Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.
Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"
Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.
Gwajima askofu kwa tabia zake za uongo sitashangaa akifanya huo mchezo, yule ni msanii tu anaecheza na upepo kuwakamata wasiojua kufikiria vizuri, akiwaambia Corona haiji wanamshangilia, ikija anawadanganya na kingine sichanjwi wanamshangilia tena.
Waziri Gwajima amesikika Mara kadhaa akisema mchungaji Gwajima Ni shemeji yake ..inaonekana baba yake mchungaji Gwajima na baba wa mume wa waziri wanaweza wakawa mtu na Kaka yake
Gwajima askofu kwa tabia zake za uongo sitashangaa akifanya huo mchezo, yule ni msanii tu anaecheza na upepo kuwakamata wasiojua kufikiria vizuri, akiwaambia Corona haiji wanamshangilia, ikija anawadanganya na kingine sichanjwi wanamshangilia tena.
Askofu Hana Injili, Zaburi, Mithali,Agano la Kale,la kufundisha Waumini wake. Una Nguvu ya Mungu Ndani unapataje Ujasiri wa kumuabisha Mke wa Nduguyo? Huyu Askofu Hekima Hana. Endelea Tu kuwaongoza Vipofu Mwisho wake atauona.
Waziri Gwajima amesikika Mara kadhaa akisema mchungaji Gwajima Ni shemeji yake ..inaonekana baba yake mchungaji Gwajima na baba wa mume wa waziri wanaweza wakawa mtu na Kaka yake