Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumiss binamHaya ndo mabifu tunayoyataka, yakimaendeleo, sio kuibiana vipara kila siku
AhhahahahahVibegi vyenyewe vya hovyoooo....
Mi ma bag yangu nanunua China nadubi, sivai mabag ya ngguchiro mm, nisije nikawa n tabia kama za jokateVibegi vyenyewe vya hovyoooo....
Njoo inbobo unitumie namba yako, nilipotezaNimekumiss binam
Kivip tens binamu, c aliolewa huyu? Ebu nope umbea mana nashindwa lupumua sasa hivWanatafuta kiki, ila nampenda jokate anajielewa japo hanaga bahati ktk mapenzi
Mi ma bag yangu nanunua China nadubi, sivai mabag ya ngguchiro mm, nisije nikawa n tabia kama za jokate
Nakuja harakaNjoo inbobo unitumie namba yako, nilipoteza
Aliolewa na nani?? Hajaolewa bhana sa HV c yuko na kiba lkn naskia uhusiano wao unasuasua,.. Unajua jokate kwa alivo na mambo anayoyafanya sio mdada wa kukimbilia wasanii wa bongo fleva anajishusha sana,Kivip tens binamu, c aliolewa huyu? Ebu nope umbea mana nashindwa lupumua sasa hiv
Uliombwa uchangie maada? ? KwendaaaaaMleta uzi unaoneka una tabia ya umbea tu, sijaona sababu ya kuita hii beef, wakati kuna Bag inaitwa Flaviana Matata na Kidoti. Ni sawa na Adidas na Nike
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kingereza chako kama kina matege ivI love your matata