Bifu la maslahi, linavyokatisha maisha ya mwana harakati wa mtaani

Bifu la maslahi, linavyokatisha maisha ya mwana harakati wa mtaani

Wewe ni tajiri ?

Off course wewe sio tajiri,sasa kipi kinakufanya uhisi matajiri lazima wawe na sifa hizo wakati wewe si tajri ?
Mimi si mmoja wao Mkuu

Ila ushahidi wa nadharia unaonesha hivyo

Wanasema habari za tajiri muulize maskini 😜

Anyways

Umewahi kuonja safari ya mafanikio vile ilivyo na vikwazo?

Mathalani umejiwekea lengo la kumiliki milioni 120 mwishoni mwa Mwaka, zile ups and downs

Kuna sehemu unalazimika kuwa bandidu kuweza kufanikiwa

That's what I meant 🙌
 
Respect Mkuu
Niliwahi kusikia habari za EAZY-E kwamba yeye ndiye GodFather of Gangsta Rap.

Na zaidi nikaja kusikia kuwaKwa miaka ya 1986-1992 ni EAZY-E Pekee ndiye rapper aliyekuwa na pesa nyingi zaidi kuliko rapper yeyote.

Lakini mwisho nikasikia habari mbaya zilizo husu kifo chake Habari zilisema...,

mtu mmoja aliye fahamika kwa jina la SUGE KNIGHT alimchoma sindano yenye virusi vya ukimwi "AIDS virus" Gonjwa likampata..EAZY-E, ndani ya week mbili tu! akalazwa hospital, akachoka akachakaa na siku zake za kuishi zikaanza kuhesabika.

Kisha SUGE KNIGHT hakuishia hapo..

EAZY-E akiwa anapigania afya yake hospital, ndipo bwana SUGE KNIGHT anatuma watu wawili.

Wapeleke salama kwa EAZY-E, kwamba aambiwe na asikie kuwa huo ndio mwisho wake na hatoimba tena pengine akaimbie kuzimu.

Binafsi habari hii ilinifikirisha sana na mwisho Nikajiuliza nini hasa sababu ya kumfanyia binaadamu mwenzake ukatili wote huu..?

Ni swali ambalo lilikosa majibu ya moja kwa moja.

Lakini kuna siku nilipita katika websites tofauti ili kukusanya information, ndipo nilipokutana na maneno ya Eazy-E ambayo yalinipa huzuni..

Anazungumza EAZY-E I've learned in the last week that this thing is real and it doesn't discriminate. It affectseveryone.
"Akimaanishaa."Nimejifunza katika wiki iliyopita kuwa jambo hili ni la kweli na halibagui. Linaathiri kila mtu"

Perhaps unajiuliza EAZY-E alikuwa anazungumzia jambo gani hapa..? Ni hivi baada ya kufanya vipimo zaidi ya mara3 na akakutwa na virusi vya ukimwi, Eazy-E aliambiwa na madaktari kuwa anapaswa kuiambia dunia kuwa amepatwa na gonjwa la ukimwi.

Na Ikiwa atafanya ivyo Atakuwa amewasaidia vijana wengi juu ya maisha ya ngono.
yaani madaktari wakiwa na maana Eazy-E atumike kama motisha na funzo kwa vijana kuwa ukimwi upo na unaua.

That's why Eazy-E alikubali kuutangazia umma yeye ni mwathirika.

Sasa kitu kilichokuja kunipa mashaka ni kwamba, mambo yote haya yalifanyika ndani ya 2 weeks .

Yaani vipimo vilirudiwa zaidi ya mara3 ndani ya week moja na vikathibitisha kuwa Eazy-E ni mwathirika.

Kisha week iliyofuata madaktari wakamwambia autangazie umma na week ya 3 Eazy-E akafariki.

There's something behind,
Hapa nikaanza kuwaza huenda kuna kitu kingine nyuma ambacho sisi hatukifahamu.

Beef hii ilikuja baada ya ICE cube kujitoa kwenye kundi la Eazy-E na kufuatiwa na Dr Dre pia ambaye alijitoa na kwenda kwenye kundi la SUGE KNIGHT.
Hapa nikaanza kuwaza watu wawili waliotumwa na SUGE KNIGHT kupeleke ujumbe kwa Eazy-E, kwamba hatoimba tena walikuwa ni kina nani..?

Najua una kiu ya kufahamu hilo.. Niko hapa kukusogezea safari ya Eazy-E, juu ya kujitafuta, kujipata, kuishi umaarufu mpaka kifo chake chenye utata mkubwa.

I will be back, shout out to wisdom.

i mean no malice to nobody.
View attachment 2964576View attachment 2964577
Respect Mkuu
 

Attachments

  • IMG_9099.jpeg
    IMG_9099.jpeg
    1.2 MB · Views: 3
Mimi si mmoja wao Mkuu

Ila ushahidi wa nadharia unaonesha hivyo

Wanasema habari za tajiri muulize maskini 😜

Anyways

Umewahi kuonja safari ya mafanikio vile ilivyo na vikwazo?

Mathalani umejiwekea lengo la kumiliki milioni 120 mwishoni mwa Mwaka, zile ups and downs

Kuna sehemu unalazimika kuwa bandidu kuweza kufanikiwa

That's what I meant 🙌
Halafu Mbona ume jibu kinyonge 😄😂, akati wewe ni mmoja wa wanao ongoza kwenye list ya kuelekea u billionaire Mzee.
 
We kijana acha mihemko, nimekwambia movie imetokana na moja ya hivyo vijistory.
Kwani vijistory vyote hiyo suge ndo muuaji??
We mzee usiache mihemko, sijakwambia movie imetokana na moja ya hivyo vijistory. Kwani vijistory vingine suge ndo muuaji??
 
Mimi si mmoja wao Mkuu

Ila ushahidi wa nadharia unaonesha hivyo

Wanasema habari za tajiri muulize maskini 😜

Anyways

Umewahi kuonja safari ya mafanikio vile ilivyo na vikwazo?

Mathalani umejiwekea lengo la kumiliki milioni 120 mwishoni mwa Mwaka, zile ups and downs

Kuna sehemu unalazimika kuwa bandidu kuweza kufanikiwa

That's what I meant 🙌
Upo sahihi chief
 
We mzee usiache mihemko, sijakwambia movie imetokana na moja ya hivyo vijistory. Kwani vijistory vingine suge ndo muuaji??
Ndio hujaniambia mimi ndo nakwambia sasa kijana, vijistory vinaungwa ungwa inapatikana movie based on true events.
 
Halafu Mbona ume jibu kinyonge 😄😂, akati wewe ni mmoja wa wanao ongoza kwenye list ya kuelekea u billionaire Mzee.
Tangu Kijana mmoja humu aseme nijiandae atakuja kuniteka Mimi pamoja na Bibi yenu, nikaamua kwenda kutupa hela zote Mto Msimbazi, bora hela ziende na Maji kuliko kuchukuliwa na Kaka Jambazi 😜
 
Tangu Kijana mmoja humu aseme nijiandae atakuja kuniteka Mimi pamoja na Bibi yenu, nikaamua kwenda kutupa hela zote Mto Msimbazi, bora hela ziende na Maji kuliko kuchukuliwa na Kaka Jambazi 😜
Mimi kama Wana kuja waje tu, na vile Sasa hivi mi ni jobless pro max.
Wata chezea kabali ya shingo, Mpaka wamwone mtoa roho 😂🤣
 
Mimi kama Wana kuja waje tu, na vile Sasa hivi mi ni jobless pro max.
Wata chezea kabali ya shingo, Mpaka wamwone mtoa roho 😂🤣
Hahaha.........Bora wewe Kijana unaweza kupimana nao nguvu, Mimi na Bibi yako unajua vile tumezeeka

Bila usaidizi wa Manati ya Mzungu (Pistol) hatuwezi kutoboa 😜🙌

Maana kama kulenga shabaha niko vizuri, hata Kaka Jambazi awe Umbali wa mita 750 I can still hit the target 🏃🏃🏃
 
Hahaha.........Bora wewe Kijana unaweza kupimana nao nguvu, Mimi na Bibi yako unajua vile tumezeeka

Bila usaididizi wa Manati ya Mzungu (Pistol) hatuwezi kutoboa 😜🙌

Maana kama kulenga shabaha niko vizuri, hata Kaka Jambazi awe Umbali wa mita 750 I can still hit the target 🏃🏃🏃
Tafuta shotgun hii ni fumua fumua, magnum ina penetrate au Beretta 😃🤣, ila sihusiki na maamuzi yako.

Una Kumbuka nili muuliza kuhusu kale ka ushauri!?, Basi nili Anza Hadi kupanga the way to be safe😃🤣.

Nika waambia home they need to be alerted on anything 😁.
 
Tafuta shotgun hii ni fumua fumua, magnum ina penetrate au Beretta 😃🤣, ila sihusiki na maamuzi yako.

Una Kumbuka nili muuliza kuhusu kale ka ushauri!?, Basi nili Anza Hadi kupanga the way to be safe😃🤣.

Nika waambia home they need to be alerted on anything 😁.
Self defense kwenye zama hizi ni muhimu

Hata nyakati za Yesu, alikuwa anatembea na Wanafunzi wake ambao kabla hujamfikia lazima ukumbane nao wao

Tena Kuna mahali, walipovamiwa na wale askari wa Herode, mmoja wa Wanafunzi wake alichomoa Kisu na Kumkata Sikio mmoja wa Maaskari katika kumlinda Kiongozi wao (Yesu)

Nitafanya mpango nipate hiyo Shotgun pamoja na Ulinzi wa Kijadi ili kujilinda vyema 😅
 
Self defense kwenye zama hizi ni muhimu

Hata nyakati za Yesu, alikuwa anatembea na Wanafunzi wake ambao kabla hujamfikia lazima ukumbane nao wao

Tena Kuna mahali, walipovamiwa na wale askari wa Herode, mmoja wa Wanafunzi wake alichomoa Kisu na Kumkata Sikio mmoja wa Maaskari katika kumlinda Kiongozi wao (Yesu)

Nitafanya mpango nipate hiyo Shotgun pamoja na Ulinzi wa Kijadi ili kujilinda vyema 😅
Dah we zee ni muhuni, Eti yesu😃.
Shotgun ujue kutumia Sasa, usije ukawa una tetemeka mbele ya adui.

Kuna babu yangu upande wa mama, alikuwa jeshini mwenye cheo kizuri tu.
Siku naona chuma for the first time, nili pata woga na ujasiri aisee😂.
Nilikuwa 8 Kama sija kosea.
 
Dah we zee ni muhuni, Eti yesu😃.
Shotgun ujue kutumia Sasa, usije ukawa una tetemeka mbele ya adui.

Kuna babu yangu upande wa mama, alikuwa jeshini mwenye cheo kizuri tu.
Siku naona chuma for the first time, nili pata woga na ujasiri aisee😂.
Nilikuwa 8 Kama sija kosea.
Katika Movie ya Yesu, kile kipande cha Petro anachukua Kisu na Kumkata Sikio yule askari huwa nakipenda

Inaonesha, pamoja na ukomavu wa Maombi waliyokuwa wakiyafanya katika kumshinda Shetani, ila still walikuwa na self defense 😜

Kuhusu kutumia hiyo shotgun, nitaenda kupata mafunzo kwenye Kampuni binafsi za Ulinzi, japo nina uzoefu wa Kutumia Bogole

Ile silaha ambayo ukishapiga risasi Moja, lazima uanze kuikoki then baadaye kabisa ndiyo inatoka risasi nyingine
 
Katika Movie ya Yesu, kile kipande cha Petro anachukua Kisu na Kumkata Sikio yule askari huwa nakipenda

Inaonesha, pamoja na ukomavu wa Maombi waliyokuwa wakiyafanya katika kumshinda Shetani, ila still walikuwa na self defense 😜

Kuhusu kutumia hiyo shotgun, nitaenda kupata mafunzo kwenye Kampuni binafsi za Ulinzi, japo nina uzoefu wa Kutumia Bogole

Ile silaha ambayo ukishapiga risasi Moja, lazima uanze kuikoki then baadaye kabisa ndiyo inatoka risasi nyingine
Naijua mzee, halafu sio bogole ni gobole 😁😃.
Kuna mzee alikuwa ana windia nyani, Sema risasi zake ni Kama gololi.

Ko vijana wa yesu wali kaa kimasta, maana Wana jua uhuni wa binadamu🤣🤣
 
Back
Top Bottom