cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nchi irudi kwa wanaume. Maana tumevamia fani isiyo yetu na kupalipua jikoni vibaya mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nchi irudi kwa wanaume. Maana tumevamia fani isiyo yetu na kupalipua jikoni vibaya mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Adi makahaba na wahaya Bei juu mwaka huu kazi ipo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah.Hongera mwenzangu unasuguliwa kila siku
ina athiriwa na transport costSoda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500
Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah ila JF [emoji119][emoji119]Sasa akina magufuli unaita waongo,wakati huo huo unasema mabepari wamerudi na kurudisha ada kunafuata.mkuu ni bei ya mafuta ya kupikia imekuchanganya au[emoji1][emoji1][emoji1]
Kosa lililofanyika ni serikali kukiri kuwa vitu vitapanda bei. Wazalishaji wengi sasa wapo kwenye hatua ya kukamilisha new price list ya bidhaa maana hamna atakayeuliza kwanini bei imepanda maana wameshapata kauli kutoka serikalini.Soda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500
Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
Mheshimiwa, umenielewa vibaya! Sijawaita hai akina magufuli waongo! Isipokuwa nimesema Ujamaa wao ndiyo ulikuwa ni wa uongo! Maana haukuwa na uhalisia hata kidogo.Sasa akina magufuli unaita waongo,wakati huo huo unasema mabepari wamerudi na kurudisha ada kunafuata.mkuu ni bei ya mafuta ya kupikia imekuchanganya au😄😄😄
mwache mrangi wetu wa jf 😄😄😄Inaandikwaje mkuu ALIZETI au ARIZETI?
SpiritYapi hayo boss
Ova
mim nasita sana kula sikuhiz mitaanMama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Hizo bidhaa za kusuuza mpini sizijui mimiAa wapi! Hao bado wana bei za kizalendo hasa hiyo njia ya Lufungira kutokea Big bon hapo nyuma kwa Kakobe elfu 5 unasuuza mpini
Kuna mtu kaleta mzigo anauza 30k na 110k kwa lita 20Wapi huko? Hapa nilipo lita 5 ni 37. Khaaaah
Chapati 400 saiv zamani ilikua 250Mama ntilie pekee ndio hajapandisha bei za msosi
Sababu supply ya wese duniani imetetereka. We unafikiri kuna matajiri wameficha mafuta ndani?Kuna ujinga mwingine unachekesha sana, sasa unafikiri kwanini hakuna wese?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mie shouz, tupate nusu nusu.
Wa kumlaumu si unamjua lakin.. nyie si ndo wapiga makof aka anti maguSoda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500
Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
Sababu supply ya wese duniani imetetereka. We unafikiri kuna matajiri wameficha mafuta ndani?