Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
usikariri habari za wakina Nyerere za wafanyabiashara kuficha bidhaa. Huo ni uzembe.Madesa yamekuharibu, unaishi kama unajibu mtihani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usikariri habari za wakina Nyerere za wafanyabiashara kuficha bidhaa. Huo ni uzembe.Madesa yamekuharibu, unaishi kama unajibu mtihani.
Basi embassy sahivi itakuwa buku,Msisahau fegi,....
Imepanda tokea 200 hadi 500.
Daqh si tutavuta makaratasi sasa
Kuna watu maisha yao wanaishi kwa kukariri tyu yanAcha sababu za kizamani. Wakificha na bidhaa zipo kibao mtaani itawasaidia nini? Hakuna wese.
😂 😂 😂 😂Kwa sasa mpe mwanamke wako zawadi ya kidumu cha mafuta tu
Atakupa mpaka figo.
Mh! Wawezaje kukitumia mwenyewe kitu unachokihonga?Hayo mafuta anatumia mwenyewe mwanamke? Wewe hutumii? Iweje uite zawadi kitu ambacho na wewe unakitumia
Unamuhonga mke, anakupikia na wewe unakula, si useme umejinunulia.Mh! Wawezaje kukitumia mwenyewe kitu unachokihonga?
Mimi nadhani karibu tunaongea lugha moja.Tutafika Tukiwa Hoi mbaya
Na wewe usikariri madesa ya darasani ya supply and demand.usikariri habari za wakina Nyerere za wafanyabiashara kuficha bidhaa. Huo ni uzembe.
Ooooooh hapo sawa.Kuna mtu kaleta mzigo anauza 30k na 110k kwa lita 20
Vicoba hoyeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio shos ! Tunabanabana tuongezee za vicoba [emoji1787][emoji1787]!
Hapo sasa weuweeeeeeh,Usiwaze shos angu
Hoyeeeeeeeee 🤸🤸🤸😘Vicoba hoyeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mke anaweza kukupa penzi "jadidifu" kwa kuleta kidumu cha mafuta nyumbani wakati ni majukumu yako?Unamuhonga mke, anakupikia na wewe unakula, si useme umejinunulia.
Kama unapeleka kwa mchepuko sawa ni zawadi
Kinana AtapandishaVitu vyote vimepanda bei kasoro mishahara tu.
Katika makundi ya wanaokula kwa jasho na mahangaiko makubwa sana hapa Tanzania,ni hawa mama/baba lishe.Mama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Huku kwetu chapati moja ni tsh 500, ushuru wa magari madogo stand ni sh 3000 badala ya tsh 1000.Watu pekee ambao hawajapandisha bei mpaka sasa ni jamaa wa daladala.Mama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Washushe bei ya petrol na diesel uone hizo mambo ya demand and suppliesBiashara huendeshwa na demand na supply.
Kitu kikiwa adimu bei automatical inapanda.
Kama unaona wanafaidi tumia fursa lima alizeti.