Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

Ina maana mama yao ni mmoja au!
Baba wa askofu gwajim a na baba wa gwajima mme wa waziri, ni mtu na kaka yake kabisaa. So mume wa waziri amekana si baba yake mzazi wa kumzaa,. Lakini ni baba yake mkubwaa kabisaa na ndiyo aliyebakia katika ukoo wao.

Inshort hawa watu askofu gwajima na gwajima mme w awaziri ,wana bifu muda mrefu, kama mnakumbuaka kuna kipindimiaka ya Nyuma enzi gwajima ana mzozo.na bashite,

Huyu mme wa waziri alijitokeza akaita press na kuanzia kuongea bashite asimuogope askofu, na kwamba ni kaka yake ,na kumswmea.mbovu Sana.

So hii ya kusema.hamtambui Mathias gwajima ni hasira za mke wake kupokea kichambo au kushushiwa.kitu kizito.na gwajima.
 
Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.

Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"

Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.

#KitengeUpdates

View attachment 1903549

Je, yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la Gwajima alikuwa amesahau au alipangwa?

Mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini👇👇
View attachment 1903552
Mzee alipangwa anaona hata aibu kuongea,
Asilimia kubwe MISUKULE yake ni KE.
 
Back
Top Bottom