Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #41
Huwezi jua ni mtu na mkwe wake🤓😆Asicheze tu kabisa,kwani timu y baba yake ile 🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi jua ni mtu na mkwe wake🤓😆Asicheze tu kabisa,kwani timu y baba yake ile 🤣😂
Linawezekana sana na ninawajua matajiri wazungu na wahindi hapa ambao wana mkwanja haswa lakini maisha yao ni simple sanaKwani haiwezekani kuwa tajiri na ukayaepuka kuishi yote uliyoyataja?
Ngozi tuna too much noise, zinazo pelekea too much alert kwa maadui.Linawezekana sana na ninawajua matajiri wazungu na wahindi hapa ambao wana mkwanja haswa lakini maisha yao ni simple sana
Wamenunua majumba kona za Dunia na zimekaa tu mpaka wanapoenda holiday tu
Uzuri huku labda nyumba zao ndio zinatisha ila maisha yao wanaishi sio ya kujionyesha kama waafrika ambao lazima ajionyeshe na kutembea na wapambe au bodyguard 😄
Ila maisha ukiyachukulia simple hata huoni utajiri wako bali utaishi kawaida sana
Shada za ukweli adimu kama dhahabu...Usiwaze mkali, Leo nilikuwa natest mitambo tu.
Chuma chenyewe ni kesho, halafu angalia yasiwe makushabu😆🤓
Kabisa boss ngozi nyeusi hela kidogo fujo sanaNgozi tuna too much noise, zinazo pelekea too much alert kwa maadui.
Im sure unamuongelea bwana Gustavo Frings a.k.a Gus from Los pollos hermanos.Kuna series Ina itwa breaking bad, Kuna Jamaa alikuwa mwema usoni.
Yaani mtoaji wa misaada, rafiki, ila aisee ni zaidi ya bandidu.
mr GusKuna series Ina itwa breaking bad, Kuna Jamaa alikuwa mwema usoni.
Yaani mtoaji wa misaada, rafiki, ila aisee ni zaidi ya bandidu.
Kwahiyo yule Mjukuu wangu ndiyo hutaki tena kumuoa baada ya kumuonja tunda eeh😜Naelewa hiyo mkuu, na huo ushauri wape watakao oa 😆🤓
Bora upambane uwe na maisha ya wastani, kumiliki assets kidogo, magari mawili matatu na kusomesha watoto English medium schools basiDuh hatari sana mzee
Hata Bongo hii nawajua wachacheKuna series Ina itwa breaking bad, Kuna Jamaa alikuwa mwema usoni.
Yaani mtoaji wa misaada, rafiki, ila aisee ni zaidi ya bandidu.
Endelea..Easy E nimesikiliza sana ngoma zake enzi hizo
Sawa mkuu kazi anayo fyucha bilionea Intelligent businessmanBora upambane uwe na maisha ya wastani, kumiliki assets kidogo, magari mawili matatu na kusomesha watoto English medium schools basi
Hayo yanawezekana kwa wenzetu ila rangi nyeusi wengi wakipata utajiri hubadilika sana.Linawezekana sana na ninawajua matajiri wazungu na wahindi hapa ambao wana mkwanja haswa lakini maisha yao ni simple sana
Wamenunua majumba kona za Dunia na zimekaa tu mpaka wanapoenda holiday tu
Uzuri huku labda nyumba zao ndio zinatisha ila maisha yao wanaishi sio ya kujionyesha kama waafrika ambao lazima ajionyeshe na kutembea na wapambe au bodyguard 😄
Ila maisha ukiyachukulia simple hata huoni utajiri wako bali utaishi kawaida sana
Sisi Wazee tunabaki kumuombea tu 🤗Sawa mkuu kazi anayo fyucha bilionea Intelligent businessman
Na apige kazi kweli kweli aache na kuhongaSisi Wazee tunabaki kumuombea tu 🤗
Naona labda ni kuzaliwa kwenye umasikiniHayo yanawezekana kwa wenzetu ila rangi nyeusi wengi wakipata utajiri hubadilika sana.
Kama yule mchizi wa kuitwa James St Patrick's lakini nyuma ya pazia anaitwa GHOSTNgumu sana Mkuu
Utajiri hautaki watu soft
Maybe uwe soft usoni Kwa watu ila at the back unakuwa ni kiumbe mwingine mbaya zaidi 🙌