Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Acha sababu za kizamani. Wakificha na bidhaa zipo kibao mtaani itawasaidia nini? Hakuna wese.
Kuna ujinga mwingine unachekesha sana, sasa unafikiri kwanini hakuna wese?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha sababu za kizamani. Wakificha na bidhaa zipo kibao mtaani itawasaidia nini? Hakuna wese.
Anasahau issue ya sukari. Watu wanaenda kiwandani wanachukua tani elfu 20 mtu mmoja anaficha kwenye godown hata miezi 6 kusubiri bei ipande. Bei ikipanda anàanza kutoa mzigo taratibu.Kuna ujinga mwingine unachekesha sana, sasa unafikiri kwanini hakuna wese?
Razima niwaambie ukweri kweri kweriArizeti [emoji28]
Piara mojaAa wapi! Hao bado wana bei za kizalendo hasa hiyo njia ya Lufungira kutokea Big bon hapo nyuma kwa Kakobe elfu 5 unasuuza mpini
Piara ndio nini?Piara moja
Ya kupikaYa kupaka?
Unaonekana hujasuguliwa miezi kadhaa...Eti yeye yupo mbali na mkewe.
Majukumu kwa familia yake imekuwa ni zawadi.
Na husafiri kabisa, unajifungia chumbani mwaka mzima?Sinywagi soda kabisa zinamadhara
Nakula chuku chuku.[emoji41][emoji41]
Safi tu kwa afya ya miili yetu na meno kiujumla.Hivi kwanini tusigome kununua baadhi ya vitu ambavyo havina umuhimu sana kwenye maisha yetu? Tukigoma kunywa soda kwani itakuaje?
500 tudogooFungu moja kiasi gani?
Ndio hiyo barabara inapita pale Meeda Investment?Aa wapi! Hao bado wana bei za kizalendo hasa hiyo njia ya Lufungira kutokea Big bon hapo nyuma kwa Kakobe elfu 5 unasuuza mpini
Tabia za wanawake bwana, mnawaza kususa tu.....Hivi kwanini tusigome kununua baadhi ya vitu ambavyo havina umuhimu sana kwenye maisha yetu? Tukigoma kunywa soda kwani itakuaje?
AiseeeYa kupika
So unataka kusema chadema ni wanawake?Tabia za wanawake bwana, mnawaza kususa tu.....
Ndio maana hili linchi linaenda shimoni sababu ya kuongozwa na