Kwani hujui historia inavyotunzwa?Historia yenye ushahidi unaifuatilia wapi? Iko wapi?
Hivi unawezaje kutumia mawazo ya mwandishi tu wa mtandaoni kama strong evidence?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hujui historia inavyotunzwa?Historia yenye ushahidi unaifuatilia wapi? Iko wapi?
Historia yenye ushahidi unaifuatilia wapi? Iko wapi?
Unamtegemea kafiri kusitisha vita huku nduguzo katika imaan wamefyata mikia.Hizi ndiyo zile longo longo asizozitaka Beberu:
Joe Biden (short and clear):
View attachment 2959408
Natenyahu (loudly and clearly):
View attachment 2959410
Kwani hujui historia inavyotunzwa?
Hivi unawezaje kutumia mawazo ya mwandishi tu wa mtandaoni kama strong evidence?
Uchochoroni vingine ni vya kina MK254 na kina Moisemusajiografii. Hata hivyo kuja navyo hapa Ndugu?
Mhindi alietoka India akaja Tanzania, akawakuta watanzania na kuzaliana vizazi na vizazi hapo. Je hicho kizazi hakitakuwa na haki ya kuitwa watanzania kwa sababu baba yao hakuwa mtanzania?
Ukipewa mtihani wa hesabu, ukaamua kwenda google kutafuta majibu, ukakuta swali lako limejibiwa na watu 6 ila kila mmoja ametoa jibu lake. Je utakuwa na uhakika nani amejibu sahihi?Zamani njia za mawasiliano ilikuwa kwa maandishi ikiwemo kitabu ,majarida,barua,magombo n.k.
Kwa sasa ndio hiyo mitandao ya kijamii.
Ndio nataka kujua hiyo strong evidence yako ni ipi ili tujadili.
Ushaswali jirani
Uzuri unachongea na kinachoendelea ni tofauti netanyahu kanyaga twende sio muda wa maneno huu.Wachokozi walichokoza tokea 1947 huko. Wajomba ndiyo hao wanaishia, wamebaki wajomba uchwara kina Moisemusajiografii, MK254 na wenzao pande za Buza huko.
Waislamu na waarabu bhana......Ndicho ambacho Palestina wanakipigania.
Hawataki taifa lako liitwe Israel(walowezi) wanataka liendelee kuitwa Palestina.
Vipi siku hao wahindi waliolowea huku wakitaka nchi hii iitwe India ninyi wabongo mtakubali?
Unamtegemea kafiri kusitisha vita huku nduguzo katika imaan wamefyata mikia.
Ukipewa mtihani wa hesabu, ukaamua kwenda google kutafuta majibu, ukakuta swali lako limejibiwa na watu 6 ila kila mmoja ametoa jibu lake. Je utakuwa na uhakika nani amejibu sahihi?
Waislamu na waarabu bhana......
Akili zenu za kushikiwa
Unayasoma wapi yote uliyoyaandika?Unamtegemea kafiri kusitisha vita huku nduguzo katika imaan wamefyata mikia.
Hapa bado hatujafika kwenye kubadiki jina. Tukae kwanza hapa uliposema Israel hana nchi, ni mtanga tangaji tu. Halafu jibu swali la mfano wa mdhindi kuja Tz. Lets go step by stepNdicho ambacho Palestina wanakipigania.
Hawataki taifa lako liitwe Israel(walowezi) wanataka liendelee kuitwa Palestina.
Vipi siku hao wahindi waliolowea huku wakitaka nchi hii iitwe India ninyi wabongo mtakubali?
Wakanani ndio wapelestina wa sasa ama wako wapi saiviIsrael kiasili haina nchi. Ni taifa linalotangatanga kuanzia kwa Baba yao Ibrahim ambaye alikuwa mlowezi hapo Palestina ambapo alikuta wenyeji waitwao Wakanaani
Waislamu na waarabu bhana......
Akili zenu za kushikiwa
Mbona unaruka ruka tu.Hesabu sio somo la Historia.
Tolea mfano kwenye Somo la Historia.
Hesabu swali moja jibu ni moja dunia nzima. Ila kwenye Historia haipo hivyo
Hapa bado hatujafika kwenye kubadiki jina. Tukae kwanza hapa uliposema Israel hana nchi, ni mtanga tangaji tu. Halafu jibu swali la mfano wa mdhindi kuja Tz. Lets go step by step
Mimi sio muislamu wala sio muarabu Mkuu.
Hapa naongea ninachokifahamu