Bifu la Jokate na Flavian Matata linapamba moto chinichini, kisa?

Bifu la Jokate na Flavian Matata linapamba moto chinichini, kisa?

Sasa kama ww una idea ukaiweka public bila kuifanyia kazi unalalamika nn

Watu wanatumia fursa tu
 
Huyu demu toka auwe watoto wa Diamond sio muaminifu tenaa.
 
Jamani sijaona shida hapo kabisa kwani wako ndo wameanza?
 
Kivip tens binamu, c aliolewa huyu? Ebu nope umbea mana nashindwa lupumua sasa hiv
Aliolewa na nani?? Hajaolewa bhana sa HV c yuko na kiba lkn naskia uhusiano wao unasuasua,.. Unajua jokate kwa alivo na mambo anayoyafanya sio mdada wa kukimbilia wasanii wa bongo fleva anajishusha sana,
 
Huyo naye mpuuzi kwani hiyo idea ya mabegi ndio kaiona mpya. Mbona na yeye ameiga.
 
Mleta uzi unaoneka una tabia ya umbea tu, sijaona sababu ya kuita hii beef, wakati kuna Bag inaitwa Flaviana Matata na Kidoti. Ni sawa na Adidas na Nike


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Uliombwa uchangie maada? ? Kwendaaaaa
 
Nawapa idea nyingine, watengeneze boxer za kiume. Japo mi siwezi kununua lakini watawauzia sana masharobaro wavaa miligezo na mapunga
 
huyu dada aliibaga ndala za juma nature ndio huyu huyu nimemkumbuka
 
Mbinu za kibiashara hizo..kesho mtakimbiia kuyanunua yote
 
Jokate mpuuzi sana...mbn yeye na kibakuli hawafurahi diamond anavyofanya ya maendeleo kila siku upuuzi tu na majungu...mpumbafu sana jokate
 
Back
Top Bottom