Biden: Marekani haitashiriki katika Mgogoro kama Israel italipiza kisasi kwa Iran

Biden: Marekani haitashiriki katika Mgogoro kama Israel italipiza kisasi kwa Iran

Iyo kupanguliwa ni kauli ya Israel ambao hawajawahi kuwa wakweli kwenye taarifa zao tokea Hamas walipowatia adabu wamekwama kueleza dunia ukweli madhara wanayopata mpaka juzi wametishia kuifungia Aljazeera kutoa taarifa zao kule Israel., Kamanda wa Iran amesema mafanikio ya walichokikusudia ni 100% na ameitahadharisha tena na tena Israel kama watajibu wataendelea kupata kitu kizito zaidi
Ushahidi wa hayo madhara yako wapi? Tatizo lenu nyie wenyewe wafia dini mna silaha ya ubishi kila kitu mnalazimisha kwa uwongo sasahivi mnakimbilia neno propaganda basi lete taarifa za aljazeera tuzione za kweli
 
aliepangua ni marekani uingeleza na shoga zake wengine, right angeachwa peke yake ahaha angepoteana
Kwani jana iran mbona alishirikiana na washirika wake kuishambulia israel pande zote kama hezbollah, houth, hamas, makundi ya kigaidi ya iraq huoni nae iran hakuwa pekee yake
 
Israel kabal ya shambulio la Iran juzi alikuwa anapiga kelele sana kwamba yeye ashaweka mitambo yake sawa na jeshi lake liko tayari kwa chochote kitakachotokea kutoka Iran, vipi unakuja hapa na kubana pua eti simba anakucha ule majani sijui unenepe kwanza
Kwani una taarifa gani na madhara ya hizo drone elfu 2 zilizopigwa🤣🤣,zimeua watu wangapi???

Mimi taarifa niliyo nayo ni kwamba mtoto wa kike wa miaka 14 kaangukiwa na vipande vya moja wapo akachubuka komwe tu basi,na baadhi zilinasa zenyewe kwenye nyaya za umeme,hapo tel aviv watu tumebetia mechi juzi zimepigwa za akina maccabi kama kawaida.

Sipendi wala kushabikia vita.
 
Ushahidi wa hayo madhara yako wapi? Tatizo lenu nyie wenyewe wafia dini mna silaha ya ubishi kila kitu mnalazimisha kwa uwongo sasahivi mnakimbilia neno propaganda basi lete taarifa za aljazeera tuzione za kweli
Anazo sasa,labda amsubiri sheikh mwaipopo apost youtube🤣🤣
 
Iyo kupanguliwa ni kauli ya Israel ambao hawajawahi kuwa wakweli kwenye taarifa zao tokea Hamas walipowatia adabu wamekwama kueleza dunia ukweli madhara wanayopata mpaka juzi wametishia kuifungia Aljazeera kutoa taarifa zao kule Israel., Kamanda wa Iran amesema mafanikio ya walichokikusudia ni 100% na ameitahadharisha tena na tena Israel kama watajibu wataendelea kupata kitu kizito zaidi
Israel ilipiga bomu ubalozi wa Iran ikawaua Wairan saba akiwemo Jenerali. Iran imerusha makombora zaidi ya 300, nenda Aljazeera hao wakweli wako tuletee taarifa hayo makombora na drones za Iran vimeleta madhara gani.

Makombora 300 hata mtu mmoja hafi. Sasa si bora wangerusha mawe, na penyewe vibaka wakirusha mawe mia tatu lazima wafe watu wawili watatu hivi.
 
Acha uongo, kipigo kwa Iran kipo pale pale na US and allies of Israel wameshajipanga, kama huamini subiri uone, US = Israel = one nation na Jews ndio wanaendesha US na dunia hii, Jews will never let it go for free, kisasi kikubwa mno kinakuja, na ni cha heavy military strike na US ndio ataongoza kipigo, vifaa vya kijeshi vingi vya US vimesogezwa Middle East to destroy Iran.
Hukatazwi kuota dogo utatuamsha time ndoto imeisha 😄
 
Hukatazwi kuota dogo utatuamsha time ndoto imeisha 😄
Adabu iwepo, ujue mie baba yako wa kambo muulize mama, unaniita dogo, what a waste..!! Subiria few days ahead ndio utajua kwanini Myahudi anaongoza hii dunia, Iran itapotea kabisa kuliko Iraq or Aghanistan or Libya
 
Adabu iwepo, ujue mie baba yako wa kambo muulize mama, unaniita dogo, what a waste..!! Subiria few days ahead ndio utajua kwanini Myahudi anaongoza hii dunia, Iran itapotea kabisa kuliko Iraq or Aghanistan or Libya
We mama yako c alikuzaa we hata hajui nani kampa mimba, afu unataka kuleta ujinga hapa.
 

View: https://youtu.be/9OYKd1reSPc?si=Fp_JpQ0S_QCaKBBS

Dalili hi hapa Israel kapigika msikieni John Bolton, hawawezi kurudisha pigo Iran ni moto mkali aisay, hata US kalijua hilo kamwambie dogo Netanyahu don't 😄


Afu huyu kichaa anadhani Iran wajinga watawachia Israel aruke free kwenye anga lao kama wao. Nuclear Ya Iran utawachiwa ukaipigie kama anavyo ongea huyu mjewish😆
 
Israel ilipiga bomu ubalozi wa Iran ikawaua Wairan saba akiwemo Jenerali. Iran imerusha makombora zaidi ya 300, nenda Aljazeera hao wakweli wako tuletee taarifa hayo makombora na drones za Iran vimeleta madhara gani.

Makombora 300 hata mtu mmoja hafi. Sasa si bora wangerusha mawe, na penyewe vibaka wakirusha mawe mia tatu lazima wafe watu wawili watatu hivi.
Wewe umezoea ukisikia nchi fulani imeshambuliwa uanze kuhesabu idadi ya watu waliokufa, narudia Iran haikukusudia kuuwa watu walilenga kwenye base ya kijeshi ya IDF na bbc walisema Israel ilikiri kujeruhiwa kwa watu 14 ingawa hawakukusudiwa watu.

Mfano mwengine ni vita ya Ukraine na Russia ni lini umemsikia putini akikiri madhara anayoyapata kutoka jeshi la Ukraine sasa mwaka wa 3, utapata picha kwamba nchi hizi za kidikteta zinaficha habari za ukweli, ivi tuseme hakuna wanajeshi wa russia waliouliwa ni jeshi la Ukraine?

Sasa kama Israel wanajisifu kuwa na mitambo ya kuzuia makombora yote yaliyotoka Iran na kwamba waliyazuia wanashindwa nini kurudia kuishambulia Iran? hofu yao ni nini wakati kabla ya Iran kujibu Israel ilikuwa inapiga kelele vyombo vya habari vyote vya ulimwengu kwamba wao jeshi lao liko tayari kwa vita nchi yoyote itakayoishambulia Israel na wako standby kusubiri ili waanze mashambulizi on the spot, ni kwanini Israel wamekwama hadi sasa kurusha hata kajiwe kadogo kule Iran?

US mume wa Israel ameuchomoa amemwabia Netanyahu yeye hatashiriki kulipiziana visasi na Iran hivyo ukiyatimba ni wewe mwenyeo, myahudi wameshaeka vikao tele hawapati jibu wanaonea raia na wananchi wa Gaza tu,
 
Israel ilipiga bomu ubalozi wa Iran ikawaua Wairan saba akiwemo Jenerali. Iran imerusha makombora zaidi ya 300, nenda Aljazeera hao wakweli wako tuletee taarifa hayo makombora na drones za Iran vimeleta madhara gani.

Makombora 300 hata mtu mmoja hafi. Sasa si bora wangerusha mawe, na penyewe vibaka wakirusha mawe mia tatu lazima wafe watu wawili watatu hivi.
Huna akili hiyo asilimia moja ya makombora iliyo penya iwapo Iran ingeielekeza kwenye makazi ya raia na mahospitalini yangeshindwa kuuwa ?
Au unadhani jeshi la Iran ni sawa na hilo jeshi lenu la mashoga ambalo huwa linauwa watu hovyo hovyo kama vichaa?
Alafu kipindi makombora yanarushwa akina Netanyau siwalikuwa wamejificha kwenye mashimo kama mapanya buku?
 
Israel ni mtoto aliedekezwa sana anatukana watu wazima halafu anajificha kwenye migongo wa baba zake Maarekani na Ulayab sasa safari kamchokoza kichaa Iran, kakutana na bakora ambazo hakutegemea baba zake wote wameambiwa wakiingilia nao watachezea kichapo
 
Huna akili hiyo asilimia moja ya makombora iliyo penya iwapo Iran ingeielekeza kwenye makazi ya raia na mahospitalini yangeshindwa kuuwa ?
Au unadhani jeshi la Iran ni sawa na hilo jeshi lenu la mashoga ambalo huwa linauwa watu hovyo hovyo kama vichaa?
Alafu kipindi makombora yanarushwa akina Netanyau siwalikuwa wamejificha kwenye mashimo kama mapanya buku?
Majenerali wenu wameuwawa. Mmepiga matofali sasa hivi unalialia etu wangetaka kupiga makazi na mahospitalini, wangewezaje wakati makombora yenyewe ni kama mafataki ya mwaka mpya. Hata kuua mbwa mmoja yameshindwa😂
 
Back
Top Bottom