ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Punguza kuwashwa, vp Okwa, na Akpan mlinunua eBay au Amazon?Yanga ipo tayari kuachana au kumtoa kwa mkopo Gael Bigirimana kutokana na kushindwa kuonyesha kiwango bora kikosini hapo, lakini ugumu unakuja mchezaji mwenyewe hayupo tayari kutoka kwa mkopo na kama kuondoka, basi wavunje mkataba ambao Yanga italazimika kulipa zaidi ya 700 milioni za Kitanzania, hivyo kufanya jambo la kuondoka kuwa gumu na huenda akasalia mitaa ya Jangwani.
My Take
Niliwaambia huku ni kununua bidhaa mitandaoni.
Wewe Mbumbumbu amka usingizini Divock Origi, Saido Berahino wanaongea Kiswahili safi kabisaSi alisema ameacha kujiunga na Real madrid akaja jangwani timu ya ndoto yake,
Nilishangaa mchezaji wa epl anaongea kiswahili cha tandale nikajua hapa kazi ipo
Hao wanaongea kiswahili safi ila bigirimana abaongea kiswahili cha kihuniWewe Mbumbumbu amka usingizini Divock Origi, Saido Berahino wanaongea Kiswahili safi kabisa
hahahaha,ila watanzania mna wajinga wengi sana aisee ,dah mnapigwaNiliwaambia huku ni kununua bidhaa mitandaoni.[emoji23]
Vipi na Mwamedi ameshamlipa Nelson Okwa zile milioni 800 zake anazotaka kulipwa ili kusitisha mkataba wake?Kwa hiyo Okwa kuuziwa mtandaoni kunawafanya Uto nao wanunue mchezaji Be Foward?! Ona huyu
Yuko sahihi ni haki yake. Wanataka kuvunja mkataba wamlipe mpaka mwisho wa mkataba vinginevyo wafikie makubaliano ya pande 2.Yanga ipo tayari kuachana au kumtoa kwa mkopo Gael Bigirimana kutokana na kushindwa kuonyesha kiwango bora kikosini hapo, lakini ugumu unakuja mchezaji mwenyewe hayupo tayari kutoka kwa mkopo na kama kuondoka, basi wavunje mkataba ambao Yanga italazimika kulipa zaidi ya 700 milioni za Kitanzania, hivyo kufanya jambo la kuondoka kuwa gumu na huenda akasalia mitaa ya Jangwani.
My Take
Niliwaambia huku ni kununua bidhaa mitandaoni.
Yanga ina watu wa namna hiyo wangapi kulinganisha na Simba? Unajifariji kw Yanga wakati timu yako ya Simba ndio wamejaa mafungo.Wameuziwa mbuzi kwenye gunia wanafungua ndani wanakuta fungo
Yanga na Simba katika hilo hawachekani,kote kuna mizigo mingi tuYanga ina watu wa namna hiyo wangapi kulinganisha na Simba? Unajifariji kw Yanga wakati timu yako ya Simba ndio wamejaa mafungo.
Mambo ya kwenu yanawashinda, kocha wenu kashawaambia Bocco hamfai tumieni muda huu kusajili striker badala ya kuja kujambajamba kwa mambo yasiyowahusu.
Tulipewa na TFFKwani Kibu Denis mliuziwa mtandaoni?
Hapo UDUNDUKANI kibu denga mtamvunjia kwa TSH ngapi?
Kama hakuna kipengele ina maana kuna hitajika makubaliano ya pande mbili na ndipo hapo yule ambaye ana kandamizwa anaweza dai haki zaidi...Mkiandika haya muwe mnaweka na uthibitisho wa kama hiyo kauli ni kweli ameisema huyo mchezaji, pia wekeni na mkataba wake na klabu kuona kama kuna hicho kipengele, zaidi ya hapo mtaendelea kubabaika kama mnavyobabaika issue ya Feisenge.