Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Soda si nzuri kwa afya.Soda Leo nimenunua elf 11800 per creti moja mwanzo ilikua 9700 aisee na sasa ni rasmi soda za coca zinauzwa tsh 600 badala ya miatano ya awali,
ama kweli mama anaupiga mwingi.
Labda ongezeko la bei litapunguza unywaji na kunusuru watu.