Biden ameitaka Israel kukubali kusitisha vita Gaza

Biden ameitaka Israel kukubali kusitisha vita Gaza

Kumbe napigizana kelele na mtu asiyejua kitu!! Ile video ya yule mtz aliyekamatwa na hamas na kupigwa risasi hadharani,?!! Hiyo dini ni shida wao kwa wao tu kila siku ni kuuana sembuse dini nyingine?!! Bila USA, hii dunia isingekalika kabisa!! Hamas huko imebidi wakubali road map aliyoitoa USA, ya kumaliza vita, ila kiboko ya waisram duniani NETANYAU, amekataa kuwa hadi hamas wateketezwe kabisaaaa!!!
Huna uhakika unachokiongea, weka hapa clip kila mtu aone kama ni yeye, na wale ni hamas!

Halafu waisram ndio nini?
 
Huna uhakika unachokiongea, weka hapa clip kila mtu aone kama ni yeye, na wale ni hamas!

Halafu waisram ndio nini?
Ni wale wajinga!! Wanaohamasisha vita wako, Beirut, na Lebanon, wsjinga ndio wansumia!!
 
Mazayuni sio kwao huko, waondoke
Kafiri wewe soma Quran Al-Ma`idah 5:20 - 23 ujue Ardhi ni ya Nani na nani kawapa fake muslim wewe unapingana na Allah.

وَإِذْ قَالَ مُوسَىٰ لِقَوْمِهِ يَا قَوْمِ اذْكُرُوا نِعْمَةَ اللَّهِ عَلَيْكُمْ إِذْ جَعَلَ فِيكُمْ أَنْبِيَاءَ وَجَعَلَكُمْ مُلُوكًا وَآتَاكُمْ مَا لَمْ يُؤْتِ أَحَدًا مِنَ الْعَالَمِينَ

Al-Barwani - swahili
20 Na pale Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu zilizo juu yenu, alipo wateuwa Manabii kati yenu, na akakufanyeni watawala, na akakupeni ambayo hakuwapa wowote katika walimwengu.

يَا قَوْمِ ادْخُلُوا الْأَرْضَ الْمُقَدَّسَةَ الَّتِي كَتَبَ اللَّهُ لَكُمْ وَلَا تَرْتَدُّوا عَلَىٰ أَدْبَارِكُمْ فَتَنْقَلِبُوا خَاسِرِينَ

Al-Barwani - swahili
21 Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika.

قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّ فِيهَا قَوْمًا جَبَّارِينَ وَإِنَّا لَنْ نَدْخُلَهَا حَتَّىٰ يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِنْ يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِنَّا دَاخِلُونَ

Al-Barwani - swahili
22 Wakasema: Ewe Musa! Huko wako watu majabari. Nasi hatutaingia huko mpaka wao watoke humo. Wakitoka humo hapo tutaingia.

قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّا لَنْ نَدْخُلَهَا أَبَدًا مَا دَامُوا فِيهَا ۖ فَاذْهَبْ أَنْتَ وَرَبُّكَ فَقَاتِلَا إِنَّا هَاهُنَا قَاعِدُونَ

قَالَ رَجُلَانِ مِنَ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَنْعَمَ اللَّهُ عَلَيْهِمَا ادْخُلُوا عَلَيْهِمُ الْبَابَ فَإِذَا دَخَلْتُمُوهُ فَإِنَّكُمْ غَالِبُونَ ۚ وَعَلَى اللَّهِ فَتَوَكَّلُوا إِنْ كُنْتُمْ مُؤْمِنِينَ

Al-Barwani -Swahili
Watu wawili miongoni mwa wachamngu ambao Mwenyezi Mungu amewaneemesha, walisema: Waingilieni kwa mlangoni. Mtakapo waingilia basi kwa yakini nyinyi mtashinda. Na mtegemeeni Mwenyezi Mungu ikiwa nyinyi ni Waumini.

Al-Barwani - Swahili
24 Wakasema: Ewe Musa! Sisi hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo humo. Basi nenda wewe na Mola wako Mlezi mkapigane. Sisi tutakaa hapa hapa.

قَالَ رَبِّ إِنِّي لَا أَمْلِكُ إِلَّا نَفْسِي وَأَخِي ۖ فَافْرُقْ بَيْنَنَا وَبَيْنَ الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ
Al-Barwani
25 Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika mimi similiki ila nafsi yangu na ndugu yangu. Basi tutenge na hawa watu wapotovu.
قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ ۛ أَرْبَعِينَ سَنَةً ۛ يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ ۚ فَلَا تَأْسَ عَلَى الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ
Al-Barwani
26 (Mwenyezi Mungu) akasema: Basi nchi hiyo wameharimishiwa muda wa miaka arubaini, watakuwa wakitanga-tanga katika ardhi. Basi wewe usiwasikitikie watu wapotovu.
 
Wewe punguani kweli hujui lolote vita ya Sinai ndiyo vita gani? Ebu kwa Faida ya JF elezea hiyo vita ya Sinai, nyie walokole mnadanganyana sana😀

Tufahanishe walikufa askari wangapi.
Yom kippur 1973 labda nikusaidie. Halafu sio kila anaeandika hapa ni mlokole ujue.
 
Yom kippur 1973 labda nikusaidie. Halafu sio kila anaeandika hapa ni mlokole ujue.
Vita vya Yom Kippur vya 1973 vinaitwa vita ya Ramadhan zaidi. Wanajeshi 2,500 wa Israeli waliouawa na Waarabu 15,000 walikufa, nimekuambia hamna kipindi ambacho kwenye historia ya Israel wamepoteza wanajeshi kama vita vya Gaza, wewe ukapinga ukaja na hoja kuwa siyo kweli unaja na habari ya vita vya gorani bila data sasa nakupa darsa halafu unaweza kuwa siyo mlokole lakini una fikra za kilokole, unajua serikali ya Israel wameishatangaza wanajeshi wangapi wameishafariki mpaka sasa?

Soma hii kiduchu.
Israeli Media: "The number of injured Israeli soldiers is estimated to be 20,000 since the Battle of Al-Aqsa Flood began, and the number of seriously injured soldiers is estimated to be 8,500...

If the Israelis can give such a figure, just imagine the real number..

Hawa ni majeruhi tu idadi ya vifo Israel wanaficha😀
 
Tunaomba sosi ya habar yako acha povu
Vita vya Yom Kippur vya 1973 vinaitwa vita ya Ramadhan zaidi. Wanajeshi 2,500 wa Israeli waliouawa na Waarabu 15,000 walikufa, nimekuambia hamna kipindi ambacho kwenye historia ya Israel wamepoteza wanajeshi kama vita vya Gaza, wewe ukapinga ukaja na hoja kuwa siyo kweli unaja na habari ya vita vya gorani bila data sasa nakupa darsa halafu unaweza kuwa siyo mlokole lakini una fikra za kilokole, unajua serikali ya Israel wameishatangaza wanajeshi wangapi wameishafariki mpaka sasa?

Soma hii kiduchu.

Israeli Media: "The number of injured Israeli soldiers is estimated to be 20,000 since the Battle of Al-Aqsa Flood began, and the number of seriously injured soldiers is estimated to be 8,500...

If the Israelis can give such a figure, just imagine the real number..

Hawa ni majeruhi tu idadi ya vifo Israel wanaficha😀
 
Back
Top Bottom