Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

gwajima askofu na gwajima mume wa waziri ni mtu na kaka yake kwa upande wa mama
Yule mzee alisimama leo pale madhabauni Askofu kamtaja ni babaake na wamezaliwa watoto 12 kwa baba mmoja mama mmoja na Askofu ni wa nane.
 
Jamaa wametuchukulia poa sana sisi wananchi tunaohangaika na maisha ...hizi ni dharau za wazi wazi kwetu sisi wananchi,..Muumba tembea nao hawa mapema.
 
Yaani Wafuasi wa Gwajiboy wanashangilia na vigeregere eti asitumie Jina la Mume wake kha!
Kwa vigelegele na nderemo kabisa.....akina mama wakiwa mstari wa mbele...
 
picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.

Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"

Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.

#KitengeUpdates

View attachment 1903549

je yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la gwajima alikua amesahau au alipangwa?

mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini👇👇
View attachment 1903552
Wazee wenye hekima katika huo Ukoo au familia, wamalize ugomvi huu maana watu watavuana nguo
 
Pumbavu Sana huyu jamaa, anawaambia wajinga wake pale kanisani eti mtu akishaumwa Corona hana haja ya kuchoma chanjo maana ana kinga tayari na hataugua Tena.

Anna Mghwila(RC Kilimanjaro) si aliwahi kuugua Corona akapona na round ya 2 kaugua Tena na ikasepa nae.Misukule yake pale church haitambui Hilo.

Inatia huzuni na hasira sana kuona watu wazima na akili zao kusadiki upuuzi wa mtu aina ile!
 
Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.

Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"

Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.

#KitengeUpdates

View attachment 1903549

Je, yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la Gwajima alikuwa amesahau au alipangwa?

Mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini[emoji116][emoji116]
View attachment 1903552
Huyu gwajima kaoa mwanamke kichaa kaachika ndoa mbili,yeye akaja kuchukua gunia la mavi...huyo mama ingekua kwetu tulishamfukuza kwenye familia,ni kichaa halina mjadala
 
Wakuu nimeamua kwenda site kujiridhisha na Ile project ya mkono wa baunsa,daaaaa kichekesho Cha Karne bwana Gwajiboy kuikana Ile sio project yake maana mwanzo sura haikwepeshi mbaka anaiziba kamera na mkono ( wa baunsa)
pale end of the scene Ile miguno ya kukwaruza ni sauti yake kabisa yaani daaa
Huyu jamaa ni msanii Aisee yaani nyumbu zake kawashika kweli hata hawashtuki Hadi huruma!
😁😁😁😁
 
Askofu Gwajima anafanya haya yote kwa lengo gani na faida ya nani, anataka ku prove nn
Hili ndo swali na hoja inayotesa wote wenye akili. Ilikuwa kosa kubwa sana kumkaribisha Gwajiboy barazani mwa ccm. Hakika ni ngumu sana kujua anachotaka.
 
Back
Top Bottom