa kupitia Kodi. Hivyo walevi ndio wajenga nchi yetu.

Barabara zetu, shule, vituo vya afya na mambo mbalimbali ya kimaendeleo yanategemea zaidi walevi kuliko walei.

Cha kushangaza walei ambao wao hawalipi Kodi wanawatukana na kuwasimanga walevi wanaolipa Kodi.

Hebu ndugu wafia dini, acheni kuutumia moyo kufanya tafakari, tumieni akili.
Bwana Yesu alikula na kunywa na walevi aidha alitengeneza pombe kwenye harusi ya Kana.....na 1 Timotheo 5:23 inasema..Don't drink only water. You ought to drink a little wine for the sake of your stomach because you are sick so often.
Hiyo ni ki Biblia....Sasa kwa ninyi wajuaji mna mapokeo na tafsiri zenu.
Sema Amina.
 
Back
Top Bottom