Biden invited 110 Countries - Summit for Democracy, Tanzania mpya haimo!

tony blair arudishe pesa zetu maana kazi ya kutusafisha kimataifa imemshinda(jokes)
 
Burundi, Rwanda, Uganda na Tanzania nje, aibu sn na hongera kwa wakenya
Unatoa Hongera kwa Kenya, kwani kuna lipi la ziada?
Marekani ni wasaka maslahi..usitegemee hao waje kukupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ndio ujione binadamu.

Jenga heshima uheshimiwe.
 
Tanzania tayari tunademokrasia karibu sawa na Marekani,

Unataka atualike tujafanye nini?

Mwenye Afya hahitaji Tabibu mkuu
siyo kweli inawezekana anatuona kidemokrasia kama anavyoiona Korea ya kaskazini
 
Unatoa Hongera kwa Kenya, kwani kuna lipi la ziada?
Marekani ni wasaka maslahi..usitegemee hao waje kukupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ndio ujione binadamu.

Jenga heshima uheshimiwe.
heshima ya kidemokrasia Kenya wameijenga ndiyo maana wanaheshimika.....au pengine waalikwa wote ni symphasizers wa ushoga
 
Unatoa Hongera kwa Kenya, kwani kuna lipi la ziada?
Marekani ni wasaka maslahi..usitegemee hao waje kukupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ndio ujione binadamu.

Jenga heshima uheshimiwe.
Pamoja na heshima yako umaskini umepungua? lazima uwe na mahusiano mazuri na matajiri, aibu kubwa sn EA Kenya pekee wameitwa
 
Hiyo ndio maana ya tuko kwenye right truck, hatuna tofauti na mbuni anayezika kichwa mchangani akitumai kuwa yupo mafichoni, a. k. a chimbo. 🤔.
 
Burundi, Rwanda, Uganda na Tanzania nje, aibu sn na hongera kwa wakenya
Bila shaka rais wao akirudi atarudi na rundo na mihela ya kuwagawia wanachi wake na kuondoka na umasikini.

Tutegemee kenya iwe kama usa kuanzia siku ha kwanza ya huo mkutano
 
The virtual Summit from December 9-10, 2021, most of the programming will be livestreamed on Further Information - The Summit for Democracy - United States Department of State
The Summit focuses on three themes:  strengthening democracy and countering authoritarianism, fighting corruption, and promoting respect for human rights.

Toka Maktaba:

 
Alikuwa karibu na rais Samia Glasgow. Labda alimnong'oneza Rais Samia na kumualika White House.
Desemba 9 na 10.
 
Heeee!
 
Una hasiraaaa!
 
Inaweza kuwa haimo kwenye hivyo vikao vya porojo za demokrasia ila iko kwenye mambo ya msingi..

Muulize Rais wa Zambia baada ya kualikwa Ikulu ya White house ilifitiwa mzigo wake wa madeni?

Sisi tunaalikwa kwenye mambo ya msingi na yenye matokea kama hivi👇👇







 
Tanzania tayari tunademokrasia karibu sawa na Marekani,

Unataka atualike tujafanye nini?

Mwenye Afya hahitaji Tabibu mkuu
Ila cha ajabu ilioje tulitaka sanaaa huyu mama aonane na Biden kipindi cha mkutano wa UN hadi yule Mulamula akatangulia mwezi mzima na bado alitoka kapa hata kupiga nae picha tu (ujiko) jamaa alikataa 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…