Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wazee Sasa!!![emoji38][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hataree tupu.
Na mie nimeshangaaMbona wazee Sasa!!![emoji38][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Na mie nimeshangaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Na mie nimeshangaa
Watu wakiwa maarufu nyumbani kwako ndiyo unataka kutuaminisha kuwa ni maarufu Arusha nzimaš¤Katika siku za hiv karibuni jijini Arusha kumeibuka bifu Baina ya wafanyabiashara wawili ambao inaelezwa hapo awali walikuwa marafiki wa kufa na kupikana.
Wafanyabiashara hawa Elizabeth Mayani maarufu kama āMama Shombee ā anayemiliki kampuni ya Newlook Bridal na Lilian Mosha mmiliki wa duka la Liliy Love Bridal.
Taarifa zinaeleza kuwa Wafanyabiashara hawa kabla ya kufarakana walikuwa wakifanya biashara kwa pamoja lakini inaelezwa mmoja (Lilian)alimzidi kete mwenzake na kuvuta mpunga na kisha kwenda kufungua biashara zake.
Taarifa hizo za ndani zinaeleza kuwa Mama Shombee ndiye aliyemkaribisha Lilian kwenye biashara lakini baada ya kujanjaruka na kuvuta pesa dukani kwake alitemana nae na kisha kwenda kufungua duka lake kitendo ambacho kilimkasirisha mwenzake na kujenga chuki baina yao.
Itakumbukwa ya kwamba mwanzoni mwa mwaka huu kwenye tuzo za wanawake Arusha zilizoandaliwa na mwanama Fide Mwakitelema Wafanyabiashara hawa wote walijinyakulia tuzo lakini yaliibuka maneno kwamba Mama Shombee alimwaga rushwa kwa waandaaji ili aonekane kinara kuliko wenzake kitendo kilichomuudhi Lilian Mosha.
Inaelezwa katika tuzo hizo Mama Shombee alimwaga fedha kwa MC Dk Kumbuka ili amfagilie katika tuzo hizo kitendo kilichomuudhi Lilian na kundi lake.
Kumekuwa na maneno ya kurushiana mitandaoni baina ya Wafanyabiashara hawa ambao wana ukwasi hali ambayo imepelekea kila mmoja kutengeneza kambi ya kushambulia mwenzake.
Tunaomba watu walio karibu na hawa Wafanyabiashara wawashauri kwamba bifu hazina maana walio karibu wawaweke kitako na wawashauri kwamba maisha sio kugombana wafanye kazi waingize vipato.
Kazi iendeleeee
View attachment 2304146View attachment 2304147
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huyu huyu? Au yupi?Hahaha nilijua tuu, wewe tena khaaaa
Fursa mama, chezea fursa weyeeeeh.Mbona wazee Sasa!!![emoji38][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
Yaani nimeshangaa Sana Sana. Hao hata hawajulikaniWatu wakiwa maarufu nyumbani kwako ndiyo unataka kutuaminisha kuwa ni maarufu Arusha nzima[emoji848]
Ulijua shindano la ulimbwende?Na mie nimeshangaa
NashangaaEh nao ni mastar
Ova
Haya mama shombee na Lily nani pisi?Vijana majimbo yako wazi hayo si mnapenda kulelewa?
Kazi kwenu.