Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeitaka vita awajibike nayo.Unachokoza vichaa ukitegemea wajomba wakusaidie kwenye kipigo?Hamas ni panya wa kwenye mashimo.Hapo MK254, Moisemusajiografii na wale wengine pande za buza kule ni mwendo wa kupita juu kwa juu wakijisemea "hiiiiiiii ..iii!"
Aliyeitaka vita awajibike nayo.Unachokoza vichaa ukitegemea wajomba wakusaidie kwenye kipigo?Hamas ni panya wa kwenye mashimo.
Wewe ng'ang'ania kumjua mchokozi huku wapwa zako wanabondwa huko.Wachokozi walichokoza tokea 1947 huko. Wajomba ndiyo hao wanaishia, wamebaki wajomba uchwara kina Moisemusajiografii, MK254 na wenzao pande za Buza huko.
Wachokozi walichokoza tokea 1947 huko. Wajomba ndiyo hao wanaishia, wamebaki wajomba uchwara kina Moisemusajiografii, MK254 na wenzao pande za Buza huko.
Wewe ng'ang'ania kumjua mchokozi huku wapwa zako wanabondwa huko.
"Bulaza Jei" kwa kujiliwaza haujambo!5. Kama Beberu ndiyo huyu, kumbe kabaki na nini Natenyahu?
Bilashaka mmebaki na nduzo Buza tu!
Muingereza na mmarekani ndio aliowapeleka hao Israel hapo Palestina hiyo 1947.
Huyo Biden ni mnafiki tuu na kama anakupumbuza na kupumbaza wajinga
Jirani.........ushaswali kwanza 🤣🤣🤣🤣1. Yamemkuta yanayo mstahili Natenyahu:
View attachment 2959335
2. Yanaweza kuwapo makavu kuliko haya?
View attachment 2959340
3. Kwamba:
View attachment 2959352
4. Haya mengine ndiyo zile longo longo zisizotakikana:
View attachment 2959342
5. Kama Beberu ndiyo huyu, kumbe kabaki na nini Natenyahu?
1. Amri ya kwanza kusimama vita:
Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!
1. Kumekucha! 2. Huku kuna watoa misaada kawauwa kwa makusudi, kule kuna jingine na Iran linatokotoka vilivyo; kavunja Geneva convention kwa kushambulia consulate ya wengine ugenini. 3. Alimradi mwana mkaidi kazini! 4. Sasa amri anayoielewa vyema imeshatoka; tena ya babaake kutokea white...www.jamiiforums.com
Majibu: Bandari ya Ashdod ikafunguka, na aliyeapa kususa mazungumzo akarejea mezani.
2. Amri ya pili Hii hapa, "Toka Gaza!"
Majibu: tayari anatoka Gaza akidai kurudi si mbali?!
3. Halafu misukule ya Buza inasema pumbaza wajinga?! Basi wajinga hao ni ninyi!
Jirani kwema 🤣🤣🤣🤣🤣1. Amri ya kwanza kusimama vita:
Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!
1. Kumekucha! 2. Huku kuna watoa misaada kawauwa kwa makusudi, kule kuna jingine na Iran linatokotoka vilivyo; kavunja Geneva convention kwa kushambulia consulate ya wengine ugenini. 3. Alimradi mwana mkaidi kazini! 4. Sasa amri anayoielewa vyema imeshatoka; tena ya babaake kutokea white...www.jamiiforums.com
Majibu: Bandari ya Ashdod ikafunguka, na aliyeapa kususa mazungumzo akarejea mezani.
2. Amri ya pili Hii hapa, "Toka Gaza!"
Majibu: tayari anatoka Gaza akidai kurudi si mbali?!
3. Halafu misukule ya Buza inasema pumbaza wajinga?! Basi wajinga hao ni ninyi!
Waislamu bhana 🤣🤣🤣Wachokozi walichokoza tokea 1947 huko. Wajomba ndiyo hao wanaishia, wamebaki wajomba uchwara kina Moisemusajiografii, MK254 na wenzao pande za Buza huko.
Marekani na Uingereza ndio wanaoipiga Gaza kipi hauelewi Mkuu.
Jirani kwema 🤣🤣🤣🤣🤣
Umesema Ntenyau ASIMAMISHE NINI 🤣🤣🤣🤣🤣????
Kasema lini.....kafiri Biden.......🤣🤣😂Kwa hiyo jirani yako ni Biden? Hayo siyo maneno yangu ndugu hata kama Yana kuuma mno!
View attachment 2959383
Pole eeh! 🤣🤣
Jirani.........ushaswali kwanza 🤣🤣🤣🤣
Au mpaka uende Gaza
Kasema lini.....kafiri Biden.......🤣🤣😂