Bifu la maslahi, linavyokatisha maisha ya mwana harakati wa mtaani

Bifu la maslahi, linavyokatisha maisha ya mwana harakati wa mtaani

Huyo hawezi kuhonga, nilisoma sehemu huku huku JF alihonga shilingi 3k ya Vocha na bado akawa anajilaumu eti kahonga hela nyingi 😜

Angejua vile Wazee tunavyohonga si angetuonea huruma 😜

Watu tunahonga mashamba ya urithi kabisa 😅🙌
Basi mzee 😂😂 Grahams, kusema ukweli Mimi utoaji wangu labda Kwa familia na watu wenye uhitaji.

Hata familia wana limitation zao, tofauti na hapo mi nataka tufanye kazi mambo yajipe tu
Starehe zipo, but hustling haikusubiri.
 
Usizisikilize sana conspiracy theories.

Ukicheki hata muvi tu ya Straight Outta Compton unapata majibu.
Remember Me. OG two Tone
Crenshaw Mafia.

Hii movie ni noma
Fu*k Police Ice Cube
 

Attachments

  • jesusosirisanubis_ma_5ce452e6ebd84aff96f07546b487b90d.mp4
    4.1 MB
Basi mzee 😂😂 Grahams, kusema ukweli Mimi utoaji wangu labda Kwa familia na watu wenye uhitaji.

Hata familia wana limitation zao, tofauti na hapo mi nataka tufanye kazi mambo yajipe tu
Starehe zipo, but hustling haikusubiri.
Umesema sahihi Mkuu, ukiweza kuyaishi hayo unayoyasema utakuwa mbali Kiuchumi

Otherwise usubirie kuishi Kwa pension kama Wazee wako hapa 😜
 
Umesema sahihi Mkuu, ukiweza kuyaishi hayo unayoyasema utakuwa mbali Kiuchumi

Otherwise usubirie kuishi Kwa pension kama Wazee wako hapa 😜
For real sipendi kuishi circle ile Ile niliyo kua au kuona.
Life Kwa mtaa ni gumu, people are passing through shits.

Tusipo shituka mapema Kama vijana na waanzilishi.
Na kukalia kukata viuno 😀, basi Kuna Hali mbaya mbeleni
 
Nimecheka sana mkuu, hizi conspiracy theories kwa wamarekani ni unkwepabo ila ndo utumie mbongo yako kuchuja kweli na si kweli.

Movie wanachukuaga ile iliyobamba zaidi wanaiongezea nakshi nakshi unaambiwa based on true events.
Kuna mwamba hapo juu kani chekesha kinyama, Eti ruthless sio label🤣😂.

ila nwe ndo label = sijui ali waza nini aisee🤣🤣
 
Back
Top Bottom