Bifu ya hawa wawili Arusha bado mbichi

Bifu ya hawa wawili Arusha bado mbichi

Hizo tuzo kwanza ni za kimchongo. Wote waliopewa tuzo walitoa hela. Hapo chuga unawapaje hawa mama w Jana tuzo na kina mama towo kina Anita wapo, niliona eti Kuna category ya chakula kapewa mtu hata hajulikani, tuzo za uwongo hizo. Idea ni nzuri lakini utendaji ni mbaya. Fide jirekebishe
 
Katika siku za hiv karibuni jijini Arusha kumeibuka bifu Baina ya wafanyabiashara wawili ambao inaelezwa hapo awali walikuwa marafiki wa kufa na kupikana.

Wafanyabiashara hawa Elizabeth Mayani maarufu kama ā€œMama Shombee ā€œ anayemiliki kampuni ya Newlook Bridal na Lilian Mosha mmiliki wa duka la Liliy Love Bridal.

Taarifa zinaeleza kuwa Wafanyabiashara hawa kabla ya kufarakana walikuwa wakifanya biashara kwa pamoja lakini inaelezwa mmoja (Lilian)alimzidi kete mwenzake na kuvuta mpunga na kisha kwenda kufungua biashara zake.

Taarifa hizo za ndani zinaeleza kuwa Mama Shombee ndiye aliyemkaribisha Lilian kwenye biashara lakini baada ya kujanjaruka na kuvuta pesa dukani kwake alitemana nae na kisha kwenda kufungua duka lake kitendo ambacho kilimkasirisha mwenzake na kujenga chuki baina yao.

Itakumbukwa ya kwamba mwanzoni mwa mwaka huu kwenye tuzo za wanawake Arusha zilizoandaliwa na mwanama Fide Mwakitelema Wafanyabiashara hawa wote walijinyakulia tuzo lakini yaliibuka maneno kwamba Mama Shombee alimwaga rushwa kwa waandaaji ili aonekane kinara kuliko wenzake kitendo kilichomuudhi Lilian Mosha.

Inaelezwa katika tuzo hizo Mama Shombee alimwaga fedha kwa MC Dk Kumbuka ili amfagilie katika tuzo hizo kitendo kilichomuudhi Lilian na kundi lake.

Kumekuwa na maneno ya kurushiana mitandaoni baina ya Wafanyabiashara hawa ambao wana ukwasi hali ambayo imepelekea kila mmoja kutengeneza kambi ya kushambulia mwenzake.

Tunaomba watu walio karibu na hawa Wafanyabiashara wawashauri kwamba bifu hazina maana walio karibu wawaweke kitako na wawashauri kwamba maisha sio kugombana wafanye kazi waingize vipato.

Kazi iendeleeee

View attachment 2304146View attachment 2304147
Watu wakiwa maarufu nyumbani kwako ndiyo unataka kutuaminisha kuwa ni maarufu Arusha nzimašŸ¤”
 
Insonesha vijana wa chuga hawajui kula mbususu kikwelikweli. Vinginevyo hao wamama wasingekuwa micharuko hivyo.
 
Sishangai kumuona mwijaku au baba levo kweny hizi fujo za kina mama....maisha yamebadilika sanaa..wanaume wananunua ugomv wa wanawake kisa pesa
 
Ngoja nirudi nyumbani maana naona kumenoga.

Yaani yale mambo ya kidashlam hata huko pia yameshika kasi.
 
Back
Top Bottom