Kiko wapi Biden anawasadia ndugu zake wasipate aibu anawaita Hamas kwenye mazungumzo,
😀😀😀 eti Hamas ndiyo hawataki kusimamisha vita
View: https://x.com/suppressednws/status/1796647975105474743?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ile dini imewafanya watu wakawa vilaza kabisa aisee⚡️Israeli Army Radio:
Biden's announcement is actually an #Israeli-American plan to end the war even if Netanyahu's office did not say so
Wameamua kutema bungo kiana Israel wakisema wataonekana wamashindwa vita 🤣🤣🤣
Daaaa!!! Ila wamechapika jamani!! Juzi Hamasi wamesema wako tayari kukubali matakwa yote ya israel ila wasitishe kwanza vita. Naimani sasa wapalestine wamepata funzo kubwa sana, japo ni wabishi ila zamu hii....Wanakumbi.
BREAKING:
🇺🇸🇮🇱 Biden:
"Baada ya diplomasia ya kina kufanywa na timu yangu, na mikutano na wanadiplomasia wa kigeni, Israel imetoa pendekezo jipya."
Ramani ya njia ya usitishaji mapigano unaodumu na kuachiliwa kwa mateka wote. Pendekezo hili limetolewa na Qatar kwa Hamas.
Pendekezo lina awamu tatu. Awamu ya kwanza itadumu kwa muda wa wiki sita, ikiwa ni pamoja na usitishaji kamili wa mapigano, kuondolewa kwa vikosi vya Israel kutoka maeneo yote yenye wakazi wa Gaza, na kuachiliwa kwa wazee, waliojeruhiwa, na mateka wa kike ili kubadilishana na kuachiliwa kwa wafungwa wa Hamas.
Israel imetoa pendekezo, kwamba iwapo hatua ya pili itakamilika, itashuhudia 'kusitishwa kwa kudumu kwa uhasama'.
Baadhi ya watu katika Israeli hawatakubali, na watataka kuendeleza vita kwa muda usiojulikana, lakini tunawahimiza wale wote wanaosimama na Israeli kuunga mkono ramani hii ya njia ya usitishaji wa kudumu wa mapigano.
Marekani itasaidia kuunda makubaliano ya kidiplomasia ili kuzuia vita kati ya Israel na Hezbollah"
t.me/megatron_ron
======================
BREAKING:
🇺🇸🇮🇱 Biden:
"After intensive diplomacy carried out by my team, and meetings with foreign diplomats, Israel has offered a new proposal'
A roadmap to an enduring ceasefire and the release of all hostages. This proposal has been given by Qatar to Hamas.
The proposal has three phases. The first phase will last for six weeks, including a complete ceasefire, a withdrawal of Israeli forces from all populated areas of Gaza, and a release of elderly, wounded, and female hostages in exchange for the release of Hamas prisoners.
Israel has offered a proposal, that if the second stage is completed, it would see a 'permanent cessation of hostilities'
Some people in Israel will not agree, and will want to continue the war indefinitely, but we urge all those who stand with Israel to back this roadmap to a permanent ceasefire.
The U.S. will help forge a diplomatic deal to prevent a war between Israel and Hezbollah"
t.me/megatron_ron
View: https://x.com/megatron_ron/status/1796601568390684696?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Jidanganye! Angalia Al Jazeera kila siku uone mvua ya mabomu unacheza na Marekani wewe. Ndo utajua private jet ya Ruto nani aliikodi itoke Dubai iende kenya kumchukua Ruto kumpeleka Marekani na imsubili Marekani kwa siku nne imrudishe kenya halafu irudi Dubai.
View: https://youtu.be/_Su0jl5iT8g?si=zmpkgs-pEQ3ZxdBC
Hamasi kashinda vita masharti yake yote yamekubaliwa, Israel atoe majeshi yake yote Gaza, arahusu vitu kuingia Gaza, awachie matekwa wa ki Palestine, aijenge Gaza hapa ni America na wake .afala wa kiarabu ndio wataijenga Gaza.
Cha msingi Ha.asi masharti yake yamekubal8ka na hakuna hata starting moja la Israel limekubalika zaidi ya hilo la kuexchange matekwa yeye alijidai mwamba atawako boa kiko wapi.
Wewe hata ufahamu lolote Hamas wamesema wazi Isarel wakikata vita iishe wondoe majeshi yao yote Gaza nani hapo kakubali?Daaaa!!! Ila wamechapika jamani!! Juzi Hamasi wamesema wako tayari kukubali matakwa yote ya israel ila wasitishe kwanza vita. Naimani sasa wapalestine wamepata funzo kubwa sana, japo ni wabishi ila zamu hii....
Wewe hata ufahamu lolote Hamas wamesema wazi Isarel wakikata vita iishe wondoe majeshi yao yote Gaza nani hapo kakubali?Daaaa!!! Ila wamechapika jamani!! Juzi Hamasi wamesema wako tayari kukubali matakwa yote ya israel ila wasitishe kwanza vita. Naimani sasa wapalestine wamepata funzo kubwa sana, japo ni wabishi ila zamu hii....
Wewe punguani kweli kama Gaza magofu unataka Hamas wafanyaje? Nchi zaidi ya 10 ikiwemo Qatar, Saudia, Kuwait wote wamejitolea kuijenga Gaza kwa hiyo unachoongea ni uharo hauna ujalojua.Naona unaongea kwenye keyboard huku ukiwa kipofu wa macho na akili, huoni wala hujui Gaza ilivyokuwa magofu milele na milele, hujui hata nukta jinsi Gaza imeteketezwa na unabakia kusema Hamas wanawapiga Israel, hujui kitu wewe wa kupuuzwa kabisa
Unaongea uharo uzi unahusu Gaza unaleta habari za Ruto.Jidanganye! Angalia Al Jazeera kila siku uone mvua ya mabomu unacheza na Marekani wewe. Ndo utajua private jet ya Ruto nani aliikodi itoke Dubai iende kenya kumchukua Ruto kumpeleka Marekani na imsubili Marekani kwa siku nne imrudishe kenya halafu irudi Dubai.
I thought btn the lines ungepata content ya comment yangu...umeishia kuona jina Ruto tu... hahaha. M16,mosad na CIA wote hawana akili za kutafuta hao mateka ila wewe na hamas yako na elimu yenu ya madrasa ndo mna akili za kuficha mateka. Au wew ukiona IDF wanabomoa magorofa vile unazani wanatafuta mateka 🤣 🤣 🤣 🤣. Subili mpaka ifike mwisho wa mwaka uangalie Gaza itakuwaje na itakuwa chini ya utawala ganiUnaongea uharo uzi unahusu Gaza unaleta habari za Ruto.
Hao Marekani unawaobudu waambie wawasaidie Israel kupata Mateka wao.
Gaza ni ndogo kuzidi Kigamboni leo mwezi wa 9 hawajui mateka walipo.
Biden umeishiwa silaha za msaada kwa mashoga wnzio!!!em kipigwe kwanza at least tufike october hivi ili tujue nani ni naniWanakumbi.
BREAKING:
🇺🇸🇮🇱 Biden:
"Baada ya diplomasia ya kina kufanywa na timu yangu, na mikutano na wanadiplomasia wa kigeni, Israel imetoa pendekezo jipya."
Ramani ya njia ya usitishaji mapigano unaodumu na kuachiliwa kwa mateka wote. Pendekezo hili limetolewa na Qatar kwa Hamas.
Pendekezo lina awamu tatu. Awamu ya kwanza itadumu kwa muda wa wiki sita, ikiwa ni pamoja na usitishaji kamili wa mapigano, kuondolewa kwa vikosi vya Israel kutoka maeneo yote yenye wakazi wa Gaza, na kuachiliwa kwa wazee, waliojeruhiwa, na mateka wa kike ili kubadilishana na kuachiliwa kwa wafungwa wa Hamas.
Israel imetoa pendekezo, kwamba iwapo hatua ya pili itakamilika, itashuhudia 'kusitishwa kwa kudumu kwa uhasama'.
Baadhi ya watu katika Israeli hawatakubali, na watataka kuendeleza vita kwa muda usiojulikana, lakini tunawahimiza wale wote wanaosimama na Israeli kuunga mkono ramani hii ya njia ya usitishaji wa kudumu wa mapigano.
Marekani itasaidia kuunda makubaliano ya kidiplomasia ili kuzuia vita kati ya Israel na Hezbollah"
t.me/megatron_ron
======================
BREAKING:
🇺🇸🇮🇱 Biden:
"After intensive diplomacy carried out by my team, and meetings with foreign diplomats, Israel has offered a new proposal'
A roadmap to an enduring ceasefire and the release of all hostages. This proposal has been given by Qatar to Hamas.
The proposal has three phases. The first phase will last for six weeks, including a complete ceasefire, a withdrawal of Israeli forces from all populated areas of Gaza, and a release of elderly, wounded, and female hostages in exchange for the release of Hamas prisoners.
Israel has offered a proposal, that if the second stage is completed, it would see a 'permanent cessation of hostilities'
Some people in Israel will not agree, and will want to continue the war indefinitely, but we urge all those who stand with Israel to back this roadmap to a permanent ceasefire.
The U.S. will help forge a diplomatic deal to prevent a war between Israel and Hezbollah"
t.me/megatron_ron
View: https://x.com/megatron_ron/status/1796601568390684696?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe punguani kweli kama Gaza magofu unataka Hamas wafanyaje? Nchi zaidi ya 10 ikiwemo Qatar, Saudia, Kuwait wote wamejitolea kuijenga Gaza kwa hiyo unachoongea ni uharo hauna ujalojua.
Huu uharo nani ana muda wa kusoma.Akili za madrassa zero brain kabisa, you are such an arrogant dead minded human being walking, shithole, tutawapiga hadi mnyooke, ujinga ni gharama sana, nyoko sana, hivi hata chanzo cha vita vya Israel kuwapiga Hamas huko Gaza unajua wewe wildebeest?
Nani alianzisha vita? Nani alivamia na kuua na kuteka raia wa Israel na mataifa mbalimbali wakiwa katika sherehe? Hivi ww umebeba kibuyu unafugia nywele tu, ulijua vita vilianza tu without any reason? Eti Hamas wafanyaje? Hivi akili huna wewe swine, Hamas ndio walianzisha vita hivi, hivyo hakuna kuomba visimame, hadi waishe kabisa na kuteketezwa na wewe kama ni supporter wao nenda kajiunge nao nyoko sana, ni kipigwa hadi wapotee kabisa, pumbaf
Tatizo lenu nyie mnafikiria ushindi kupiga wale wanyonge waso kuwa na hatia, mtabaki na huo ujinga maisha yenu kuwauwa watoto, wanawake na wazee na vijana ambao sio makamanda wa Hamasi ni ushindi wa kijinga tu.Vichekesho.Kulazimisha ushindi wa kimaandishi wakati wanakaribia kufutika.🤣
Una uhakika mzee au unaongea tu. Unajua vita ya Sinai Israel walipoteza askari wangapi au unaharisha tuWewe hata ufahamu lolote Hamas wamesema wazi Isarel wakikata vita iishe wondoe majeshi yao yote Gaza nani hapo kakubali?
Toka Taifa la Israel liundwe hawajawahi kupoteza wanajeshi kama kipindi hiki.
Palestina toka 1978 wanauliwa na Israel wewe shabiki mandazi hujui lolote.
View: https://x.com/potus/status/1796640301689311717?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe punguani kweli kama Gaza magofu unataka Hamas wafanyaje? Nchi zaidi ya 10 ikiwemo Qatar, Saudia, Kuwait wote wamejitolea kuijenga Gaza kwa hiyo unachoongea ni uharo hauna ujalojua.
Makafiri hao, watakiona cha moto
View: https://x.com/analysis_2024/status/1796606994037793141?t=AwEkBjl1nR3yer1hxMSPgA&s=19
Wanamalizwa pale Rafah leo vifaru na magari 34 yame pigwa ona Wanajeshi wa Netanyahu wanavyo enda motoni mapema
Wewe huwa ni mpuuzi tu
Sasa hizo zina kuwa ni akili gani? Kwani sio mala ya kwanza kujenga, wanajenga sawa, baada ya muda tena wana lianzisha, zina bomolewa tena!!! Ila zamu hii hapana!! Na Netanyau amesema haachi vita hadi lengo lake litimie!!