Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
USA kama anapesa asinge kopa kwa Mchina.Jidanganye! Angalia Al Jazeera kila siku uone mvua ya mabomu unacheza na Marekani wewe. Ndo utajua private jet ya Ruto nani aliikodi itoke Dubai iende kenya kumchukua Ruto kumpeleka Marekani na imsubili Marekani kwa siku nne imrudishe kenya halafu irudi Dubai.
Una knowledge kidogo kiasi gani mambo ya finance na credit? Hakuna tajiri asiye daiwaUSA kama anapesa asinge kopa kwa Mchina.
Afu huyo anacho fanikiwa ni sababu ya wale wafalme wa Saudia wangemkatia kudeal na dollars zamani uchumi wake ungeanguka.
We jifurahishe tu na usuper power fake kama mlivyo mkuza Israel eti ni Super power pale middle east
Majibu ya Netanyahu yanafurahisha sana... The war will not stop hadi wajalana wadedi... hukumu ilishatolewa mbona kitambo kuwa Sinwar lazima adedishwe...Wanakumbi.
BREAKING:
๐บ๐ธ๐ฎ๐ฑ Biden:
"Baada ya diplomasia ya kina kufanywa na timu yangu, na mikutano na wanadiplomasia wa kigeni, Israel imetoa pendekezo jipya."
Ramani ya njia ya usitishaji mapigano unaodumu na kuachiliwa kwa mateka wote. Pendekezo hili limetolewa na Qatar kwa Hamas.
Pendekezo lina awamu tatu. Awamu ya kwanza itadumu kwa muda wa wiki sita, ikiwa ni pamoja na usitishaji kamili wa mapigano, kuondolewa kwa vikosi vya Israel kutoka maeneo yote yenye wakazi wa Gaza, na kuachiliwa kwa wazee, waliojeruhiwa, na mateka wa kike ili kubadilishana na kuachiliwa kwa wafungwa wa Hamas.
Israel imetoa pendekezo, kwamba iwapo hatua ya pili itakamilika, itashuhudia 'kusitishwa kwa kudumu kwa uhasama'.
Baadhi ya watu katika Israeli hawatakubali, na watataka kuendeleza vita kwa muda usiojulikana, lakini tunawahimiza wale wote wanaosimama na Israeli kuunga mkono ramani hii ya njia ya usitishaji wa kudumu wa mapigano.
Marekani itasaidia kuunda makubaliano ya kidiplomasia ili kuzuia vita kati ya Israel na Hezbollah"
t.me/megatron_ron
======================
BREAKING:
๐บ๐ธ๐ฎ๐ฑ Biden:
"After intensive diplomacy carried out by my team, and meetings with foreign diplomats, Israel has offered a new proposal'
A roadmap to an enduring ceasefire and the release of all hostages. This proposal has been given by Qatar to Hamas.
The proposal has three phases. The first phase will last for six weeks, including a complete ceasefire, a withdrawal of Israeli forces from all populated areas of Gaza, and a release of elderly, wounded, and female hostages in exchange for the release of Hamas prisoners.
Israel has offered a proposal, that if the second stage is completed, it would see a 'permanent cessation of hostilities'
Some people in Israel will not agree, and will want to continue the war indefinitely, but we urge all those who stand with Israel to back this roadmap to a permanent ceasefire.
The U.S. will help forge a diplomatic deal to prevent a war between Israel and Hezbollah"
t.me/megatron_ron
View: https://x.com/megatron_ron/status/1796601568390684696?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wale watz waliouawa kikatili na Hamasi walikuwa ni wa Israeli?!! Na hii dunia kama pasingekuwa na USA, na ISRAELI, tungeishi kwa tabu sana!!Watanzania wengine ni watu wa ajabu sana, upo upande wa mazayuni unapata faida gani? Nyie watu ni hatari sana, nikimkuta mmoja wenu ameshikiliwa na hamas kwa kusapoti kafiri wa kizayuni aise, nitaondoka na kichwa chake.
Wale watz waliouawa kikatili na Hamasi walikuwa ni wa Israeli?!! Na hii dunia kama pasingekuwa na USA, na ISRAELI, tungeishi kwa tabu sana!!
Eh tizameni hili lishehe... yaani hadi Video Hamas wamerecord wakimuua kikatiri Joshua Mollel wewe unakuja kuwatetea hadharani nyau wewe.. Mjalana Kafiri ni Allah wenu anayeapa kwa Nyota ziangukazo...Hii dunia bila mazayuni na mmarekani ingelikua sehemu salama na amani.
Kuhusu watanzania waliouawa, hakuna ushahidi hadi leo kama ni hamas wamehusika, na kama ni hamas wamehusika basi ninaamini kabisa hamas walikua sahihi kufanya hivyo if walikua wakishirikiana na makafiri wenzao.
Wapalestina na Waisrael wanataka amaniKiko wapi Biden anawasadia ndugu zake wasipate aibu anawaita Hamas kwenye mazungumzo,
๐๐๐ eti Hamas ndiyo hawataki kusimamisha vita
View: https://x.com/suppressednws/status/1796647975105474743?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wapalestina na Waisrael wanataka amani
Mimi nimfanya buashara siku zote we ukiwa unadaiwa unakuwa ni mtu wakulipa faida tu, na usipo lipa ndio utaipata sa we kama unadhani deni ni utajiri basi unajisumbua tu.Una knowledge kidogo kiasi gani mambo ya finance na credit? Hakuna tajiri asiye daiwa
Kwao wapi?Mazayuni sio kwao huko, waondoke
Endelea kuotaWanakumbi.
BREAKING:
๐บ๐ธ๐ฎ๐ฑ Biden:
"Baada ya diplomasia ya kina kufanywa na timu yangu, na mikutano na wanadiplomasia wa kigeni, Israel imetoa pendekezo jipya."
Ramani ya njia ya usitishaji mapigano unaodumu na kuachiliwa kwa mateka wote. Pendekezo hili limetolewa na Qatar kwa Hamas.
Pendekezo lina awamu tatu. Awamu ya kwanza itadumu kwa muda wa wiki sita, ikiwa ni pamoja na usitishaji kamili wa mapigano, kuondolewa kwa vikosi vya Israel kutoka maeneo yote yenye wakazi wa Gaza, na kuachiliwa kwa wazee, waliojeruhiwa, na mateka wa kike ili kubadilishana na kuachiliwa kwa wafungwa wa Hamas.
Israel imetoa pendekezo, kwamba iwapo hatua ya pili itakamilika, itashuhudia 'kusitishwa kwa kudumu kwa uhasama'.
Baadhi ya watu katika Israeli hawatakubali, na watataka kuendeleza vita kwa muda usiojulikana, lakini tunawahimiza wale wote wanaosimama na Israeli kuunga mkono ramani hii ya njia ya usitishaji wa kudumu wa mapigano.
Marekani itasaidia kuunda makubaliano ya kidiplomasia ili kuzuia vita kati ya Israel na Hezbollah"
t.me/megatron_ron
======================
BREAKING:
๐บ๐ธ๐ฎ๐ฑ Biden:
"After intensive diplomacy carried out by my team, and meetings with foreign diplomats, Israel has offered a new proposal'
A roadmap to an enduring ceasefire and the release of all hostages. This proposal has been given by Qatar to Hamas.
The proposal has three phases. The first phase will last for six weeks, including a complete ceasefire, a withdrawal of Israeli forces from all populated areas of Gaza, and a release of elderly, wounded, and female hostages in exchange for the release of Hamas prisoners.
Israel has offered a proposal, that if the second stage is completed, it would see a 'permanent cessation of hostilities'
Some people in Israel will not agree, and will want to continue the war indefinitely, but we urge all those who stand with Israel to back this roadmap to a permanent ceasefire.
The U.S. will help forge a diplomatic deal to prevent a war between Israel and Hezbollah"
t.me/megatron_ron
View: https://x.com/megatron_ron/status/1796601568390684696?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Kumbe napigizana kelele na mtu asiyejua kitu!! Ile video ya yule mtz aliyekamatwa na hamas na kupigwa risasi hadharani,?!! Hiyo dini ni shida wao kwa wao tu kila siku ni kuuana sembuse dini nyingine?!! Bila USA, hii dunia isingekalika kabisa!! Hamas huko imebidi wakubali road map aliyoitoa USA, ya kumaliza vita, ila kiboko ya waisram duniani NETANYAU, amekataa kuwa hadi hamas wateketezwe kabisaaaa!!!Hii dunia bila mazayuni na mmarekani ingelikua sehemu salama na amani.
Kuhusu watanzania waliouawa, hakuna ushahidi hadi leo kama ni hamas wamehusika, na kama ni hamas wamehusika basi ninaamini kabisa hamas walikua sahihi kufanya hivyo if walikua wakishirikiana na makafiri wenzao.
Wewe punguani kweli hujui lolote vita ya Sinai ndiyo vita gani? Ebu kwa Faida ya JF elezea hiyo vita ya Sinai, nyie walokole mnadanganyana sana๐U
Una uhakika mzee au unaongea tu. Unajua vita ya Sinai Israel walipoteza askari wangapi au unaharisha tu
Mnamezeshwa propanganda sababu nyie ni wajinga wa mwisho, unajua Baba yake Joshua alienda mpaka Israel na kuuliza mwanae alipo yule kwenye video siyo mwangu mpaka leo hawajapewa jibu wewe Yahudi jeusi la Tukuyu pofu linakutoka.Kumbe napigizana kelele na mtu asiyejua kitu!! Ile video ya yule mtz aliyekamatwa na hamas na kupigwa risasi hadharani,?!! Hiyo dini ni shida wao kwa wao tu kila siku ni kuuana sembuse dini nyingine?!! Bila USA, hii dunia isingekalika kabisa!! Hamas huko imebidi wakubali road map aliyoitoa USA, ya kumaliza vita, ila kiboko ya waisram duniani NETANYAU, amekataa kuwa hadi hamas wateketezwe kabisaaaa!!!
Majibu ya Netanyahu yanafurahisha sana... The war will not stop hadi wajalana wadedi... hukumu ilishatolewa mbona kitambo kuwa Sinwar lazima adedishwe...
PM Benjamin Netanyahu: Gaza war won't end until Hamas destroyed
View attachment 3005844
Hivi mnadhani Netanyahu yupo Madarakani kwa ajili ya kuwafurahisha nyie wapumbavu... Mshachezea damu ya myahudi imechemka bado sana kupoa... Mnakaa kaa vijiweni mnajidanganya watu wapo kazini endeleeni kujidanganya eti sijui watoto kina mama wanauliwa... mnaambiwa na hamas hii vita sio ya maneno inarecordiwa yote hatusikilizi wapuuzi.. ukicheza Gamble huruhusiwi kuhesabu until the game is done... ndio akili sasa Hamas na nyie kazi kuhesabu tu
Ila ujinga wangu hauwazidi hao wavaa vipedo, wanaoanzisha vita, halafu badaye wategemee huruma!! Na ndio maana zamu hii dunia nzima imewaacha kwanza wachapike!! Toka huo mzozo umeanza hii ya zamu hii ni funga kazi, mi nilitaka iendelee kama miezi sita tena mbele.Mnamezeshwa propanganda sababu nyie ni wajinga wa mwisho, unajua Baba yake Joshua alienda mpaka Israel na kuuliza mwanae alipo yule kwenye video siyo mwangu mpaka leo hawajapewa jibu wewe Yahudi jeusi la Tukuyu pofu linakutoka.
Una umri gani? Vita vya Palestina na Israel umevijulia JF ndiyo maana nakuuita punguani Palestina ndiyo kaanzosha vita na Israel? Jinga la kiwango cha mwisho.Ila ujinga wangu hauwazidi hao wavaa vipedo, wanaoanzisha vita, halafu badaye wategemee huruma!! Na ndio maana zamu hii dunia nzima imewaacha kwanza wachapike!! Toka huo mzozo umeanza hii ya zamu hii ni funga kazi, mi nilitaka iendelee kama miezi sita tena mbele.