Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kipindi icho mfumo haukuepo ilikua ni maamuzi ya msukuma mmojaYalikuwa makosa makubwa ya mfumo kumwingiza mtu Kama huyu. Ni hatarii kwa nchi, Serikali. Anaweza tamka chochote, mahala popote, wakati wowote.
Waziri Gwajima amesikika Mara kadhaa akisema mchungaji Gwajima Ni shemeji yake ..inaonekana baba yake mchungaji Gwajima na baba wa mume wa waziri wanaweza wakawa mtu na Kaka yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama alishakufa , baba mkubwa au mdogo sio baba mkwe? Mnaishi Africa au ulaya?Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.
Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"...
ye kakataa sasa msimlazimishe kwani lazimaKama alishakufa , baba mkubwa au mdogo sio baba mkwe? Mnaishi Africa au ulaya?
Tunapo mjadili Mchungaji tusisahau kuwa, amepitia vitabu vingi vya Mungu. Nadhani msimamo wake unatokana kuofia kugeuka jiwe la chumvi Kama ilivyotokea kwa mke wa Ruti.Nchii hii ngumu sanaa,yaan kiongoz wa din na wa serikali wameamua kuingia ligue ya kuchambanaa!!basii sawaa tuseme michambo inaruhusiwa!hadi na wasukuma nao kwel?aah!hapa kuna tatizo la kimfumo
v kwel kiuhalisia hili suala la kuchanja ambalo ni hiari na watu washaelewa somo lilikuwa ni la kutumia nguvu kiasi hiki kuzid haya matozo ya zakayo kila kukichaa?ningemuheshimu sanaa huyu anaejiita mchungaji endapo angetoa msimamo wake kuhusu hizi tozoo,sina uhakika sanaa kama wana kawe wamemtuma akakemee chanjo wkt wenyew wana matatizo chungu nzimaTunapo mjadili Mchungaji tusisahau kuwa, amepitia vitabu vingi vya Mungu. Nadhani msimamo wake unatokana kuofia kugeuka jiwe la chumvi Kama ilivyotokea kwa mke wa Ruti.
Wasio na Imani ya kweli ndo hao Jana waliikataa Sayansi na Leo wanaubiri Sayansi katika kolona.
Mama yopo sawa kwakuwa hakutumia kauli za kubeza Sayansi wakati ule. Wengine ni bendera fuata upepo na ni wa kuwaogopa Kama ukoma
Tambua ya kuwa yeye pia anatoza ushuru waumini.I
v kwel kiuhalisia hili suala la kuchanja ambalo ni hiari na watu washaelewa somo lilikuwa ni la kutumia nguvu kiasi hiki kuzid haya matozo ya zakayo kila kukichaa?ningemuheshimu sanaa huyu anaejiita mchungaji endapo angetoa msimamo wake kuhusu hizi tozoo,sina uhakika sanaa kama wana kawe wamemtuma akakemee chanjo wkt wenyew wana matatizo chungu nzima
Ndo maana nataka ubadilishe hapo juu kumuita mchungaji,n mchumia tumbo tu huyo alieamua kuwalevya wananjii kwa kujifika uaskofu fakeTambua ya kuwa yeye pia anatoza ushuru waumini.
Hawezi guswa na iloo
Ndo maana nataka ubadilishe hapo juu kumuita mchungaji,n mchumia tumbo tu huyo alieamua kuwalevya wananjii kwa kujifika uaskofu fake
Mzee wa ufufuko fekiGwajima askofu kwa tabia zake za uongo sitashangaa akifanya huo mchezo, yule ni msanii tu anaecheza na upepo kuwakamata wasiojua kufikiria vizuri, akiwaambia Corona haiji wanamshangilia, ikija anawadanganya na kingine sichanjwi wanamshangilia tena.
Ina maana aliyefariki siyo baba?Ukiangalia huyo mzee kafana sana na askofu kuliko marehem
Uwezo mdogo mkuu,KB relation,huwez nielewa,kama umetekwa na mchungaji anaewalala waumin wake utaweza nielewa mm?Huwa nasoma post zako sana ila sijawahi ona hata moja tu yenye mashiko. Zote ni uharo mtupu.
Kwa ile clip wala hakukuwa na moto uliopelekwa pale,baharia alikufa maji mapema.Na ndio maana anawapelekea Moto afu akishamwaga anasema ule ni mkono wa baunsa.