Umesoma kweli na kuelewa?Unatia aibu kumbe kiazi hvyoJPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.
Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.
Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
Unaongelea upigaji kwani kuna Rais amewahi kutokea akaiba kumzidi Magufuli? Tsh 2.4 Trilion kwa miaka 3HIlo la kuwa mrundi ni ubaguzi wa watu wa Chadema na wanaharakati wengine.
Kama TISS ingefanya kazi vyema ni Nyerere tu ambaye angekuwa Rais halali.
Hizi siasa za katiba mpya ni visingizio tu vya kwanini bado hatujapiga hatua kubwa kiuchumi. Watu ni wale wale tu katiba mpya haitaondoa upigaji wa miaka yote.
Haitabadili hulka zetu za kufuga uvivu.
JPM alifanya alichoweza na apumzike kwa amani.
Story za kijiweni.Unaongelea upigaji kwani kuna Rais amewahi kutokea akaiba kumzidi Magufuli? Tsh 2.4 Trilion kwa miaka 3
Huyu Mpaga anaondoka atapigwa Zaidi na Zaidi Ww Subilia TuUnaongelea upigaji kwani kuna Rais amewahi kutokea akaiba kumzidi Magufuli? Tsh 2.4 Trilion kwa miaka 3
JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.
Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.
Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
India iliyokuwa ndio tegemeo la matibabu ya mawaziri wetu imezika wagonjwa mpaka kuni zimeisha. Sisi ni Kina nani tujifanye tunaijua sana sayansi!.Wengine wengi waliokufa kwa hivyo virusi hawakuwa na matatizo yoyote ya moyo na hawakuwa tayari kwa lolote. Walipenda kuishi muda mrefu zaidi na wengi wao wangeishi muda mrefu zaidi kama sayansi ingezingatiwa na wenye mamlaka wangetimiza wajibu wao.
Anajulikana kushambulia uongoz unaokua ikulu well.. but c anashambulia kwa hoja? Tatizo liko wap??JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.
Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.
Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
Hii ni nyundo nzito kichwani π€£π€£π€£Kama mtu akifa Basi asisemwe kwa uovu wake, kwanini tunafundishwa na Bible juu ya uovu na usaliti wa Yuda Eskarioti?
Kwanini Biblia imeandika kisa Cha ulaghai Cha Anania na Safira?
Kwanini imeandika mambo mabaya aliyoyafanya Daudi? Si ingeandika mazuri tu?
Nakupa assignment kasome Ufunuo 14: 13 unaweza hata kui Google
π³π³π³ Ulimwengu mzm? Naona umeamua kufurahisha jfUfipani bado mnafuatilia legend ya jpm. Mtapata taabu saana. Huyu ndo shujaa wa ulimwengu mzimaa
Aisee π€π€π€Dikteta marehemu lazima ashambuliwe kila uchao, aliwasibu watu wengi kwa utawala wake wa mkono wa Chuma,
Alitoa amri lissu auliwe na mwili wake usiagwe ukazikwe haraka kijijini kwao ,
Anaiharibu nchi kivipi?! Kwa kusema ukweli?Mkuu huyu Jenerali Ulimwengu ni masalia ya kizazi cha Burundi kilichokuwa kinaleta fujo mara kwa mara kwa Serikali. Serikali ya Michombero ikaamua kuwavurumusha na wakakimbilia Kagera, yeye Ulimwengu akiwa mdogo. Sasa, ile damu ya roho mbaya, ukatili na fujo fujo waliyokuwa nayo wazazi wake nae anayo na ndio inamsumbua.
Bahati nzuri, Serikali ya Tanzania inamjua uzuri tu. Rais Mkapa akimjua vizuri alimnyang'anyaga uraia ili arudi kwao. Kwa hofu ya "kushughulikiwa" akirudi kwao, akalialia akasamehewa aendelee kuishi kwetu. Lakini roho yake mbaya haijamtoka tu. Naishauri Serikali i deal naye ipasavyo asije akatuharibia nchi!
Thanks Kiranga. When you are curt member you do not see even the obvious. Tatizo sana.Ulimwengu anaongelea watu walionyamaza na kushindwa kukemea ujinga wa utawala wa Magufuli zaidi ya kumlaumu Magufuli.
Analaumu hata madaktari waliojua ukweli waliogopa kusema kweli kwa kusingizia wanaogopa Magufuli atawapatiliza.
Hivyo, article hii inahusu waliobaki zaidi ya Magufuli.
Acha kuwashwa washwa kwenye jicho weye mwache mwenda zake avune alichopanda kwanzaJPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.
Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.
Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
Inashughulikiwa wapi? Juzi nimeingia ofisi moja ya Serikali Jijini Mwanza, kwenye mlango wameandika "USIINGIE BILA KUVAA BARAKOA" halafu ndani wateja na wafanyakazi hakuna aliyevaa barakoa! Ndio kuishughulikia Corona kitaalamu? Ahahahahahahah!!!Anaiharibu nchi kivipi?! Kwa kusema ukweli?
Wewe huoni baada ya kifo cha Jiwe Corona imeanza kushughulikiwa kitalaam badala ya approach ya kisiasa ya hapo awali kufeli
ukisikia kitete,mhaho,kihoro na kuweweseka ndio hii.Baba wa watu si alishakufa jamani.?? Muacheni apumzike.