ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Gwajima bendera chuma mlingoti chuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kale kazee katapeli klikomzuia kutumia jina la Gwajima kanajielewa kweli?Kama baba mzazi kafariki si kuna baba wadogo, nyie veeepe........
Utakuwa mhabeshi wewe, uhamiaji wanatakiwa kukuhoji!Ukoo maana yake ni nini?
Kale ndo katakuwa kamebaki kazee ka nzengo.....sasa kale kazee katapeli klikomzuia kutumia jina la Gwajima kanajielewa kweli?
Ni wewe Mkuu?Ni aibu kwetu kama taifa kusumbuliwa na kaukoo kamoja tu ka Kolomije!
kuna sehemu alisema kuwa katika baba zao walio hai huyo ndiye aliyebakia na kwa mila zao wasukuma ni kweli ndo baba mkwe ila maadam amemkana ina maana kuwa ukoo si mmoja tena dorothy na josephat wameawagawa tayariWaziri Gwajima amesikika Mara kadhaa akisema mchungaji Gwajima Ni shemeji yake ..inaonekana baba yake mchungaji Gwajima na baba wa mume wa waziri wanaweza wakawa mtu na Kaka yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
CCM wanamuogopa Gwajima Kama ukoma na Cha kumfanya hawana.Yote haya yanakuzwa na serikali ya Samia!
Shenzi kabisa!
Na kanisa limejaa waumini na huwaambii kitu kuhusu Gwaji boy[emoji1787][emoji1787]Gwajima askofu kwa tabia zake za uongo sitashangaa akifanya huo mchezo, yule ni msanii tu anaecheza na upepo kuwakamata wasiojua kufikiria vizuri, akiwaambia Corona haiji wanamshangilia, ikija anawadanganya na kingine sichanjwi wanamshangilia tena.
Urithi mmojawapo wa mwendazakeNi aibu kwetu kama taifa kusumbuliwa na kaukoo kamoja tu ka Kolomije!
Na ndio maana anawapelekea Moto afu akishamwaga anasema ule ni mkono wa baunsa.Na kanisa limejaa waumini na huwaambii kitu kuhusu Gwaji boy[emoji1787][emoji1787]
Kweni wewe Corona uliiona wapi huku uswahilini?Gwajima askofu kwa tabia zake za uongo sitashangaa akifanya huo mchezo, yule ni msanii tu anaecheza na upepo kuwakamata wasiojua kufikiria vizuri, akiwaambia Corona haiji wanamshangilia, ikija anawadanganya na kingine sichanjwi wanamshangilia tena.