Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Maji mwenyewe 600
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mwenzangu unasuguliwa kila sikuUnaonekana hujasuguliwa miezi kadhaa...
Sio kwa mapovu na street hizi!
Shiii! USIPIGE KELELE KIKAO CHA CCM KINAENDELEA, KAMA KUNATATIZO MUONE MWENYEKITI WA MTAA MJADILIANE.Soda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500
Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
hahahahaKwa sasa mpe mwanamke wako zawadi ya kidumu cha mafuta tu
Atakupa mpaka figo.
So unataka kusema chadema ni wanawake?
HayaNdio ni wanawake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa mpe mwanamke wako zawadi ya kidumu cha mafuta tu
Atakupa mpaka figo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala cake za Taifa, afu hamjari wala nn.Nyakati zimeshabadilika! Hivyo na sisi pia tunatakiwa tubadilike. Nchi imerudi mikononi mwa Mabepari! Hakuna tena Ujamaa wa uongo wa akina Magufuli, Bashiru Ali na Polepole!
Ni suala tu la muda ada za shule nazo kurejeshwa! Hivyo katika mazingira kama haya, kulalamika tu haisaidii! Dawa pekee kwa 'Wanyonge' ni kuchukua hatua. Hii ni awamu ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake! Ukizubaa tu, umeachwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una matatizo we mwanaume
Mama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Wapi huko? Hapa nilipo lita 5 ni 37. KhaaaahHuku kwetu alizeti lita 5 ni 30,000 hiyo 39 ni too much jamani [emoji24][emoji24][emoji24] vitu vinapanda bei ila mshahara upo pale pale
Sasa akina magufuli unaita waongo,wakati huo huo unasema mabepari wamerudi na kurudisha ada kunafuata.mkuu ni bei ya mafuta ya kupikia imekuchanganya au😄😄😄Nyakati zimeshabadilika! Hivyo na sisi pia tunatakiwa tubadilike. Nchi imerudi mikononi mwa Mabepari! Hakuna tena Ujamaa wa uongo wa akina Magufuli, Bashiru Ali na Polepole!
Ni suala tu la muda ada za shule nazo kurejeshwa! Hivyo katika mazingira kama haya, kulalamika tu haisaidii! Dawa pekee kwa 'Wanyonge' ni kuchukua hatua. Hii ni awamu ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake! Ukizubaa tu, umeachwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naacha kunywa soda [emoji23][emoji23] maisha magumu nyie ni mwendo wa kula mchemsho
Hata karanga ( ntwili kwa Kinyamwezi) bei juu .Kuhusu mafuta tumeshapata mbadala
"KITIMOTO"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mie shouz, tupate nusu nusu.Hapa nawaza kwenda kuhemea vya mwezi mzima kichwa chote kinauma! Jinsi bei zilivopanda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana nilimaanisha Katika kuibalance balance ibaki nifanyie mambo yangu saivi ni balaa tupu! Kuna wanaume wengine masuala ya nyumbani na vyakula kiujumla huwa mnatupa hela wanawake tukanunue wenyewe hapo sasa unajikuta haitakuja hata cent!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanatumia mafuta ya kitimoto kwa sasa, cupa ya lita 1 buku 2