Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama msomi kunizidi
UmekaririshwaWafanyabiashara wakubwa makusudi wanaficha bidhaa ili iadimike sokoni
Hata yale mambo ingine iko njiani kupandaSoda wengine tunaisikiaga kwenye bomba tu
Ova
Aa wapi! Hao bado wana bei za kizalendo hasa hiyo njia ya Lufungira kutokea Big bon hapo nyuma kwa Kakobe elfu 5 unasuuza mpiniHata yale mambo ingine iko njiani kupanda
Ukichenji 10000 inaisha muda huo huoHapa nawaza kwenda kuhemea vya mwezi mzima kichwa chote kinauma! Jinsi bei zilivopanda!
Yanii dakika sifuri ishaisha!Ukichenji 10000 inaisha muda huo huo
Ni madhara ya vita eti ha haaHadi mboga za majani zimepanda sijui nazo zimeathirikaje na vita vya ukraine😂😂😂
Ugumu tu wa maisha ila kawaida wanawake ninyi mnatakiwa mkae ndani tuwaletee kila kitu kazi yenu iwe kuandaa tu chakula cha baba na kuoga vizuri tayari kwa chakula kingine. Siku hizi hamfiki kileleni sababu mna majukumu mengi ambayo sio yenuYanii dakika sifuri ishaisha!
Hapana nilimaanisha Katika kuibalance balance ibaki nifanyie mambo yangu saivi ni balaa tupu! Kuna wanaume wengine masuala ya nyumbani na vyakula kiujumla huwa mnatupa hela wanawake tukanunue wenyewe hapo sasa unajikuta haitakuja hata cent!Ugumu tu wa maisha ila kawaida wanawake ninyi mnatakiwa mkae ndani tuwaletee kila kitu kazi yenu iwe kuandaa tu chakula cha baba na kuoga vizuri tayari kwa chakula kingine. Siku hizi hamfiki kileleni sababu mna majukumu mengi ambayo sio yenu
Uko sahihi tuwapigie makofi mengi akina mama ntilieMama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Bei ileile ila kipimo wamepunguzaUko sahihi tuwapigie makofi mengi akina mama ntilie
wanatumia mafuta ya kitimoto kwa sasa, cupa ya lita 1 buku 2Mama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Mkuu kwa ambao wameajiriwa serikalini sawa, Ila kwa Hawa graduates ambao hawana hata ramani hiyo kamba wanaipatia wapi?Nyakati zimeshabadilika! Hivyo na sisi pia tunatakiwa tubadilike. Nchi imerudi mikononi mwa Mabepari! Hakuna tena Ujamaa wa uongo wa akina Magufuli, Bashiru Ali na Polepole!
Ni suala tu la muda ada za shule nazo kurejeshwa! Hivyo katika mazingira kama haya, kulalamika tu haisaidii! Dawa pekee kwa 'Wanyonge' ni kuchukua hatua. Hii ni awamu ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake! Ukizubaa tu, umeachwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] saivi kuna mafuta ya kuku... lita moja buku, lita 5 buku 5.