Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una matatizo we mwanaumeDada? Chukua kidumu cha mafuta wewe mwambie mumeo sio unaomba zawadi za hovyo hovyo
Acha makasiriko kuniita Dada unadhani tusi 😀😀
Wanapikia mafuta ya kitimoto kupunguza gharama na uzuri ni kwamba watanzania wote 60mil tunakula nguruwe kama kitoweo.Mama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Na hiki ndicho mlichokuwa mnatakaNyakati zimeshabadilika! Hivyo na sisi pia tunatakiwa tubadilike. Nchi imerudi mikononi mwa Mabepari! Hakuna tena Ujamaa wa uongo wa akina Magufuli, Bashiru Ali na Polepole!
Ni suala tu la muda ada za shule nazo kurejeshwa! Hivyo katika mazingira kama haya, kulalamika tu haisaidii! Dawa pekee kwa 'Wanyonge' ni kuchukua hatua. Hii ni awamu ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake! Ukizubaa tu, umeachwa.
Unalia soda sh. 600?Soda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya hill/uhai 600 badala ya 500
Mafuta arizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Arizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine?
Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
Hii nzuriHivi kwanini tusigome kununua baadhi ya vitu ambavyo havina umuhimu sana kwenye maisha yetu? Tukigoma kunywa soda kwani itakuaje?
Iweje uite zawadi??Kwa sasa mpe mwanamke wako zawadi ya kidumu cha mafuta tu
Atakupa mpaka figo.
Tatizo watu watanunua tu, ila tungeweka mgomo tuone watafanyajeHii nzuri
Hilo ndiyo suluhisho badala ya kulialiaHivi kwanini tusigome kununua baadhi ya vitu ambavyo havina umuhimu sana kwenye maisha yetu? Tukigoma kunywa soda kwani itakuaje?
Eti yeye yupo mbali na mkewe.Iweje uite zawadi??
Nawe hutumii hayo mafuta??
Anatumia mwanamke peke yake??
Nimechoka na hayo maswali ulizaneni wenyeweIweje uite zawadi??
Nawe hutumii hayo mafuta??
Anatumia mwanamke peke yake??
AiseeEti yeye yupo mbali na mkewe.
Majukumu kwa mke wake imekuwa ni zawadi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] saivi kuna mafuta ya kuku... lita moja buku, lita 5 buku 5.Kuhusu mafuta tumeshapata mbadala
"KITIMOTO"
Cheka,Nimechoka na hayo maswali ulizaneni wenyewe
Ukisikia Survival of the fittest, ndiyo hii sasa! The strong (matajiri, wanasiasa, wafanyabiashara, wakulima wakubwa/wa kati) will survive, while the weak (wanyonge) will suffer/be perished.Na hiki ndicho mlichokuwa mnataka
Sasa mnaenda kuwapa shida wananchi namna hii kwa maslahi yenu.
Mimba ni zawadi ndioCheka,
Inakuwaje uite zawadi??
Na nyie ndo mnasemaga mimba ni zawadi.