Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Atajua cha kufanya. Ila mimi sitanunua soda ingawa sikumbuki lini nimekunywa soda😃Kwa frame work time so ana stock, na ana huo mkataba, amewekeza 100m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atajua cha kufanya. Ila mimi sitanunua soda ingawa sikumbuki lini nimekunywa soda😃Kwa frame work time so ana stock, na ana huo mkataba, amewekeza 100m
Nyama na kitunguu bei imepandaNaacha kunywa soda 😂😂 maisha magumu nyie ni mwendo wa kula mchemsho
Mama yako msomi kunizidiBasi hapo nawe umejitambulisha kuwa msomi.!
Huku kwetu ukienda machinjioni unanunua mdudu wa 3000 ni zaidi ya nusu kilo unapewa na mafuta yake kama robo kilo maisha yanaendaKuhusu mafuta tumeshapata mbadala
"KITIMOTO"
Well saidNyakati zimeshabadilika! Hivyo na sisi pia tunatakiwa tubadilike. Nchi imerudi mikononi mwa Mabepari! Hakuna tena Ujamaa wa uongo wa akina Magufuli, Bashiru Ali na Polepole!
Ni suala tu la muda ada za shule nazo kurejeshwa! Hivyo katika mazingira kama haya, kulalamika tu haisaidii! Dawa pekee kwa 'Wanyonge' ni kuchukua hatua. Hii ni awamu ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake! Ukizubaa tu, umeachwa.
Usile mchemsho utakuwa mwembamba kama Mange. Wanaume wa Afrika tunapenda nyama a.k.a minofuNaacha kunywa soda 😂😂 maisha magumu nyie ni mwendo wa kula mchemsho
Ninunulie mafuta basiMama yako msomi kunizidi
Ndio mtununulie mafutaUsile mchemsho utakuwa mwembamba kama Mange. Wanaume wa Afrika tunapenda nyama a.k.a minofu
Kama unazifuata Bar hiyo ndio bei.Huku soda mbona 700/- na 1,000/-
Hadi mboga za majani zimepanda sijui nazo zimeathirikaje na vita vya ukraine😂😂😂Nyama na kitunguu bei imepanda
Unawakumbusha!!?Mama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Fungu moja kiasi gani?Hadi mboga za majani zimepanda sijui nazo zimeathirikaje na vita vya ukraine😂😂😂
Ya kupaka?Ninunulie mafuta basi
AiseeSoda tiba ya sukari huyu jamaa vipi
Na kawaida vitu vikipanda bei kushuka inakuwa mtihaniKwa sasa hamna nafuu kwenye bidhaa yeyote aisee.
Tutafika ila tukiwa tumechoka sana sababu inafikia hatua mpaka kichwa kinauma namna unaendesha maisha.
Hakika Mkuu hapo kwenye kushuka ndo tusahau kwanza.Na kawaida vitu vikipanda bei kushuka inakuwa mtihani
Huyo mwenye jeans kwenye profile ni wewe?Aisee