mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
😂Na ndio maana hua anailisha Unga misukule yake then anaipa Ile kitu ya mkono wa baunsa.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Na ndio maana hua anailisha Unga misukule yake then anaipa Ile kitu ya mkono wa baunsa.
Yule mzee alisimama leo pale madhabauni Askofu kamtaja ni babaake na wamezaliwa watoto 12 kwa baba mmoja mama mmoja na Askofu ni wa nane.gwajima askofu na gwajima mume wa waziri ni mtu na kaka yake kwa upande wa mama
gwajima askofu na gwajima mume wa waziri ni mtu na kaka yake kwa upande wa mama
milioni tisaUmeingiza milioni ngapi kwa kufuatilia vichaa hao katika huo mpambano
kale kazee nako ni katapeliYule mzee alisimama leo pale madhabauni Askofu kamtaja ni babaake na wamezaliwa watoto 12 kwa baba mmoja mama mmoja na Askofu ni wa nane.
Kwahiyo wewe umeshaprove kwamba huyo mzee siye?Askofu Gwajima anafanya haya yote kwa lengo gani na faida ya nani, anataka ku prove nn
Kwa vigelegele na nderemo kabisa.....akina mama wakiwa mstari wa mbele...Yaani Wafuasi wa Gwajiboy wanashangilia na vigeregere eti asitumie Jina la Mume wake kha!
Wazee wenye hekima katika huo Ukoo au familia, wamalize ugomvi huu maana watu watavuana nguopicha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.
Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"
Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.
#KitengeUpdates
View attachment 1903549
je yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la gwajima alikua amesahau au alipangwa?
mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini👇👇
View attachment 1903552
😀😀😀 acha wavuane tuWazee wenye hekima katika huo Ukoo au familia, wamalize ugomvi huu maana watu watavuana nguo
Pumbavu Sana huyu jamaa, anawaambia wajinga wake pale kanisani eti mtu akishaumwa Corona hana haja ya kuchoma chanjo maana ana kinga tayari na hataugua Tena.
Anna Mghwila(RC Kilimanjaro) si aliwahi kuugua Corona akapona na round ya 2 kaugua Tena na ikasepa nae.Misukule yake pale church haitambui Hilo.
Inatia huzuni na hasira sana kuona watu wazima na akili zao kusadiki upuuzi wa mtu aina ile!
Huyu gwajima kaoa mwanamke kichaa kaachika ndoa mbili,yeye akaja kuchukua gunia la mavi...huyo mama ingekua kwetu tulishamfukuza kwenye familia,ni kichaa halina mjadalaPicha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.
Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"
Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.
#KitengeUpdates
View attachment 1903549
Je, yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la Gwajima alikuwa amesahau au alipangwa?
Mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini[emoji116][emoji116]
View attachment 1903552
Yesu tu mkuu. Yeye ni mtu wa Mungu. Kwani hayo asemayo ni yeye?, Si kaoteshwa, ama?Askofu Gwajima anafanya haya yote kwa lengo gani na faida ya nani, anataka ku prove nn
Hili ndo swali na hoja inayotesa wote wenye akili. Ilikuwa kosa kubwa sana kumkaribisha Gwajiboy barazani mwa ccm. Hakika ni ngumu sana kujua anachotaka.Askofu Gwajima anafanya haya yote kwa lengo gani na faida ya nani, anataka ku prove nn
Kazini kwangu ninaye wa hivyo ni shida.hapendagi kushimdwa, anapenda sifa